-->

Author Archives: editor

Acha Wajichore , Aunt Ezekile, Kajala, Chuc...

Post Image

KATIKA dunia ya sasa ya mwendo kasi suala la watu kujichora tattoo sio jambo geni. Wapo wanaojichora kwa ajili ya kuwaenzi wenza wao kwa maana wapenzi, wao, watoto na hata familia zao. Huchora picha ama majina na hata herufi za wahusika mradi kuonyesha namna wanavyowazimia na kuwajali. Kwa mfano katika soka, nyota wa kimataifa wa […]

Read More..

TID: Mimi ni Mtoto wa Kishua

Post Image

Msanii TID ameamua kuwajulisha watu siri ya maisha yake, hususan wale wanaomchukulia poa kuwa amechoka, lakini si kweli. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio TID maesema tangu utotoni mwake amelelewa kwenye familia yenye uwezo kipesa, na kumpa urahisi wa kupata akiyoyahitaji kama mtoto. Akielezea historia ya wimbo wake wa zeze ambao ndio ulimpa […]

Read More..

Picha:Mechi ya TP Mazembe na Yanga,Mashabik...

Post Image

Mechi ya kombe la Shirikisho kati ya timu za Yanga na TP Mazembe imekuwa ya aina yake na kuingia kwenye historia baada ya mashabiki kuingia uwanjani asubuhi na uwanja huo kujaa saa tano asubuhi na mageti kufunga, mechi hiyo itapigwa saa kumi jioni.

Read More..

Madam Rita Afunguka Kuhusu Bongo Star Sear...

Post Image

MKURUGENZI wa Benchmark Production, Rita Paulsen, ametolea ufafanuzi kuhusiana na mchakato wa kusaka waimbaji chipukizi katika shindano lake maarufu la ‘Bongo Star Search’ linalofanyika kila mwaka. Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Rita kutambulisha kipindi chake kipya cha televisheni cha ‘Rita Paulsen Show’ kinachorushwa kila Jumapili katika runinga ya Azam two. “Rita Paulsen Show […]

Read More..

Mr Blue: ‘Mboga Saba’ ni Habari Kubwa

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Mr Blue amesema hajawahi kupata mapokezi mazuri katika muziki wake kama aliyoyapata katika video yake mpya ya wimbo ‘Mboga Saba’ Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Mr Blue amesema kuna vitu vingi vimechangia kazi hiyo kuwa kubwa kwa muda mfupi. “’Mboga Saba’ hii ni kazi ambayo imefanya vizuri zaidi kwa […]

Read More..

Snura Afunguka Kupigwa Chini Kwa ‘Scriptâ...

Post Image

May 4 2016 serikali kupitia wizara ya Habari,Sanaa,Utamaduni na Michezo waliufungia wimbo wa Chura pamoja na kumfungia msanii Snura kimuziki kisha May 5 msanii huyo akawa amekamilisha vitu vyote kisha akafunguliwa kimuziki,kazi ikawa kwenye kuuachia wimbo wa Chura ambao aliambiwa aurudie,kitu unachotakiwa kufahamu kwa sasa,ni kwamba Snura aliandika script ya video lakini pia ilikataliwa. ‘’Nilipeleka […]

Read More..

Nay wa Mitego Awashukia Wanaotaka Kujibisha...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego, amesema kwa levo aliyonayo kwenye gemu la muziki hawezi kushindana na msanii ambaye anatafuta kiki kupitia yeye na huku hafikii levo yake. Nay wa Mitego, aliyazungumza hayo Ijumaa kwenye kipindi cha Friday Night Live ya EATV na EA Radio baada ya kuulizwa kuhusiana na tetesi kwamba hapo awali […]

Read More..

Baada ya Tuzo za BET, Diamond Kuja Upya na ...

Post Image

Tuzo za BET zimefanyika mwishoni mwa wiki hii pande za Los Angeles, Marekani ambapo msanii Diamond Platnumz aliwakilisha Tanzania ambapo mshindi aliyekuwa akiwania tuzo moja na msanii Diamond na wengine kutoka barani Afrika alitoka nchini Afrika Kusini ambaye ni Black Coffee. Diamond amezungumza na Clouds Fm. ‘’Kila kitu kimekwenda fresh tuzo za Afrika zimetolewa ambapo […]

Read More..

Esha Atoa Sababu za Ubonge

Post Image

MWIGIZAJI wa Bongo Muvi, Esha Buheti amedai kuwa ubonge alionao kwa sasa ni kwa sababu ya mapochopocho anayojipikia muda mwingi anapokuwa nyumbani na si kweli kwamba ni mjamzito kama watu wanavyomzushia. Akizungumza na mtandao huu, Esha alifunguka kuwa, kila mtu anamshangaa kunenepa kwake lakini yeye hajutii kwani ni matokeo ya vyakula vinono na kwa mwezi […]

Read More..

