-->

Category Archives: BongoFleva

Diamond:Zamani Nilikuwa Namuiga Barnaba

Post Image

Diamond amesema wakati anaanza muziki, alikuwa anamuigiza Barnaba lakini baadaye akaja kupata njia yake mwenyewe. Alisema hivyo kujibu swali la anaonaje pale anapomsikia Harmonize akiimba kama yeye. Akiongea kwenye kipindi cha The Base cha ITV, Diamond alisema, “Unajua katika muziki kila mtu ana role model wake. Mimi wakati naanza nilikuwa nawaangalia sana Ne-Yo na Usher […]

Read More..

Malaika Afungukia Yale Yanayomuumiza

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Malaika ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Rarua’ amefunguka na kusema kuwa watu wanapokuwa wakitumia picha zake au wakiandika mambo yanayohusu maisha yake binafsi ni kitu ambacho kinamuumiza sana.   Malaika alisema hayo kupitia kipindi cha ‘Ngaz Kwa Ngaz’ kinachorushwa na EATV na kudai kuwa muda mwingine […]

Read More..

Meneja wa Diamond Aeleza Ukweli Kuhusu Mada...

Post Image

Baada ya Alikiba kudai alifanyiwa ‘figisu’ kwenye tamasha la Mombasa Rocks Music [Festival] lililofanyika weekend iliyopita huku akimtuhumu meneja wa Diamond, Sallam kuhusika, Sallam amefunguka na kuzungumzia tuhuma hizo pamoja na kilichompeleka katika tamasha hilo. Kiba alitumbuiza nyimbo mbili tu kabla ya mic aliyokuwa anaitumia kuonekana kupata mushkeli/kuzimwa na kumlazimu kuondoka jukwaani na muda mchache […]

Read More..

Baraka The Prince Hakuniangusha – Alikiba

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka na kusema kuwa msanii Baraka The Prince hakumuangusha kabisa kwenye wimbo wao wa pamoja ‘Nisamehe’ Alikiba amesema kuwa kwake yeye ilikuwa rahisi sana kukubaliana na wazo la Baraka kwa kuwa msanii huyo kwanza anakipaji kikubwa lakini pia ni watu ambao wanaendana katika kazi. Alikiba alisema haya kupitia kipindi cha Planet Bongo ya […]

Read More..

Linah Sanga Afunguka Kuhusu Ujauzito

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Linah Sanga maarufu kama ‘Ndege Mnana’ amefunguka na kusema kwa sasa hana ujauzito kama ambavyo watu wanahisi ila amedai kuwa yeye mwenyewe anatamani kuwa na mtoto na kusema muda si mrefu huenda mambo yakawa hivyo. Linah Sanga alisema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live ya EATV na kusema hivi sasa […]

Read More..

Nay wa Mitego: Ya Barakah na Stan Bakora in...

Post Image

Nay wa Mitego amedai kuwa kinachoendelea kati ya Barakah The Prince na Stan Bakora, kinaweza kuwa kitu cha kutengeneza. Akiongea na mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove, rapper huyo amewaita wawili hao wote watoto na kwamba umri wao unawaruhusu kufanya wwanachokifanya. “Siwezi kusimama upande wowote, hao ni watoto, wote ni wadogo mimi ni wadogo zangu,” […]

Read More..

Saida Karoli Atamani Collabo na Diamond

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amesema msanii Saida Kalori alimwambia kwamba anatamani kufanya naye kazi. Diamond ameyasema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha FNL cha EATV ambapo ameweka bayana kwamba wimbo ‘Salome’ ambao unaendana kabisa na wa Saida Kalori ulipata Baraka zote kutoka kwake na walipowasiliana kwa njia ya simu alimwambia anatamani kufanya naye kazi. […]

Read More..

Ditto Atoboa Siri ya Kufanya Nyimbo Zinazoi...

Post Image

Muimbaji na mtunzi wa nyimbo, Lameck Ditto amesema muziki wake bado unamlipa zaidi kupitia ring tone na hiyo ndio ilikuwa shabaha yake; kufanya nyimbo ambazo zitaishi kwa muda mrefu. Akiongea na Clouds E ya Clouds TV, Ditto alisema, “Unajua licha ya kuwa kimya kwa muda ila nyimbo zangu huwa zinakaa muda mrefu. Mtu akisikiliza kama […]

Read More..

Alikiba Atoa Madai Haya Kuhusu Tamasha la M...

Post Image

Hatimaye Alikiba ameeleza sababu ya kukatizwa kwa show yake kwenye tamasha la Mombasa Rocks ambalo Chris Brown pia alitumbuiza. Kwenye tamasha hilo, Kiba alitumbuiza nyimbo mbili tu kabla ya mic aliyokuwa anaitumia kuonekana kupata mushkeli/kuzimwa na kumlazimu kuondoka jukwaani. Akiongea na mtangazaji wa kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen ya Kenya, Willy Tuva akiwa […]

Read More..

