Acha Wajichore , Aunt Ezekile, Kajala, Chuc...
KATIKA dunia ya sasa ya mwendo kasi suala la watu kujichora tattoo sio jambo geni. Wapo wanaojichora kwa ajili ya kuwaenzi wenza wao kwa maana wapenzi, wao, watoto na hata familia zao. Huchora picha ama majina na hata herufi za wahusika mradi kuonyesha namna wanavyowazimia na kuwajali. Kwa mfano katika soka, nyota wa kimataifa wa […]
Read More..





