Sijalivunja Jahazi- Said Fella
Meneja wa kundi la Yamoto Band, Said Fella amefunguka na kusema yeye si sababu ya kuvunjika kwa Band ya Jahazi Modern Taarab ambayo ilikuwa inamilikiwa na Mzee Yusuph baada ya wasanii wakongwe na nguli wa band hiyo kukimbilia kwenye Band mpya iliyoanzishwa na Said Fella. Akizungumza kwenye eNEWZ Said Fella amedai kuwa yeye hajaivunja Jahazi bali […]
Read More..





