Johari Alia na Watayarishaji Wadogo wa Fila...
MSANII nguli katika tasnia ya filamu Bongo Blandina Chagula ‘Johari’ amewatolea uvivu watayarishaji wadogo kama ndio chanzo cha kudorora kwa tasnia ya filamu Bongo kwani wamekuwa wakitumia bajeti ndogo katika utengenezaji wa Filamu na kulipua kazi zao. “Niseme ukweli tu watayarishaji wadogo wanaua tasnia ya filamu kwa kukurupuka bila kujipanga hauwezi kutengeneza filamu nzuri kwa […]
Read More..





