-->

Author Archives: editor

Sijalivunja Jahazi- Said Fella

Post Image

Meneja wa kundi la Yamoto Band, Said Fella amefunguka na kusema yeye si sababu ya kuvunjika kwa Band ya Jahazi Modern Taarab ambayo ilikuwa inamilikiwa na Mzee Yusuph baada ya wasanii wakongwe na nguli wa band hiyo kukimbilia kwenye Band mpya iliyoanzishwa na Said Fella. Akizungumza kwenye eNEWZ Said Fella amedai kuwa yeye hajaivunja Jahazi bali […]

Read More..

Diamond Platnumz Ashinda Tuzo Tatu AFRIMA

Post Image

Diamond Platnumz ameibuka na ushindi wa nguvu kwenye tuzo za Afrima 2016 zilizotolewa Jumapili hii jijini Lagos, Nigeria. Muimbaji huyo ameshinda tuzo tatu, Song of The Year – Utanipenda, Best Artist/Duo/Song Of The Year Utanipenda na Best Male Artist in Eastern Africa. Pamoja na ushindi huo, Diamond pia alitumbuiza wimbo alioimba na Papa Wemba, msanii […]

Read More..

Viongozi, Wasanii Pamoja na Wadau Wamlilia ...

Post Image

Viongozi, wasanii pamoja na wadau mbali mbali nchini wamlilia aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samweli Sitta aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akipatiwa matibabu nchini Ujerumani. Viongozi hao pamoja na wadau wameandika ujumbe mbalimbali katika mitandao ya kijamii kuonyesha kuwa taifa limepoteza mtu muhimu. Makonda Asante baba umenifundisha uongozi,Siku […]

Read More..

Msanii Bora 2016 Kwangu ni Dogo Janja- Nick...

Post Image

Rapa Niki wa Pili kutoka katika kundi la Weusi amefunguka na kusema kuwa kwa mtazamo wake kwa mwaka 2016 msanii bora kwake ni Dogo Janjakwani msanii huyo ameweza kufaulu kwa kiwango cha juu mtihani ambao unawashinda wasanii, wasomi, wafanyabiashara wengi duniani. Niki wa Pili anasema Dogo Janja aliwahi kuteleza na kuanguka lakini ameweza kufanikiwa kuinuka […]

Read More..

Lord Eyes Amuombea Chid Benzi

Post Image

Rapa Lord Eyes kutoka katika kundi la Weusi amefunguka na kumtaka msanii Chid Benzi kutopagawa kwani yeye bado ni msanii mkali sana mwenye uwezo wa hali ya juu hivyo anazidi kumuombe kwa Mungu ili aweze kutoka katika mambo ambayo yanamchanganya pia amemkumbusha kuwa anapaswa kumuomba Mungu kwani kila jambo linawezekana. Lord Eyes alisema hayo kupitia […]

Read More..

Hemed ‘PhD’, Filamu Kali, Muziki Mzuriâ...

Post Image

NIKIMTAZAMA msanii mwenye makeke mengi akiwa na uwezo mkubwa wa kuvaa uhusika, Hemed Suleiman ‘PhD’, namkumbuka galacha wa Bongo Fleva Khaleed Mohamed ‘TID’. TID yeye ni msanii wa Bongo Fleva akitamba zaidi kwenye RnB, ambaye aliweza kung’aa sana enzi zake na hadi sasa akiwa na bendi yake iitwayo Top Band. Akiwa yupo kwenye kilele cha […]

Read More..

Rose Ndauka Atoa Ombi Hili kwa Serikali

Post Image

Msanii wa filamu nchini,Rose Ndauka ameitaka serikali kuongeza nguvu katika kusimamia kazi za wasanii. Rose ametoa kauli hiyo alipokuwa akiuzungumzia utendaji wa Rais Magufuli katika kipindi cha mwaka mmoja toka achaguliwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. “Kwenye tasnia ya filamu nikimuongelea Rais John Pombe Magufuli mi mabadiliko ninayoyafikiria ni mabadiliko zaidi ya […]

Read More..

Wema Sepetu Amtolea Uvivu Muna, Ampa Makavu...

Post Image

Staa na mrembo kutoka Bongo Movie, Wema Sepetu na shosti wake wa karibu Muna kimenuka – Kupitia mtandao wa Instagram Wema Sepetu amemtuhumu rafiki yake huyo kumtumia mama yake kama ‘ndondocha’. Kupitia mtandao huo, Wema ameandika: Rose Alphonce Nungu… Nakuita tena kwa mara ya pili Rose Alphonce Nungu…. Unanitafutia nini wewe mwanamke…!? Nini nimekukosea wewe […]

Read More..

Mzee Chilo Awataka Wasanii wa Filamu Kuacha...

Post Image

guli wa filamu, Ahmed Olotu maarufu kama ‘Mzee Chilo’ amesema licha ya tasnia ya filamu kukumbwa na changamoto nyingi lakini wasanii wa filamu wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuacha kulalamika. Mzee Chilo aliiambia Bongo5 kuwa wasanii hawatakiwi kukata tamaa kwa kuwa tayari wameitoa mbali tasnia ya filamu. “Mimi napenda kuwaambia wasanii wenzangu tufanye kazi […]

Read More..

