-->

Author Archives: editor

Msalaba wa Ajabu Wamshangaza Mama Kanumba

Post Image

Jambo limezua jambo! Baada ya hivi karibuni barua yenye ujumbe mzito kukutwa kaburini kwa aliyekuwa staa wa sinema za Bongo, marehemu Steven Kanumba, limezuka  jipya ambapo kitu kilichopo kaburini kinachodaiwa ni msalaba (kilichozungushiwa duara pichani) kimemshangaza mama wa Kanumba, Flora Mtegoa. Kitu hicho cha chuma chenye umbo la pembe tatu katikati kikiwa na alama ya […]

Read More..

Snura Mushi: Natamani Kufumaniwa

Post Image

KATIKA hali ya kushangaza mkali wa wimbo wa ‘Chura’ wenye mahadhi ya Singeli, Snura Mushi ‘Snura Majanga’, amedai kwamba anatamani afumaniwe. “Sijawahi kufumaniwa ila natamani nifumaniwe ili nijue uchungu na changamoto zake maana ili uweze kusimulia kitu vizuri sharti kikutokee,” alieleza Snura. Pia Snura alifafanua kwamba licha ya kutokuwahi kuolewa ana watoto wawili huku akiongeza […]

Read More..

Nilimpeleka Mama Ulaya Kumtoa Ushamba ̵...

Post Image

Msanii wa Bongo flava Diamond Platnumz alitembelea nchi karibuni tisa za ulaya katika ziara yake ya kimuziki aliyoimaliza hivi karibuni. Amesema ameona kuwa mziki wa bongo flava umekuwa mkubwa sana duniani kwani alijaza kumbi ambazo hata baadhi ya wanamuziki wa Marekani wakifika wanafanyia kule kwa sababu sio kila msanii wa marekani anaweza kujaza Arena hizo. […]

Read More..

Kisa Mil.98 Wema Ammwaga Idris

Post Image

Habari ya mtoto mzuri Wema Sepetu ‘Madam’ kumwagana na mpenzi wake, Idris Sultan si ngeni masikioni mwa wapenda ubuyu, imetapakaa kwenye mitandao ya kijamii lakini Amani limenasa sababu kubwa inayodaiwa kusababisha penzi hilo kuvunjika, twende pamoja. Mwishoni mwa wiki iliyopita, wawili hao waliripotiwa kumwagana rasmi ambapo haikubainika mara moja sababu. TUJIUNGE NA CHANZO Iliposambaa habari […]

Read More..

Gari ya Aunty Ezekiel Yashikiliwa na TRA

Post Image

Gari ya mwigizaji wa bongo movie Aunty Ezekiel imeshikiliwa na mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), baada ya kutumia gari kabla ya kulipia ushuru. Gari yake ya aina ya AUDI aliyoiagiza afrika kusini ilikamatwa mwezi mmoja uliopita ikiwa na namba ambazo siyo Tanzania. Aunty Ezekiel ameeleza kuwa aliitumia gari hiyo wiki moja tu ndipo mamlaka ya […]

Read More..

TCRA Yawapa Kibano Akina Lulu!

Post Image

Kufuatia tabia ya akina dada wengi kuweka picha za nusu utupu katika akaunti zao kwenye mitandao ya kijamii, wakiwemo mastaa kama Lulu, Masogange na wengineo, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewapa kibano kikali, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili. Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Meneja Mawasiliano wa Mamlaka hiyo, Innocent Mungi alisema ingawa […]

Read More..

‘Sikupendi Wala Sikuzimii Marekani...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz amefunguka kuhusu suala la yeye kutonunua nyumba nchini Marekani kama wasanii wenzake wakubwa wa Afrika wanavyofanya. Diamonda amefunguka hilo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa haoni umuhimu wa yeye kununua nyumba Marekani, tofauti na alivyonunua Afrika Kusini, kwani kule ilimlazimu. “Nna nyumba South Africa kwa sababu nina familia […]

Read More..

Ray Atuhumiwa Uchawi, Afunguka

Post Image

Staa wa filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameingia kwenye kashfa nzito baada ya kudaiwa kutumia ndumba kwenye sanaa ili kuwa juu ya wenzake, Risasi Mchanganyiko limetonywa. Chanzo kutoka Bongo Muvi kilieleza madai kwamba msanii huyo mwenye jina kubwa, amekuwa ‘akiwachezea’ wenzake ili wasifanye vizuri kwenye soko la sanaa na sasa hivi ndiye anayeongoza kwa […]

Read More..

Mtunis: Filamu za Bongo Zinalipa Sana

Post Image

STAA wa filamu nchini, Nice Mohammed ‘Mtunis’, alisema soko la filamu litakuwa kubwa kama filamu zinazozalishwa nchini zitakuwa na ubora unaotakiwa kwa jamii ambao ndio wanunuaji. Mtunis aliliambia MTANZANIA kwamba licha ya waigizaji na wadau wengi kudai kwamba filamu za Bongo hazilipi yeye anasema kwamba filamu hizo zinalipa ila zisizolipa ni zile zinazokosa uandaaji mzuri. […]

Read More..

