-->

Category Archives: BongoFleva

Diamond: Niombeeni Nirudi na Tuzo

Post Image

WAKATI akisafiri kuelekea nchini Marekani kwa ajili ya kushiriki utoaji wa tuzo za BET, msanii wa kizazi kipya, Nassib Abdul ‘Diamond’, amewataka Watanzania waendelee kumuombea ili arudi na tuzo hizo zinazotarajiwa kutolewa Juni 26. Diamond alichaguliwa kuwania tuzo hizo kipengele cha msanii bora wa kimataifa kutoka Afrika (Best International Act Africa). Kupitia kwa meneja wake, […]

Read More..

Afande sele Adai Kuwa na Wanawake Kama Sita...

Post Image

Msanii wa muziki na mwanasiasa kutoka mji kasoro bahari, Afande Sele amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yeye hatarajii kuoa kwani bado yupo yupo sana ingawa anakiri wazi kuwa yupo na mahusiano na wanawake kama sita hivi ambao wanamsaidia kumtunzia watoto wake huku akiangalia kati yawatu hao alionao yupi anastahili kuwa malkia. Afande Sele alisema hayo […]

Read More..

Juma Nature Afukukia Wasanii Wanaotumia Ung...

Post Image

Baada ya hapo jana  msanii Young Dee kukiri kutumia madawa kwa mwaka na nusu na kwamba ameacha huku akiahidi maisha mapya, msanii mkongwe wa bongo Fleva, Juma Nature ametoa maoni yake pia kuhusiana na matumizi ya madawa hayo. “Kuna mambo ambayo nikijiuliza jibu sipati hivi ni kweli kuna wasanii wanakula mambo hivi, mbona sisi uhuni […]

Read More..

Siwema Amuumbua Nay wa Mitego

Post Image

SIKU chache baada ya mzazi mwenzake na msanii Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego,’ Siwema Edison kutoka gerezani na kutakiwa atumikie kifungo cha nje, amefunguka ya moyoni huku akimuumbua ‘zilipendwa’ wake huyo aliyekuwa akidai alipambana kumsaidia. Chanzo makini cha habari hii kilitutonya hivi karibuni kuwa, mbwembwe zote alizokuwa akizitoa Nay kuwa yeye ndiye kila kitu mpaka […]

Read More..

Young Dee Akiri kutumia Unga, Aomba Radhi

Post Image

Rapper Young Dee hatimaye amethibitisha tetesi za miaka mingi kuhusu utumiaji wa madawa ya kulevya na kukiri kuwa ametumia kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu. “Sina mtu ambaye ninaweza kumlaumu, lakini mazingira ambayo nimepitia ndio ambayo yamefanya hivyo, kuna wakati ambao nimeishi sana na watu mtaani, kwa hiyo kidogo kidogo ikanifanya niweze kushawishika na […]

Read More..

Afande Sele: Bongo Fleva Imefuata ya Bongo ...

Post Image

Rapper mkongwe kwenye bongo Fleva, Afande sele, amesema muziki wa bongo fleva sasa hivi unapoteza dira na kufuata nyayo za bongo movie, za kutumia kiki kutangaza kazi. Akiongea kweye Planet Bongo ya East Africa Radio, Afande Sele amesema masuala ya kiki yalikuwa ni kawaida kwa wasanii wa filamu za bongo, lakini sasa hivi wasanii wa […]

Read More..

Quick Rocka na Siri ya Kugandana na Kajala

Post Image

GEMU la Muziki wa Bongo Fleva lina vijana wengi wenye vipaji,  miongoni mwao ni Abbott Charles ‘Quick Rocka’ aliyeanza kusikika mwishoni mwa miaka ya 2000 akiwa na Kundi la The Rockers. Kundi hilo liliundwa na wasanii Mo Rocka, Chief Rocka na Dau Rocka waliotamba na ngoma ya The Rockers Antherm. Ungana naye katika Exclusive interview […]

Read More..

Zuu: Mimi mzuri zaidi ya Shilole

Post Image

Yule Video Vixen wa ngoma mpya ya Nuh Mziwanda ‘Jike Shupa’ ambaye anafahamika kwa jina la Zuu amefunguka na kusema kuwa yeye ni mrembo zaidi ya Shilole na amejaaliwa kuliko huyo Shilole. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na EATV Zuu amedai kuwa yeye ni zaidi ya Shilole kwani yeye ni mweupe zaidi wakati […]

Read More..

Mashauzi Yanapoteza Wasanii Wengi-Diamond P...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kusema wasanii wengi wa Tanzania na Afrika Mashariki kiujumla wanapotea kwenye ramani ya muziki sababu kubwa ni mashauzi na starehe na kutaka kujionesha. Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Diamond Platnumz amedai kuwa mafanikio yake kimuziki na kuzidi kuendelea kufanya vizuri ni kutokana na ukweli […]

Read More..