-->

Author Archives: editor

Soggy : Wasanii Bongofleva Hawana Topic za ...

Post Image

Msanii mkongwe, Soggy dog ,anampongeza saana aliyetunga muziki wa singeli lakini anachojua ni kwamba singeli haiwezi kuitanganza nchi kimataifa kwa kuwa ni muziki ambao unapendwa na baadhi ya jamii zinazotuzunguka Unakumbuka ile hit song kibanda cha simu???? Umeshawahi kujiuliza homeboy Soggy Dogg yuko wapi now? Jamaa amerudi kwa hasira na kudiss kuwa hakuna muziki sasa, […]

Read More..

Kiki za Mastaa Zilizotingisha, Shilole, Van...

Post Image

KIKI siyo kitu kigeni kabisa kwa wasanii ulimwenguni. Kutafuta jambo la kushtua na kuwafanya mashabiki wamzungumzie msanii husika kwa muda mrefu zaidi akiwa na lengo la kuachia kazi yake. Lakini kwa baadhi ya wasanii wetu hapa Bongo hujiingiza kwenye skendo wakidhani ni kiki. Kwa kawaida kiki ni nzuri ili kumsaidia msanii kujipaisha na kuchomoa kazi […]

Read More..

Maneno ya Jay Moe Kwa Wasanii Wakongwe

Post Image

Jay Mo amesema baada ya kutoa ngoma yake ya ‘Pesa Madafu’ amengundua mengi yakiwemo mabadiliko ya music wa kisasa huku akisema kipindi chao ilikuwa lazima utoe albamu ndo uuze lakini kwa sasa mtu anasingle mbili anasifa. Mkongwe wa muziki wa rap ambaye alikaa kimya kwa miaka 11 kwenye gemu na kuibuka na ngoma kali inayosumba […]

Read More..

Mtitu Afunguka Maprodyuza Kuwamaliza Waremb...

Post Image

PRODYUZA na muigizaji wa sinema Bongo, William Mtitu amefunguka kuwa maprodyuza wengi wamekuwa wakipewa lawama za kutembea na waigizaji wa kike kutokana na wao wenyewe kujirahisisha. Akizungumza na mwanahabari wetu ofisini kwake Magomeni jijini Dar, Mtitu alisema endapo warembo wenyewe wakijitambua, hakutakuwa na malalamiko hayo kila kukicha. “Wanajirahisisha wenyewe halafu baadaye wanalalamika katika vyombo vya […]

Read More..

Nitakuwa Sauti ya Wengine- Wankota

Post Image

KILA mwandishi wa Script anajua ugumu wake na kufanya waandishi wake wawe wachache zaidi katika tasnia ya filamu Swahilihood, mwanadada mwenye kipaji cha ajabu Wankota Kapunda kwa kupitia kipaji chake anasema kuwa atakuwa sauti ya wale wote waliopatwa na tatizo kama lake. Wankota anawaambia FC kuwa kupitia kipaji chake anatakuwa kuwa daraja la wale wote […]

Read More..

Harmonize: Video ya ‘Matatizo’ ...

Post Image

Msanii Harmonize kutoka katika label ya WCB Wasafi amefunguka na kusema video ya wimbo wake mpya ‘Matatizo’ inazungumzia maisha yake wakati anaitwa Rajabu kabla ya kutambulika kama Harmonize. Harmonize alisema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na EATV na kudai kuna baadhi ya watu wanashangaa kuona alikuwa anaishi maisha hayo na kusema kuwa […]

Read More..

Mike: Naitamani Sana Salamu ya Thea

Post Image

MSANII wa muda mrefu kwenye tasnia ya filamu Bongo, Mike Sangu amefunguka kuwa anatamani sana hata kusalimiana na mtalaka wake Salome Urassa ‘Thea’ kwani ameshakubaliana na matokeo hivyo kiu yake ipo kwenye salamu tu. Akizungumza na gazeti hili, Mike alisema tangu watengane na mkewe huyo, takriban miaka mitatu iliyopitana hawajawahi kusalimiana kitu ambacho anaona si […]

Read More..

Bodi ya Filamu Yataka Wasanii Wasaidiwe

Post Image

Serikali imewataka wadau wa kazi za sanaa kuwasaidia wasanii wachanga katika kazi zao ili waweze kufanikiwa na kutangaza kazi zao kimataifa. Wito huo umetolewa na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Bi.Joyce Fissoo jijini Dar es Salaam wakati akimkabidhi Bi Wakonta Kapunda Shilingi laki tano kwa ajili ya Safari ya kwenda Zanzibar kushiriki mashindano ya […]

Read More..

Mastaa Waliobadili Dini Kisa Ndoa, Watumbul...

