-->

Author Archives: editor

Mwanaheri Akataa Posa

Post Image

Mwigizaji anayekuja juu kwa kasi kwenye tasnia ya sinema za Kibongo, Mwahaheri Ahmed ‘Mwana’ amefunguka kuwa kufuatia kutokuwa tayari kuolewa, alishatolewa posa mara nane lakini akazikataa zote. Akizungumza na Wikienda, Mwana alisema kuwa hayuko tayari kuolewa kwa sasa hadi akamilishe mipango yake aliyojipangia ndiyo maana hata posa zilivyokuwa zikiletwa kwao hakuwa tayari. “Nilikuwa bado niko […]

Read More..

Siri ya Bill Nas Siri Yangu- Linah

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Linah Sanga amefunguka na kusema kuwa ukaribu alionao na msanii Bill Nas imefanya wao kushauriana mambo mengi kuhusu muziki na nje ya muziki. Linah anasema alikuwa anatamani siku moja apate mtu ambaye ni rafiki yake ili awe anamueleza mambo yake kama ambavyo imekuwa sasa kwake yeye na Bill […]

Read More..

Muigizaji wa Kike Aelezea Maisha Yalivyomf...

Post Image

Kuna wimbi kubwa la wasichana wanaojihusisha na vitendo vya usagaji. Malkiz aka Kizz Kiduku ni msanii chipukizi wa filamu Tanzania anayefahamika wazi kujihusisha na vitendo vya kisagaji. Hivi karibuni alikaa na kuzungumza na Global TV na kusimulia jinsi alivyoanza mambo hayo. Alidai kuwa yote yalianza akiwa shuleni Mwanza ambako kama msichana aliyebalehe alikuwa akipata hamu […]

Read More..

Diamond Akiri Kupenda Bifu

Post Image

Msanii Diamond Plutnuz amewashangaza watu baada ya kauli yake kwamba anaona bifu kwenye muziki na kitu kizuri, tofauti na wasanii wenzake wengi ambao hupinga suala la bifu. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Diamond amesema kwake yeye anaona ni sawa tu iwapo wasanii wanakuwa na bifu, kwani inasaidia kwa kiasi kikubwa kuinua muziki […]

Read More..

Shilole ‘Awaka’ Kisa Kutoka na Jay Moe

Post Image

MREMBO ambaye jina lake liko juu kwa sasa kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ hivi karibuni amewaka baada ya kubanwa maswali juu ya tetesi za uhusiano wake na Mwanamuziki wa Hip Hop Bongo, Juma Mchopanga ‘Jay Moe’. Akistorisha na Uwazi Showbiz, Shilole alifunguka kuwa hana uhusiano na mkali huyo wa ngoma […]

Read More..

Wastara Afunguka Kuhusu Kuwa na Ujauzito

Post Image

Msanii wa bongo movie Wastara Juma apinga mawazo ambayo watu wamekua wanamfikiria kwamba ni mjamzito. Akiongea kwenye kipindi cha eNewz kinacho onyeshwa katika runinga ya EATV kila siku saa kumi na mbili, Wastara amewaambia wananchi kwamba tumbo la mimba hukua na halirudi ndani kwa hiyo waendelee kusubiri miezi tisa mpaka itimie kwani kwanzia waanze kusema […]

Read More..

Kupanda Kwa Miamala ya Simu, Kampuni Zadaiw...

Post Image

Moja habari zilizoandikwa ni hii habari kwenye gazeti la Nipashe yenye  kichwa cha habari ‘Miamala ya simu bei mpya balaa’ Wakati Serikali ikisema uanzishaji wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT), kwenye miamala ya simu na benki haitawahusu wateja, kampeni za simu zimepandisha mara dufu gharama za kutuma na kupokea fedha. Tofauti na benki ambazo zinatoa […]

Read More..

Jimmy Mafufu Apanga Kukimbia Dar

Post Image

Mwigizaji wa Bongo Muvi, Jimmy Mafufu ameibuka na kusema kutokana na gharama ya maisha kuzidi kuwa juu, amepanga kulikimbia Jiji la Dar na kurudi mkoani kwao, Mbeya. Akizungumza na Wikienda, Mafufu alisema kuwa, amegundua jijini Dar kuna kujuana kwingi hivyo ni vigumu kuchomoka kimaisha lakini akirudi kwao kuna fursa nyingi za kimaisha. “Ukweli Dar imenishinda, […]

Read More..

Madee Afunguka Kuhusu Ubosi Bosi Ndani ya T...

Post Image

Msanii Madee leo ameweka wazi mkanganyiko ambao wengi walikuwa nao kuhusu msanii anayemsimamia Dogo Janja, mbaye pia yuko chini ya Tip Top ambayo inamsimamia yeye Madee. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Madee amesema ingawa Dogo Janja yupo chini yake, lakini iwapo kuna kazi anatakiwa kuifanya, lazima afanye mawasiliano na Babu Tale, na […]

Read More..

