-->

Author Archives: editor

Lulu Adaiwa Kulipiwa Mahari

Post Image

Wakati akikanusha vikali taarifa mbaya za kuzushiwa kifo mwishoni mwa wiki iliyopita na watu ambao alisema hajui lengo lao, habari ya heri ni kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, (pichani) anaelezwa kuwa kwenye shamrashamra za ndoa baada ya kudaiwa kulipiwa mahari na mfanyabiashara maarufu jijini Dar (jina linahifadhiwa kwa sasa).   Kwa […]

Read More..

Nilianguka Bahati Mbaya Kama Binadamu-Ray C

Post Image

Msanii maarufu nchini wa muziki wa bongo fleva Rehema Chalamila, amesema watu wasimhukumu kwa hali aliyo nayo sasa kwani alianguka kama binadamu wengine . Ray C ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano katika kipindi cha Planet bongo kinachorushwa na kituo cha EATV . ”Nilianguka bahati mbaya kama binadamu wengine ,nikajitambua sasa nipo vizuri naendelea na maisha […]

Read More..

Ray: Kama Huamini Sikulazimishi, Mi Maji Ya...

Post Image

HIVI kari-buni gumzo kubwa mitaani pamoja na kwenye mitandao mingi ya kijamii ilikuwa juu ya staa wa Bongo Muvi, Vincent Kigosi ‘Ray’ baada ya kudai kuwa kunywa maji mengi kunamfanya aendelea kuwa mweupe. Kauli hiyo alianza kuitoa katika mahojiano aliyofanyiwa katika Kipindi cha E-News kinachorushwa na EATV ambapo alisema kwamba huwa anakwenda saluni mara moja […]

Read More..

Nay wa Mitego Awachukulia R/B Wanaomfuatili...

Post Image

MKALI wa Bongo Fleva, ambaye wimbo wake wa ‘Shika Adabu Yako’ umefungiwa na Baraza la Sanaa Nchini (Basata), Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, ameibuka na kudai kwamba ameamua kuchukua R/B kituo kidogo cha polisi ili kuwadhibiti watu anaodai wanamfuatilia kwa nia ya kumtendea mabaya. “Kiukweli sina ugomvi na mtu na hii ni dunia haina siri, […]

Read More..

Alikiba Aeleza Kwanini Hakuweza Kumuoa Mwan...

Post Image

Alikiba ameitaja sababu iliyomfanya ashindwe kumuoa mwanamke yeyote kati ya watatu aliozaa nao.   Hitmaker huyo wa Lupela alikiambia kipindi cha Chill na Sky kuwa hakupenda kulazimisha iwe hivyo. “Unajua hauwezi kumuoa mtu kama hamuelewani. Nia yangu ilikuwa ni kustick na kila mama wa mmoja toka nilipoanza. Lakini mambo yanaenda tofauti, huenda mnagombana anapata mtu […]

Read More..

Mkwanja wa Dili la Voda ni Fifty-Fifty Kati...

Post Image

Wiki kadhaa zilizopita, Diamond Platnumz alisaini mkataba wa mamilioni ya shilingi kuwa balozi wa kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania.   Dili hilo limemfanya muimbaji huyo wa ‘Make Me Sing’ aonekane kwenye matangazo ya TV, yale ya barabarani, kwenye magezeti na vipeperushi vingine pamoja na kusikika kwenye matangazo ya redio. Kwenye tangazo la TV, si […]

Read More..

Maisha Yangu Sasa ni Magumu – Ray C

Post Image

Mwanadada ambaye alifanya vizuri kwenyesekta ya muziki wa bongo fleva Ray C amefunguka na kusema kuwa maisha yake kwa sasa ni magumu. Ray C alisema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa kupitia ting’a namba moja kwa vijana EATV, Ray C amedai kuwa kuna muda mwingine analazimika kuvaa hijabu kujificha ili aweze kupanda daladala na […]

Read More..

Masogange na Wenzako Tumieni Ujana Wenu Viz...

Post Image

KWAKO Agness Gerald ‘Masogange’ pamoja na wenzako wengi ambao baadhi yao nitawataja kwa majina hapo chini. Nawasalimu katika jina la Bwana, vipi mko poa? Mnajionaje na hali? Mishe zenu zinakwenda kama kawaida? Mkitaka kujua afya yangu, mimi namshukuru Mungu. Naendelea vizuri. Nazidi kupambana ndani ya huu mjengo mkubwa wa Magazeti Pendwa Tanzania, Global Publishers Ltd. […]

Read More..

Hemedy na Rich Mavoko Wamenigombania- Gigy ...

Post Image

Video queen Gigy Money ambaye hivi karibuni alikuwa kwenye vichwa vya habari za burudani baada ya msanii Tekno Miles kutoka Nigeria, kukana kuwa na mahusiano naye, amefunguka jipya na kuweka wazi watu ambao aliwahi kuwa na mahusiano nao. Akiongea katika kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Television, Gigy alisema kuna baadhi ya wasanii […]

Read More..

