Naenda Kuiteka Afrika na Dunia- Baraka The ...
Msanii wa kizazi kipya Baraka The Prince ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Siwezi’ ametangaza kuanza safari ya kulikamata soko la muziki Afrika na kisha baadaye dunia. Baraka The Prince ambaye kwa sasa yupo chini ya Rock Star anatarajia kuachia kazi yake ya kwanza siku ya Jumanne ya tarehe 13 ambayo ni […]
Read More..






