-->

Author Archives: editor

Orijino Komedi Kuchukuliwa Hatua kwa Kuvaa ...

Post Image

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI Katika siku za hivi karibuni, kumejitokeza tabia kwa baadhi ya watu wakiwemo wasanii watu wengine mmoja mmoja kutumia mavazi yanayofanana na sare za Majeshi ya Ulinzi na usalama hapa nchini likiwemo Jeshi la Polisi katika shughuli zao za kisanii au katika kazi mbalimbali, Jambo ambalo ni […]

Read More..

Malaika Afungukia Alivyoingizwa Mjini China

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Malaika Exervery amesema katika vitu ambavyo haviwezi kutoweka kichwani mwake ni pamoja na kutapeliwa wakati alipoingia nchini China kwa mara ya kwanza kwenye Jiji la Hong Kong. Akizunguza na Juma3tata, Malaika anasema kuwa tukio la yeye kuingizwa mjini lilitokea mara baada ya yeye kuwekwa kuzuizini kwenye uwanja wa ndege kwa saa […]

Read More..

Programu ya “YES” Yawakaribisha...

Post Image

Dar es Salaam, TANZANIA.  Wanafunzi 18 wa shule za sekondari za Tanzania Bara na Zanzibar wamechaguliwa kuishi na kusoma nchini Marekani kwa kipindi cha mwaka mmoja wa masomo kuanzia Agosti 2016 hadi Juni 2017.  Wanafunzi hao waliondoka nchini tarehe 8 Agosti 2016 ili kuanza kipindi chao cha kuwa nchini Marekani. Kupitia programu ya mabadilisho na […]

Read More..

Mr.Blue: Mboga 7 Imenipa Heshima Kwenye Hip...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Herry Sameer ‘Mr Blue’ anayetesa kwa sasa na wimbo wake wa Mboga Saba aliomshirikisha nguli mwingine kwenye ulimwengu wa Bongo Fleva Ali Kiba, amefunguka na kuelezea hisia zake za moyoni kuhusu wimbo wake huo ulio kwenye mtindo wa Hip hop. Mr Blue kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika […]

Read More..

Album ya Diamond Kupatikana Duniani Kote

Post Image

Msanii Diamond Plutnumz ambaye yuko kwenye mikakati ya kutoa albam yake itakayouzwa kimataifa, ameweka wazi mikakati yake ya kuisambaza album hiyo, ili iweze kupatikana duniani kote. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Diamond amesema mwanzo alikuwa hajafanikiwa kutoa albam kwani alikuwa anaangalia soko jinsi lilivyo, na aljikita zaidi kwenye mitandao ili kujitambulisha zaidi, lakini […]

Read More..

Exclusive Teaser: Filamu Mpya ya “The...

Post Image

Watakushangaa sana pale utakapo zungumzia Tasnia ya filamu za Action Tanzania bila kumtaja Mwasisi wa Filamu hizo Jimmy Mponda maarufu kama J.Plus ambaye ndiye miliki wa ‘Mzimuni Theatre Arts’ aliyewahi kushikiria ubora wake miaka 5 kwa filamu yake ya “Misukosuko” yaani 2005-2010. Kwa madai yake J.Plus, amesema kuwa baada ya kufanya vizuri kwa muda mrefu […]

Read More..

Kauli ya Manji Baada Ya Taarifa Kwamba Amej...

Post Image

Baada ya taarifa kwamba Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amejiuzulu uenyekiti kuzagaa, SALEHJEMBE ilifanya kila juhudi kumpata na mwenye akazungumza kwa ufupi. Alipoulizwa kuhusiana na suala la kujiuzulu na pia kusitiza uamuzi wake wa kutaka kuwekeza au kuikodisha Yanga kwa miaka kumi, alisema basi imetosha. “Kwa kweli imetosha, imetosha sasa,” alisema. Alipoulizwa afafanue kuhusiana na […]

Read More..

Sipendi Watu Wanaotembelea Nyota za Watu- E...

Post Image

ESHE Buheti mwigizaji bora wa kike wa filamu Swahilihood amefunguka kwa kusema kuwa kuna baadhi ya watu upenda kutembelea nyota za wengine kwa kujitengenezea sifa bila kuwatambulisha wale waliofanya kazi hiyo bila kujua kuwa kufanya hivyo ni wizi au uharibifu kwa mhusika aliyetengeneza kitu hicho. “Kuna watu wanakera sana katika dunia hii unakuta mtu umetengeneza […]

Read More..

Ndoa za Mastaa Zilizoota Mbawa

Post Image

MAISHA ya kiuhusiano kwa mastaa ulimwenguni kote ni ya tofauti sana na watu wengine wa kawaida ambao hawana majina katika jamii zao. Mara nyingi maisha yao yanakuwa ya kuangaliwa sana na watu, hasa juu ya namna gani watakuwa wamefanya vitu vipya kila siku. Jambo la kushangaza, ukiwafuatilia baadhi ya mastaa, maisha yao kabla ya kuwa […]

Read More..