Ray Producer wa Tajiri Mfupi Ndio Habari ya...

Post Image

MWIGIZAJI Muongozaji na mtayarishaji wa filamu  Vincent Kigosi Ray ameteka kila kona ni yeye kuliko hata game ya Yanga na samba wala watu hawana habari na matokeo ya kidato cha nne kila mtu ni Ray Ray, hiyo inaonyesha msanii huyo ni Nyota kweli katika tasnia ya filamu Bongo.   Huku akijiandaa kuachia filamu yake ya […]

Read More..

Nuh Mziwanda: Shilole Alikuwa Ananioteza, H...

Post Image

Nuh Mziwanda amedai kuwa Shilole hakuwa mwanamke aliyekuwa akimshauri mambo ya msingi. Akiongea na Clouds FM, Nuh amedai kuwa ex wake huyo hakuwa hata kumshauri ajijenge kimaisha kwakuwa alipenda aendelee kuwa tegemezi. “Nilikuwa naishi kwa mwanamke wangu (Shilole) alikuwa hataki ninunue hata feni, hajawahi kuniambia ninunue friji,kitanda niweke nyumbani kwa mama yangu vikae,ila wazazi wangu […]

Read More..

Mtoto wa Kanye West Amchanganya Wema Sepetu

Post Image

Siku moja baada ya mastar wakubwa Kim Kardashian na Kanye West kupost picha ya mtoto wao wa pili aitwaye ‘Saint West’ ameonesha kumchanganya sana bidada Wema Sepetu kwa kile alichokifanya kwenye mitandao yake ya kijamii.   Wema Sepetu jana amepost picha zaidi ya tatu Instgram za mtoto huyo huku akionesha ni jinsi gani ametokea kumpenda […]

Read More..

Mwakifamba, Kipemba Kugombea Urais

Post Image

KAMATI ya Uchaguzi wa viongozi wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), imetangaza majina ya watakaogombea katika uchaguzi utakaofanyika katika Ukumbi wa Urafiki, Ubungo, Februari 20 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mathew Bicco, alisema uchaguzi huo utakuwa na nafasi tatu za kugombania ambazo ni urais, […]

Read More..

Wema Ashauriwa Aachane na Wanaume wa Instag...

Post Image

Malkia wa controversy, Mange Kimambi yupo shingoni mwa Idris Sultan akimuelezea kuwa miongoni mwa ‘these young guys wanaoshinda kwenye social media.’ Mange amepost kipande cha video kinachomuonesha Idris akiimba wimbo wa Justin Bieber, Sorry. “I think wote mshaona balaa la Idris na Wema huko snap chat. Idris ndo alieanza vijembe mwishowe Wema kamjibu Kwa kusema […]

Read More..

Linah Alala na Wizkid Hotelini

Post Image

Imefichuka! Hatimaye ishu ya wanamuziki wa Bongo, Estelina Sanga ‘Linah’, kudaiwa kulala kitanda kimoja na msanii wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’, imebumburuka. Baada ya kuandamwa na skendo hiyo ya kutoka kimapenzi na Wizkid huku mashabiki wake waliyo wengi wakishindwa kuamini juu ya uhusiano huo, hatimaye sasa mambo yamevuja na kujidhihirisha kuwa kweli staa […]

Read More..

Kisa Nicki Minaj, Shilole Asaka Ticha wa Ki...

Post Image

Msanii Shilole au Shishi Baby, anatafuta mwalimu wa kumnoa kwenye lugha ya kingereza, ikiwa ni maandalizi ya kuonana na msanii wa Marekani Nicki Minaj. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Shilole amendika tangazo akimtaka mtu ambaye ni mwalimu wa lugha hiyo kuwasiliana, ili aweze kuanza mafunzo hayo. “Anatafutwa mwalimu wa kingereza mzuri, jamani huu sio utani […]

Read More..

Lulu Azushiwa Kifo Kwenye Mitandao ya Kijam...

Post Image

Msanii wa filamu Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesikitishwa na watu ambao wamemzushia kifo katika mtandao wa kijamii. Mtandao mmoja uliandika ‘Picha 40 na video za msiba wa msanii wa bongo movie hizi hapa . RIP Elizabeth’. Baada ya kauli hiyo, Lulu kupitia instagram aliandika Nasikia Nimekufa Wewe uliyePost hii. Kama wewe utakuwepo TUTAONANA TENA 2017 […]

Read More..

Filamu ya Kasanga Naye Mwana Yaingia Sokoni...

Post Image

ILE Filamu ya Kasanga naye mwana imeingia leo sokoni na kusambazwa nchi nzima akionge na FC Nassor kutoka kampuni ya Steps Entertainment ya jijini Dar es Salaam amesema kuwa filamu hiyo inaptaikana katika maduka yote ya filamu na Bongo movie Shop kila mkoa. Filamu ya Kasanga Naye Mwana imeingia leo sokoni na inapatikana katika maduka […]

Read More..