Joka la Kijiji Filamu Kubwa Kutengenezwa Bo...

Post Image

Hatimaye filamu ya kwanza ya aina yake inayohusisha joka kubwa linalosumbua wanakijiji na kumeza watu imekamilika kutengenezwa. Filamu hiyo iliyopewa jina la JOKA LA KIJIJI imetengenezwa na kampuni mpya ya Zakwetu Network. Mtunzi na muongozaji wa filamu hiyo, Mkongwe Sultan Tamba ambaye ndiye aliyesukuma gurudumu la tasnia ya mlipuko wa filamu kwa kutunga na kutayarisha […]

Read More..

Amini Amenibadilisha Kimuziki – Peter...

Post Image

Msanii Peter Msechu amefunguka na kusema kuwa yeye saizi kuanza kufanya vizuri kwenye muziki ni kutokana na kufanya collabo na baadhi ya wasanii kama Amini na amekiri wazi kuwa Amini ndiye ameweza kumfanya atambue watanzania wanapenda nini. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Peter Msechu amesema kuwa mafanikio ya yeye kuanza […]

Read More..

Bongo Movies Premier: Filamu Kibao Kuonyesh...

Post Image

Kwa mara ya kwanza  Steps Entertainment inakuletea Bongo Movies Premier,  filamu za  kibongo zitazinduliwa kiwa kuonyeshwa kwenye big screen kabla ya kuingia sokoni. Wasanii mbalimbali wakiwemo viongozi wanatarajia kuudhulia katika uzinduzi wa filamu mpya ya MKWE ambayo imechezwa na waigiza Odama, Taiya Odera, Muntrah na Hemedi  pamoja na filamu ya NAJUTA SHAMSI ambayo imeshirikisha wasanii […]

Read More..

Ommy Dimpoz: Tafuta Hela Ndo Utajua Kama We...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz ameandika hayo kwenye ukurasa wake wa instagram mara baada ya kuweka picha hii. “Tafuta Hela Ndo Utajua kama wewe ni Handsome au Beautiful? #MondayMotivation” -Ommy Dimpoz. Neno moja kwake  

Read More..

Video Mpya ya Mpoto na Banana ya Wimbo wa K...

Post Image

Ni kampeni ya usafi ambayo imeandaliwa na mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda

Read More..

Alikiba Afunguka ‘Kummiss’ Dada...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Alikiba amefunguka na kusema kuwa kuna wakati huwa anamkumbuka sana msanii wa kike ambaye ni dada wa msanii Diamond Platnumz Queen Darleen. Ikumbukwe kuwa msanii Alikiba kipindi cha nyuma aliwahi kufanya kazi na msanii Queen Darleen na walikuwa na ukaribu wa hali ya juu kiasi kwamba wapo watu walihisi kuwa labda […]

Read More..

Nilisingiziwa Mtoto Anafanana na Diamond &#...

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini Idris Sultan amefunguka na kusema kuwa alipotoka kwenye mashindano ya Big Brother Africa alipotua nchini Tanzania alisingiziwa kuwa na watoto watatu na mwanamke mmoja wa Mtwara alimleta mpaka mtoto mwenyewe kwake.   Akizungumza kupitia kipindi cha ‘Mkasi’ kinachorushwa na EATV Idris Sultan alisema alivyoletewa mtoto alibaki akishangaa na alivyomwangalia vizuri yule mtoto […]

Read More..

Gabo Awapa Makavu ‘Matipwatipwa’ wa Bon...

Post Image

Staa wa Filamu Bongo, Salim Ahmed ‘Gabo’ juzikati aliwachana mastaa wa kike wa filamu Bongo kuwa wengi wao hawafai kuigiza scene muhimu kwa sababu wamejiachia na kuwa matipwatipwa. Akipiga stori na Ijumaa, Gabo alisema anawashangaa mastaa wanaolalamika kutopewa nafasi za kuigiza kwa sasa akidai kuwa sababu kubwa ya kuchuniwa ni kuchuja kwao na kutoendana na […]

Read More..

Shamsa Ford Afurahia Kurudiana na Ney wa Mi...

Post Image

BAADA ya kauli ya rapa Ney wa Mitego kwa mpenzi wake wa zamani, Shamsa Ford kwamba kama anachagua wasichana wa kurudiana naye atakuwa wa kwanza kutokana na ukarimu na mapenzi yake, mrembo huyo ameibuka na kufurahia kauli hiyo. Shamsa aliliambia MTANZANIA kwamba, “Mimi na Ney tuliwahi kuwa wapenzi japo tumeachana ila kiukweli tulipendana sana na […]

Read More..