Mpenzi Mpya wa Wema Afungukia Alichokipata ...

Post Image

Model Calisah ambaye anadaiwa kutoka kimapenzi na Wema Sepetu amesema hajawahi kutukanwa kama alivyotukanwa na watu katika mitandaoya kijamii baada ya kudai kuwa hamjui aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu na mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan. Calisah wiki tatu zilizopita alidai hamjui Idris Sultan kwa kuwa sio mtu wa kufuatilia maisha ya watu […]

Read More..

Bodi ya Filamu:Hakuna Wezi wa Kazi za Sanaa

Post Image

Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi. Joyce Fisso amesema hana taarifa na wizi wa kazi za wasanii na kuwasihi wasanii kufikisha malalamiko yao ofisini kwake ili yaweze kufanyiwa kazi kwa wakati. Akiongea ndani ya eNewz Bi.Fisso amesema kama kuna wasambazaji wanaohusika na wizi wa kazi za wasani au mtu yeyote ni bora kuacha mara […]

Read More..

Steve RnB Atoa Dongo kwa Nuruelly na Rama D

Post Image

Msanii wa RnB nchini Steve RnB amesema hawezi kufanya muziki wa kisingeli na siku akifanya atachekesha hata Nuruelly na Rama D wamekosa washauri sahihi mpaka kuamua kufanya aina hiyo ya muziki. Akipiga story ndani ya eNewz, amesema hadhani kama ni kitu sahihi kutoka katika muziki wa RnB na kuimba Singeli labda kama waliofanya hivyo walifanya […]

Read More..

Tuzo Zimeleta Faraja Kwenye Filamu – Gabo

Post Image

Msanii wa filamu ambaye kwa sasa ndiye ‘hot cake’ kwenye tasnia, Gabo Zigamba, amesema wasanii wa filamu wamepata kwa faraja kuanzishwa kwa EATV AWARDS. Akizungumza na EATV Gabo amesema kwanza ni changamoto kubwa kwao kwani itatengeneza ushindani, ukizingatia kwa upande wa filamu kwa muda mrefu kumekuwa hakuna kitu cha kuwafariji  na kutambua mchango wa wasanii wa […]

Read More..

Diamond: Rich Mavoko Ana Mabomu ya Hatari

Post Image

Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kusema kuwa ukimya wa Rich Mavoko unatokana na msanii huyo kujipanga na kazi zake mwenyewe na kudai mpaka sasa amefanya kazi nyingi na kali sana. Diamond Platnumz alisema hayo hivi karibuni kupitia kipindi cha Friday Night Live na kusema kuwa Rich Mavoko amefanya kazi nyingi lakini yeye mwenyewe anaziweka pembeni na […]

Read More..

DSTV Kuwapa Ulaji Waigizaji wa Bongo Movies

Post Image

KING’AMUZI cha Dstv kilicho chini ya Multchoice, kinatarajia kutoa kipaumbele kwa waigizaji Watanzania kutumia chaneli yake ya ‘Maisha Magic Bongo’ kutoa elimu ya lugha ya Kiswahili Afrika. Akizungumza na MTANZANIA jana, Barbara Kambogi alisema watakuwa wakitumia kazi za waigizaji wa Tanzania kufundisha lugha hiyo. Barbara alisema kuwa Ijumaa ijayo wanatarajia kufanya mazungumzo na waigizaji wa […]

Read More..

Esma, Dada wa Diamond Avunja Ukimya

Post Image

Dada wa msanii Diamond platnuz Esma Platnumz amesema hakuwahi kumtabiria wala kutegemea kuwa kaka yake Diamond angekuja kuwa mtu maarufu kimataifa japo alikuwa akionesha kupenda muziki tangu akiwa mdogo. Hata hivyo Esma amesema maswala yanayoandikwa kwenye magazeti kuhusiana na Baba yake siyo ya kweli kwa kuwa yeye anamfahamu baba yake mzazi na mtu aliyejitokeza kwenye […]

Read More..

Rose Ndauka:Kuvunjika kwa Ndoa Sio Tatizo l...

Post Image

Malkia wa filamu Rose Ndauka amewataka watanzania kujua kuvunjika kwa ndoa sio tatizo la wasanii wa filamu pekee bali ni tatizo la jamii nzima. Mwigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae, Naveen amesema kwa sasa yeye bado yupo yupo kuingia kwenye maisha ya ndoa. “Ndoa ni makubaliano ya watu wawili, mimi bado nipo […]

Read More..

Weusi Kuja na Studio Pamoja na Ofisi

Post Image

Kundi la Weusi limedai kuwa na mipango ya kutengeneza studio yao pamoja na kujenga ofisi. Wakiongea na Planet Bongo ya East Africa TV baadhi ya wasanii wanaounda kundi hilo akiwemo Nick wa Pili, Joh Makini na G-Nako wamesema kuwa wapo kwenye mipango ya kutengeneza studio yao na ofisi kwa pamoja. “Tuna mpango wa kuwa na […]

Read More..