-->

Author Archives: editor

‘Homecoming’ na ‘Going Bongo’ ni Fu...

Post Image

Msanii wa filamu Rose Ndauka amesema kuwa filamu mpya ya Homecoming pamoja na Going Bongo ni filamu bora zaidi kuzinduliwa nchini mwaka 2016 ambapo amewataka wasanii wa Tanzania kuiga mfano. Akizungumza na Bongo5 Jumatatu hii, Rose alisema kila msanii wa filamu aliyoangalia filamu hizo lazima alitoka na kitu. “Mwaka umeanza kwa changamoto ya kazi, hivi […]

Read More..

Zari Bado Mbichi Kama Embe la Msimu – Dia...

Post Image

Wakati kuna watu wanaodhani kwa kuwa ni mama wa watoto wanne, Zari anaweza kuwa ameshapoteza sifa za ‘usichana’, Diamond ana mtazamo tofauti. Hitmaker huyo wa ‘Utanipenda’ anamuona Zari the Bosslady kama msichana mbichi ma hauchoki uzuri wake. “I swear I can’t get use to your Cuteness…Kadada kabichiii… kama Embe la Msimu,” aliandika Diamond kwenye picha […]

Read More..

Pombe Ina Madhara Kuliko Bangi – Afan...

Post Image

Msanii mkongwe wa hip hop nchini, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumizi ya bangi na si kukosoa juu ya hoja iliyotolewa na mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma. Ikiwa imepita siku moja toka mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma (CCM), kusema haoni sababu ya serikali kuzuia bangi kuwa zao la biashara kwa maana […]

Read More..

Nisha Aongeza Utata Juu ya Mahusiano na Bar...

Post Image

Msanii wa filamu Nisha Jabu, ametoa upande wake wa maelezo juu ya mahusiano yake na nyota wa muziki Barakah Da Prince, kufuatia kauli ya mwanamuziki huyo wiki iliyopita kukana kuwepo kwa mahusiano ya kimapenzi kati yao. Nisha amesema kuwa, Baraka ni msanii ambaye ni mchapakazi na anaona mbali, tabia ambayo ni ya aina ya mwanaume […]

Read More..

Shela la Aunt Lazua Maswali Tata

Post Image

KUNASWA kwa msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akiwa ndani ya gauni la harusi (shela) kumezua maswali tata huku wadau wakiamini alikuwa safarini kwenda ukumbini kwa ajili ya harusi yake. Aunt alinaswa hivi karibuni akitoka ndani ya saluni moja iitwayo Wedding  Dover, Sinza Afrikasana akitoka akiwa ndani ya shela hilo. Kwa mujibu wa chanzo chetu, […]

Read More..

Ray C Kayaandika Haya Baada ya Kuhusishwa T...

Post Image

Msanii mrembo wa Bongo fleva Ray C leo ameonyeshwa kukwazwa na moja ya habari zilizoandikwa kenye moja ya kurasa za magazeti Bongo, na hiki ndicho alichokiandika. “Seriously kwa kweli huwa naumia sana sana kuona binadam mwezangu anadiriki kuniharibia jina langu ilj yeye apate kula!hamjui mnaniathiri kiasi gani na hizi habari zenu?Hivi unadirikije kuandika usengwile kama huu […]

Read More..

Shilole Asema Kuachana na Nuh Mziwanda Haku...

Post Image

Ngoma ya ‘Nyang’anyang’a’,Shilole alimuimbia aliyekuwa mpenzi wa Nuh Mziwanda kabla hawajaachana,anazungumzia kama hali hiyo inamzuia kuendelea na project yake ya wimbo huo. ‘’Hapana hainipi ugumu wowote kwasababu wimbo nimeimba bila kumtaja mtu jina ila nimesema nilimuimbia aliyekuwa mpenzi wangu Nuh Mziwanda,hakuna ambacho nishindwe kuendelea ku’promote’ wimbo wangu na hainipi ugumu wowote kabisa,’’Shilole. Cloudsfm.com

Read More..

Niliambiwa Sharo Milionea Ananiloga kwa Maf...

Post Image

Kitale a.k.a Mkude Simba ni mwigizaji/mchekeshaji Tanzania na amechukua sifa nyingi kutokana na zile sauti zake za kuchekesha na video fupifupi zilizotambaa Whatsapp akiigiza kama Teja, kwenye hii video hapa chini kaongea jinsi imani za kishirikina zilivyotaka kumkosanisha yeye na Marehemu Sharomilionea pamoja na mengi ya maisha. Kabla hujaitazama hii Interview pia ukumbuke kwamba Kitale […]

Read More..

Idris zikiisha pesa tuachie miss wetu -Ommy...

Post Image

Utani ni njia moja wapo ya kufikisha ujumbe kwa mtu kwa lengo la kumkumbusha au kumueleza jambo fulani, njia hiyo ameitumia msanii Ommy Dimpoz kufikisha ujumbe kwa Kupitia Account yake ya Instagram siku kadhaa zilizopita Ommy Dimpoz aliweka ujumbe ambao baadhi ya watu walihisi kwamba huenda mkali huyo alikuwa akifikisha ujumbe wa moja kwa moja […]

Read More..