Nay wa Mitego Afunguliwa Kifungo na BASATA

Post Image

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfungulia Nay wa Mitego kuendelea na shughuli za sanaa baada ya kuwa ametekeleza adhabu (maagizo) zote alizopewa kama masharti ya kumfungulia. hini ni taarifa ya BASATA kwa waandishi wa habari: BASATA kama mlezi wa wasanii linamfungulia kufuatia yeye mwenyewe (Nay wa Mitego) kujutia na kukiri kwamba amejifunza na yuko […]

Read More..

Skaina: Sitaki Kuolewa Tena

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Skyner Ally ‘Skaina’ amefunguka kuwa hahitaji kuolewa tena wala kusikia kitu kinachoitwa ndoa katika maisha yake na kwamba anachoshukuru ni Mungu kumjalia mtoto. Akizungumza na Amani Skaina alisema kuwa, alipata kovu kubwa sana la ndoa kipindi cha nyuma alipofunga ndoa yake ya kwanza hivyo hapendi kusikia tena kitu hicho kwa kuwa […]

Read More..

Tunda afunguka kumwagana na Young D

Post Image

MUUZA nyago macha-chari Bongo, Tunda Sebastian amefunguka kumwagana na mwandani wake wa muda mrefu, ambaye ni staa wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young D’ na kusema ameamua kujiweka kando kwenye maswala ya mapenzi. Akipiga stori na Showbiz Xtra baada ya kumbananisha kuhusiana na tetesi za uhusiano wake kuvunjika kutokana Young D kubaini anatoka na mwanamuziki […]

Read More..

Soggy Doggy Atoboa Chazo cha ‘Kibanda...

Post Image

Msanii wa bongo fleva ambaye bado yupo kwenye game, Soggy Doggy, ametoa siri ya wimbo wake wa ‘kibanda cha simu’ ambao ulifanya poa sana miaka ya 2000, na kilichompelekea yeye kuandika wimbo huo ambao hauchuji masikioni mwa watu kwa ujumbe wake. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Soggy Doggy amesema chanzo cha yeye […]

Read More..

Sizonje ya Mrisho Mpoto Yamkuna Rais Magufu...

Post Image

Utunzi mahiri wa mashairi na ughani uliotukuka wa Mrisho Mpoto, umeligusa sikio la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameeleza kuwa shabiki mkubwa wa kazi za msanii huyo hususan wimbo wake ‘Sizonje’. Akizungumza na Mpoto juzi, muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Ndege […]

Read More..

Hiki Ndicho Chanzo cha Bifu la Vera na Hudd...

Post Image

Mrembo kutokea pande za Mombasa nchini kenya, Vera Sidika ametoa sababu ya kuwa na bifu na mlimbwende mwenzake wa nchini humo, Huddah Monroe, bifu ambalo limeteka vyombo vya habari kwa muda mrefu Akifunguka kwenye FNL ya East Africa Tv na Radio, Vera Sidika amesema wakati yeye akiwa Mombasa, Huddah Monroe tayari alishakuwa maarufu jijini Nairobi, […]

Read More..

Giggy Money: Sikumbuki Idadi ya Wanaume Nil...

Post Image

STAA wa kike Bongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ anayetingisha kwa ishu kibao mjini, amefunguka kuwa anapenda maisha yake na hajali watu wanavyomchukulia tofauti. Akipiga stori na Swaggaz, Giggy ambaye ni mtangazaji wa Radio Choice FM, Video Vixen na msanii wa Bongo Fleva, amesema skendo zake ndizo zinazompaisha na haoni tabu hata kidogo kusemwa au kuandikwa kuhusiana […]

Read More..

Dully Sykes Amtetea Harmonize Kumuiga Diamo...

Post Image

Msanii Dully Sykes ametoa maoni yake baada ya tetesi za Harmonize kumuiga Diamond, mara baada ya watu kuzidi kutoa maoni yao baada ya kuachia video yake aliyomshirikisha. Akizungumza kwenye Friday Night Live ya EATV, Dully Sykes alianza kwa kutetea kuwa hawafanani lakini baadae akaja kubadilisha upepo,na kusema Harmonize ana kila sababu ya kufanana na Diamond, […]

Read More..

Kama Unataka Kumuoa Johari, Hii Inakuhusu!

Post Image

STAA wa kitambo kwenye filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema baada ya kukaa singo kwa muda mrefu, sasa yupo tayari kuingia kwenye ndoa wakati wowote. Akizungumza na Swaggaz, Johari amesema anatamani sasa naye aingie kwenye ndoa kwa kuwa umri wake unamruhusu kufanya hivyo. “Mimi ni mwanamke kamili, ni mtu mzima. Nimeshakuwa sasa, kwahiyo kiukweli […]

Read More..