Mr Blue Afunguka Kuanzisha Ubishoo Kwenye B...
Mkali wa wimbo ‘Mboga Saba’ Mr Blue amesema yeye ana mchango mkubwa katika mabadiliko ya muziki wa bongofleva nchini. Akiongea katika kipindi cha Ndoto Kubwa cha Clouds TV Jumapili hii, Mr Blue amesema yeye ndiye msanii wa kwanza kufanya muziki akiwa na swagga. “Mimi baada ya kuingia kwenye muziki kuna vitu ambavyo nilivifanya mimi kama […]
Read More..