Diamond:Zamani Nilikuwa Namuiga Barnaba
Diamond amesema wakati anaanza muziki, alikuwa anamuigiza Barnaba lakini baadaye akaja kupata njia yake mwenyewe. Alisema hivyo kujibu swali la anaonaje pale anapomsikia Harmonize akiimba kama yeye. Akiongea kwenye kipindi cha The Base cha ITV, Diamond alisema, “Unajua katika muziki kila mtu ana role model wake. Mimi wakati naanza nilikuwa nawaangalia sana Ne-Yo na Usher […]
Read More..