Nini Kimemfanya Snura Amng’ang’anie Chura?

Post Image

Kwa kawaida wasanii wengi ambao nyimbo zao hufungiwa, huachana nazo na kuendelea na nyingine, lakini kwa Snura imekuwa tofauti baada ya kuamua kukomaa hadi alipotimiza masharti yote na kuruhusiwa kuendelea na Chura wake. “Nimekubaliana na maelekezo ya serikali na nimebadili video ya wimbo wangu wa Chura na sasa umeruhusiwa rasmi. Lakini najua watu wengi watakuwa […]

Read More..

Navy Kenzo waeleza jinsi ratiba ya AliKiba ...

Post Image

Wasanii wa Kundi la Navy Kenzo ameshindwa kuachia kwa wakati kolabo yao na AliKiba kutokana na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’ kuwa busy hali ambayo imewafanya washindwe kumpata kwa ajili ya kushoot video. Wakizungumza katika kipindi cha The Playlist cha Times FM Jumamosi hii, wasanii hao wamesema zaidi ya mara mbili walipanga kushoot video hiyo […]

Read More..

Matonya: Sibahatishi Kwenye Muziki

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Matonya amesema kuwa yeye kwenye muziki habahatishi anajua nini anafanya na kwamba sasa amepunguza kufanya show za nje ili kijipa nafasi ya kuandaa kazi zake mpya pamoja na video mbalimbali ambazo zitaanza kutoka muda si mrefu. Matonya amesema haya kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio ambayo ilikuwa ikiruka […]

Read More..

KR Muller Kumtafuta Juma Nature Ili Kumaliz...

Post Image

KR Muller ambaye kwa sasa ni member wa Rada Entertainment anajipanga kumtafuta kiongozi wa TMK Wanaume Halisi, Juma Nature ili kumaliza tofauti zao. Juma Nature amekuwa akimtuhumu KR kuaribikiwa baada ya kuhama TMK na kuhamia Rada Entertainment ya TID. Akiongea na Bongo5 wiki, KR amesema anajipanga kumtafuta Juma Nature ili kuzungumzia yaliyotokea. “Kusema kweli haya […]

Read More..

Diamond Afunguka Kuhusu ‘Salome’...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva Diamond Platnumz ambaye kwa sasa anavizuri na wimbo wake ‘Salome’ amefunguka na kusema kuwa wimbo huo uliwavuruga wasanii wengi wakubwa duniani kabla hajatoka hata baada ya kutoka. Diamond Ploatnumz alisema hayo kwenye Friday Night Live (FNL) na kudai kuwa wimbo huo yeye mwenyewe anashindwa kuelewa una nini kutokana na jinsi ambavyo […]

Read More..

Diamond: Zari Ndiye Model Niliyewahi Kumlip...

Post Image

Mkali wa ‘Salome’ na mkurugenzi wa WCB, Diamond Platnumz amesema katika ma-model wa video aliowahi kuwalipa fedha nyingi ni mpenzi wake Zari. Alimtaja Zari alipoulizwa kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM na mtangazaji Lil Ommy aliyetaka kumjua ni model gani aliyewahi kumtoboa mfuko wake zaidi. “Zari ndio mtu nilimlipa hela nyingi katika video […]

Read More..

Baraka The Prince Kuja na ‘Recording ...

Post Image

Msanii Baraka The Prince ambaye kwa sasa yupo chini ya lebo kubwa ya muziki Afrika ya Rock Star, ametangaza ujio wa recording lebel yake, itakayosimamia kazi za wasanii wengine. Akizungumza kwenye kipindi cha 5SELEKT ya East Africa Television, Baraka aliulizwa kuhusu maana ya jina la BANA ambalo analitumia, ndipo akafunguka na kusema kuwa jina hilo […]

Read More..

Mr Nice Avamiwa na Majambazi Kenya, Aibiwa ...

Post Image

Mwanamuziki, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ hivi karibuni amedai alivamiwa na majambazi akiwa nchini Kenya na kuibiwa simu 2, laptop, pamoja na pesa taslimu kiasi cha tsh milioni 30. Muimbaji huyo kwa sasa yupo nchini Kenya kwa zaidi ya miezi 6 akifanya shughuli za muziki pamoja na show. Akiongea na Bongo5 Ijumaa hii akiwa nchini Kenya, […]

Read More..

Naachia Ngoma ya Hip hop Mwaka Huu – ...

Post Image

Msanii na mtayarishaji wa muziki kutoka Sharobaro Records Bob Junior ametangaza rasmi kuwa mwaka huu anataka kuachia ngoma ya Hip hop kwa sababu yeye ni Rapa na anauwezo huo. Bob Junior alisema hayo kupitia kipindi cha eNewz kinachorushwa na EATV na kudai kuwa mwaka huu ataachia kazi mbili, moja ikiwa ni ya kuimba na nyingine […]

Read More..