Faiza wa ‘Sugu’ Aomba Radhi, Azindua Ki...

Post Image

MSANII wa filamu nchini, Faiza Ally, amezindua kipindi cha runinga kiitwacho ‘Stars’ ambacho kitakuwa kikizungumzia maisha yake. Akizungumza katika kipindi cha Friday night live kinachoongozwa na mtangazaji, Sami Misago, wakati akitambulisha kipindi hicho alisema kitaanza kuoneshwa Jumanne katika kituo cha Eatv na kitahusu maisha yake ya kila siku. “Kipindi changu kipya kitakuwa kikiitwa ‘Stars’ na […]

Read More..

Nilijinyima Kiasi cha Kuogopa Kula Chips Il...

Post Image

Msanii wa filamu na mjasiriamali, Salma Jabu aka Nisha amesema mafanikio aliyopata yametokana na kujinyima ambapo amedai ilifikia hatua alikuwa akishinda kwa kula mihogo huku akiogopa kula chipsi pesa zisije zikaisha.   Muigizaji huyo ambaye mpaka sasa ana filamu nane ambazo amezitoa kupitia kampuni yake ‘Nisha’s Film Production’, alikiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa […]

Read More..

Afya ya Johari Yashtua Wengi!

Post Image

KUNENEPEANA! Na ‘kuumuka’ kwa muigizaji wa muda mrefu, Blandina Chagula ‘Johari’ kumezua gumzo na mishangao kwa wadau wengi wa filamu na burudani huku wakihoji kwa undani mabadiliko hayo ya ghafla kwani siku chache zilizopita Johari alikuwa habari ya mjini kutokana na kudhoofika kwa afya yake. Wakizungumza na Amani hivi karibuni, baadhi ya mashabiki na wasanii […]

Read More..

Ndauka Asisitiza Elimu kwa Wasanii

Post Image

Staa wa filamu Rose Ndauka amewataka wasanii wenzake pamoja na mashabiki katika nafasi zao kuzingatia elimu ambayo ina umuhumu mkubwa katika suala zima la maendeleo. Rose amesema, kwa mtu yoyote kuendelea katika nafasi aliyopo ni muhimu kujituma kujifunza zaidi kwa upande wa sekta binafsi na sekta rasmi, ikiwa inafahamika pia kuwa elimu haina mwisho. Staa […]

Read More..

Hakuna Haja ya Korabo na Wanaijeria – JB

Post Image

MWIGIZAJI mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo Jacob Stephen ‘JB’ amesema kuwa haoni sababu ya kuigiza filamu kwa kuwashirikisha wasanii wakubwa kutoka Naijeria au Ghana ili kupata sinema kubwa bali ni kutumia kampuni kubwa za filamu kutoka afrika ya Kusini kufanya nao kazi. “Hakuna haja ya kuwashirikisha wasanii kutoka Naijeria au Ghana ili kufanya filamu […]

Read More..

Dotnata, Pacha Wake Majanga

Post Image

Staa mkongwe kwenye sinema za Bongo, Illuminata Poshi ‘Dotnata’ akiingizwa kwenye gari la wagonjwa. DAR ES SALAAM: Staa mkongwe kwenye sinema za Bongo, Illuminata Poshi ‘Dotnata’ na pacha wake, Dometria Alphonce wapo hoi kufuatia mmoja kuanguka bafuni na kuvunjika mfupa wa mguu, mwingine kuvamiwa na majambazi. Chanzo makini kililiambia gazeti hili juzi kuwa, Dotnata aliteleza […]

Read More..

Filamu ya Kibonge Mtata Kutikisa Mtaa Jumat...

Post Image

KAMPUNI ya Splash Entertainment inatarajia kuachia filamu kali na ya kusisimua jumatatu wiki ijayo tarehe 01.February .2016 ijulikana nayo kwa jina la Kibonge mtata kazi ambayo msemaji wa kampuni hiyo Steve Selengia anasema itakuwa mwanzo mzuri katika kufungua mwaka huu. “Tumejipanga katika kuhakikisha kuwa sinema yetu ya Kibonge Mtata inamfikia kila mdau wa kazi za […]

Read More..

Chopa la Doria Wanyamapori Latunguliwa, Rub...

Post Image

Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe akitembelea eneo la tukio.Hali ilivyokuwa eneo la tukio. Watu wanaodaiwa kuwa ni majangili na wawindaji haramu wameitungua kwa risasi helkopta ya doria ya wanyamapori katika pori la akiba la Maswa lililoko Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu, Kusini mwa hifadhi ya taifa ya Serengeti na kumuua rubani wa […]

Read More..

Diamond Platnumz Kazinyakua Tuzo Nyingine K...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amezidi kuziandika headline katika ulimwengu wa sanaa baada ya usiku wa leo kuzinyakua tuzo mbili za Hipipo Awards zilizofanyika Uganda. Ushindi alioupata ni Nyimbo bora Afrika Mashariki na Video bora Afrika Mashariki ambazo zote ni kupitia wimbo wa Nana. Baada ya ushindi kupitia account yake ya Instagram Diamond aliandika […]

Read More..