Diamond Amshukia Wastara

Post Image

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anadaiwa kumtusi staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma baada ya kumuomba msanii wake akarekodie katika studio zake za Wasafi Classic Baby (WCB). Tukio hilo lililopigwa chabo na chanzo chetu lilijiri wikiendi iliyopita katika moja ya studio za runinga ambapo Wastara alikwenda kumpeleka msanii wake aitwaye Ibrahim […]

Read More..

Utafiti:Wanaume 7 kati ya 10 Wana Michepuko

Post Image

Utafiti wa kisaikolojia uliofanywa na mwandishi Christopher Ryan, mwaka 2010 na kuchapishwa katika kitabu kiitwacho Sex at Dawn: The Prehistoric Origins of Modern Sexuality, kimebaini kuwa asilimia 63 ya wanaume na asilimia 45 ya wanawake wamewahi kuwa na uhusiano nje ya ndoa zaidi ya mara moja. Utafiti mwingine Truth About Cheating uliochapishwa mwaka 2014, kuhusiana […]

Read More..

Nisingefunga Ndoa na Chuzi Zaidi ya Kuzaa N...

Post Image

MIRIAM Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka sababu iliyomfanya ashindwe kufunga ndoa na mzazi mwenzake Tuesday Kihangala ‘Mr. Chuzi’ ni wosia kutoka kwa wazazi wake ambao walimwamru kutobadili dini yake ya Kikristu. “Nilishaapa siwezi kubadili dini kwa ajili ya Ndoa hata nilipozaa na Mr. Chuzi kikwazo ilikuwa dini siwezi kupingana na wosia wa marehemu Baba yangu,”anasema Kabula. […]

Read More..

Inside Story: Zimebaki Siku Chache Kuingia ...

Post Image

Fiamu ya kubwa ya Inside Story itaonyeshwa kwa mara ya kwanza kwenye ukumbi wa  CINEPLEX CINEMA, QUALITY CENTER siku ya ijumaa tarehe 19 mwezi huu. Fiamu ya INSIDE STORY imechezwa na mastaa wakubwa wa kimaifa kama Hakeem Kae-Kazim  na Fana Mokoena waliocheza kwenye filamu ya  Hotel Rwanda. Inside Story itasambazwa na Steps Entertainment, Kaa mkao […]

Read More..

Shilole Adaiwa ‘Kumpoteza’ Nuh!

Post Image

KUNA tetesi kuwa mwanadada asiyekauka kwenye ‘media’ ambaye pia anafanya Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amemuundia jeshi aliyekuwa mwandani wake Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kuhakikisha linamfanyia fujo mara kwa mara ili asiishi kwa amani wala kufanya vizuri kimuziki. Baada ya tetesi hizo kuenea, Burudani Mwanzo Mwisho (BMM), lilimvutia waya Shilole ili kufungukia madai […]

Read More..

Goodluck Gozbert: Natumia Muda Mwingi Kutaf...

Post Image

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Goodluck Gosbert amesema kuwa kwa sasa yupo singo na anatumia muda mwingi kutafakari mamb makuu ua Ufalme wa Mungu na muziki wake. “Niko singo kwa sasa, lakini sio kwamba wasichana hawanisumbui napokea simu zao lakini kwa sasa sio wakati wakati wake, muda wangu mwingi nautumia kutafakari mambo makuu yanayohusu ufalme […]

Read More..

Thea Kuja na Tamthilia 3 Mpya Kwenye Runing...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu, Salome Urassa ‘Thea’ amesema anajipanga kuachia tamthilia 3 mpya baada ya soko la filamu kudai kubadilika. Akiongea na Bongo5 Jumapili hii, Thea amesema kuongezeka kwa runinga kumewafanya wasanii wa filamu kufikiria nje ya box kwa kutengeza tamthilia. “Kusema kweli sasa hivi tamthilia za kwenye runinga ndo zimekuwa issue, runinga nyingi zinahitaji […]

Read More..

Diamond Analipa Fadhila kwa Chid Benz

Post Image

Msanii wa bongo fleva ambaye anafanya vizuri kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa kwenye muziki, ametoa siri ambayo inamfanya awe mstari wa mbele kumsaidia msanii Chid Benz, alipopata matatizo. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Diamond Platnumz amesema anafanya hivyo kwa Chid Benz kutokana na kitendo alichomuonyesha kabla hajawa maarufu, kukubali kufanya naye collabo […]

Read More..

Wema Sepetu, Ivan Ex wa Zari na Diamond Wat...

Post Image

Msanii wa filamu Wema Sepetu anaendelea kuuthibitishia umma kwamba hana tena kinyongo na Ex wake wa zamani Diamond Platnumz baada ya Jumamosi hii kumwandikia ujumbe mzuri bintiye Diamond, Tiffah katika siku yake ya kuzaliwa. Wawili hao hivi karibuni wameonyesha kushirikiana mambo kadhaa katika mitandao ya kijamii licha ya wiki mbili zilizopita kusambaa kwa tetesi ya […]

Read More..