Soggy : Wasanii Bongofleva Hawana Topic za ...
Msanii mkongwe, Soggy dog ,anampongeza saana aliyetunga muziki wa singeli lakini anachojua ni kwamba singeli haiwezi kuitanganza nchi kimataifa kwa kuwa ni muziki ambao unapendwa na baadhi ya jamii zinazotuzunguka Unakumbuka ile hit song kibanda cha simu???? Umeshawahi kujiuliza homeboy Soggy Dogg yuko wapi now? Jamaa amerudi kwa hasira na kudiss kuwa hakuna muziki sasa, […]
Read More..