Post Image

Baadhi ya wasanii wa filamu Bongo waliowahi kufanya uamuzi wa kubadili dini kutoka kwenye Ukristo kuingia kwenye Uislam ‘wametumbuliwa’ kufuatia mienendo yao isiyokubalika. Masupastaa hao wakiwemo Jacqueline Wolper, Rose Ndauka, Flora Mvungi, Aunt Ezekiel na Ester Kiama wametumbuliwa kutokana na kutoonesha jitihada zozote za kuijua vilivyo dini waliyoiendea. Akizungumza na Ijumaa, hivi karibuni, Shehe Mkuu […]

Read More..

Facebook Sasa Kutuma na Kupokea Fedha Bure

Post Image

Moja ya habari zilizoandikwa kwenye magazetini hii kwenye gazeti la Mtanzania yenye kichwa cha habari ‘Facebook sasa kutuma na kupokea fedha bure’ Gazeti hilo limeandika kuwa utandawazi unazidi kushika kasi ambapo kadri siku zinavyozidi kwenda mambo yanabadilika. Ndiyo maana sasa hivi kuna mambo mengi ambapo licha ya kuwa Tanzania mambo mengine yanachelewa kutufikia, lakini siku […]

Read More..

Nay wa Mitego Ahofia Kufungiwa Ngoma Hii

Post Image

Msanii Nay wa Mitego ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa ‘Saka hela’ ameonyesha wasiwasi na kuhofia wimbo wake mpya ambao utatoka siku ya Jumatatu ya tarehe 11 kufungiwa. Nay wa Mitego amesema wimbo huo ‘Pale kati patamu’ anaamini utachafua hali ya hewa tena kwa mashabiki kutokana na kile alichokiimba ndani ya wimbo huo, […]

Read More..

Afande Sele:Natamani Kuoa Tena

Post Image

Mwanamuziki mkongwe kwenye muziki wa bongo fleva Afande Sele amefunguka na kusema kwa sasa anajisikia kuoa tena baada ya muda mrefu kupita akiishi mwenyewe na kutofurahia maisha anayoishi kutokana na kukosa mke. Afande Sele siku kadhaa zilizopita alisema kuwa yupo na marafiki kadhaa wa kike ambao wanamsaidia kulea watoto wake, na kumfanya aishi akiwa na […]

Read More..

Uwoya: Sipendi Kudumu na Mpenzi Mmoja

Post Image

Staa wa filamu mwenye mvuto wa kipekee Bongo, Irene Uwoya ametoa kali ya mwaka kwa kusema kuwa, huwa hana mzuka wa kudumu na mpenzi mmoja kwa muda mrefu akidai kuwa, wakizoeana sana inakuwa kero kwake. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Uwoya alisema kuwa haoni sababu ya kukaa muda mrefu na mpenzi kwa sababu siyo baba […]

Read More..

Malaika:Sitaki Tena Mpenzi wa Bongo

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Diana Exavery ’Malaika’ amefunguka kuwa kwa sasa hataki tena mpenzi Bongo badala yake akitokea mtu kutoka nje ya nchi, yuko radhi kuwa naye.   Akizungumza na Risasi Vibes, Malaika ambaye hivi karibuni alimwagana na mpenzi wake Mbongo, anayefahamika kwa jina moja la Dadi, alisema wanaume wengi wa Tanzania […]

Read More..

Babu Seya, Papii Wamwangukia JPM

Post Image

MWANAMUZIKI Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ ambao wanasota jela kwa kosa la kuwanajisi watoto 9, wamedaiwa kusaka uwezekano wa kujinasua gerezani kwa kumuangukia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli. Taarifa kutoka kwa chanzo makini zimeeleza kuwa wanamuziki hao kwa kushirikiana na ndugu zao, wamemuandikia barua […]

Read More..

Young D:Nimemrudia Mungu Sasa

Post Image

Msanii Young D ambaye siku za karibuni ameweza kuachana na matumizi ya dawa za kulevya amefunguka na kusema kwa sasa ameamua kumrudia Mungu ili kujijenga na kuzidi kujiimarisha zaidi kiimani ili asiweze kurudi gizani alikotoka. Young D amesema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Young D anadai kuwa alikuwa anapigana […]

Read More..

Bifu la ‘Jike Shupa’ na Shilole Mtandao...

Post Image

Hivi karibuni kumekuwa na mabishano kwenye mitandao ya kijamii kati ya video queen wa ngoma ya Nuh Mziwanda na aliyekuwa na mpenzi wake Shilole, Nuh Mziwanda amepiga stori na Clouds FM. ‘’Wale ni wanawake kwahiyo zile ni tofauti zao kwahiyo siwezi kuingilia na siwezi kuongea chochote yule demu mie nilimlipa pesa yake ya video akafanya […]

Read More..

Davina: Atamani Ramadhani Iendelee

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amedai kuwa anatamani Mwezi Mtukufu wa Ramadhani uendelee kwani umepunguza misengenyo baina yao tofauti na wakati mwingine katika mwaka. Akipiga stori na Risasi Vibes, Davina alisema anatamani Mwezi Mtukufu ungeendelea kwa sababu umekuwa wa amani na utulivu, pia watu wamekuwa wakitenda mema, kujisitiri kwa mavazi ya heshima […]

Read More..