Mkubwa na Wanawe Watoa Msaada Hospitali ya ...

Post Image

KITUO cha kuvumbua na kuendeleza vipaji vya muziki cha Mkubwa na Wanawe, kimetoa msaada wa vifaa vya tiba na usafi, dawa za meno, sabuni, maji na juisi kwa wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam. Said Fella, alisema wameamua kufanya hivyo kutokana na kuguswa na changamoto zinazoikabili hospitali hiyo. Alisema alishauriwa na vijana […]

Read More..

Waziri Nape Nnauye Afunguka Kuhusu Wasanii ...

Post Image

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye amefunguka sababu kubwa inayopelekea wasanii wengi kujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya ni pamoja na wasanii hao kuwa na majina makubwa lakini mfukoni hawana kitu. Mhe. Nape Nnauye aliyasema haya kwenye kipindi cha Saturday Sports kinachorushwa na East Africa Radio kila siku za Jumamosi […]

Read More..

Picha:Uwoya Amtia Majaribuni Richie

Post Image

WAKATI Waislam wakiwa kwenye Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, staa wa filamu Bongo, Irene Uwoya juzikati alimtia majaribuni msanii mwenzake Single Mtambalike ‘Richie’ walipokuwa kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar kulikokuwa na harusi ya mdogo wake Steve Mengere ‘Steve Nyerere’, Happy Mengere. Kwenye ‘mnuso’ huo, Uwoya aliyekuwa amevalia kivazi kilichoacha mapaja yake wazi, […]

Read More..

Dude Alia na Hili Bongo Muvi

Post Image

Muongozaji na mwigizaji mahiri wa filamu, Kulwa Kikumba ‘Dude’ anasema kuwa ili tasnia ya filamu isonge mbele lazima wasanii na wadau wote washikane na kuwa kitu kimoja ndio maslahi ya kweli yataoneka na kusonga mbele na kuijenga tasnia ya filamu. “Tukiwa na umoja tunaweza kuwa na nguvu katika jamii, angalia mfano juzi hivi karibuni uliibuka […]

Read More..

Chozi la Mobeto Laana Kwa Lulu!

Post Image

Kufuatia staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kudaiwa kumpora mwanaume aliyezaa naye, chozi la mwanamitindo anayeuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Hamisa Hassan Mobeto linaelezwa kuwa ni laana tosha kwa mwigizaji huyo. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa Mobeto, mrembo huyo ambaye ni sura ya mauzo kwenye matangazo ya […]

Read More..

Afande Sele Awapa Makavu Wasanii Hawa

Post Image

Msanii mkongwe wa bongo fleva, Afande Sele ameongea na Enews na kuongelea swala la wasanii wengi wa kitanzania ‘kufeki’ maisha yao halisi ikiwemo kubadili hata rangi za ngozi zao na kujiongezea weupe na wakati mwingine hata kubadilisha asili yao. Hata hivyo Afande Sele amesema ni kutokana na uelewa wao kuwa mdogo kwa kuwa kubadilisha muonekano […]

Read More..

Picha: Maisha ya Masanja Akiwa Shambani

Post Image

Msanii wa vichekesho wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji ‘street pastor’ ameweka picha kadhaa mtandaoni kuonyesha jinsi anavyowajibika akiwa shambani kwake. Zicheki Hapa NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT: TUNAKUFIKISHIA POPOTE PALE ULIPO: Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489. KAMA WEWE NI MFANYA BIASHARA UNATAKA KUWA WAKALA WA KUSAMBAZA […]

Read More..

Sabby: AliKiba Alitaka Kuniua kwa Mahaba

Post Image

MSANII anayefanya muziki na filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amefunguka kwa kinywa chake kuwa penzi la mwanamuziki mkali wa Bongo Fleva, Ali Salehe Kiba ‘Alikiba’ lilitaka kutoa uhai wake kwani hakuna mwanaume aliyemshika mtima wake zaidi yake. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Sabby anayedai ana historia ya kutendwa na wanaume alisema kuwa amewahi ‘kudate’ […]

Read More..

Nisha Kufutrisha Watoto Waishio Katika Mazi...

Post Image

Asallam aleykhum Wanahabari, Kampuni ya Nisha’s Film Production inapenda kuujulisha Umma kuwa inatarajia kuwakutanisha Watoto Waishio katika Mazingira Hatarishi walio ndani ya jiji la Dar es Salaam, kwa ajili ya Futari tukio hili litakalofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Azani Siku ya Jumapili tarehe 26 June 2016 na kujumuika pamoja kwa kuwapa faraja […]

Read More..