-->

Category Archives: BongoFleva

Mr Blue Afunguka Kuanzisha Ubishoo Kwenye B...

Post Image

Mkali wa wimbo ‘Mboga Saba’ Mr Blue amesema yeye ana mchango mkubwa katika mabadiliko ya muziki wa bongofleva nchini. Akiongea katika kipindi cha Ndoto Kubwa cha Clouds TV Jumapili hii, Mr Blue amesema yeye ndiye msanii wa kwanza kufanya muziki akiwa na swagga. “Mimi baada ya kuingia kwenye muziki kuna vitu ambavyo nilivifanya mimi kama […]

Read More..

Lady Jaydee Atokelezea Kwenye Jarida la Tru...

Post Image

Muimbaji nguli wa muziki Tanzania, Lady Jaydee amekava jarida maarufu la wanawake, mahusiano, maisha na mitindo, True Love la Kenya. Jarida hilo hupatikana Kenya, Uganda, Tanzania na Rwanda. Kwenye jarida hilo la mwezi huu, Jaydee amefunguka kuhusu sababu za kuachana na mume wake, Gardiner G Habash, kutamani kwake kufanya kazi na Usher na kwanini hawezi […]

Read More..

Jux Afungukia Muonekano Wake na Muziki

Post Image

Msanii Jux ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Wivu’ amefunguka na kusema muonekano wake pamoja na mavazi yake yamemsaidia kumuweka mahali fulani katika kazi yake ya muziki.  Jux alisema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kudai kuwa alitambua kuwa muonekano unaweza kumsaidia katika muziki ndiyo maana kabla […]

Read More..

‘Bifu’ la Diamond, Kiba Linalipa

Post Image

MOJA ya mbinu inayotumiwa na nyota mbalimbali wa muziki duniani ni ile ya kutengeneza bifu bandia na kuwahusisha mashabiki wao. Mbinu hiyo inasaidia kuuza idadi kubwa ya nakala za kazi za sanaa za wasanii hao wenye bifu. Asikwambie mtu! Hapo ndipo wasanii wengi wanapiga hela. Wakati mashabiki wanatupiana vijembe vilivyojaa kejeli za hapa na pale […]

Read More..

Ukimya wa Tip Top Connection Unaniumiza ...

Post Image

Msanii Kassim Mganga ambaye awali alikuwa ni moja kati ya wasanii kutoka katika kundi la Tip Top Connection amesema ukimya wa kundi hilo unamuumiza na kumgusa sababu yeye bado ni mwanafamilia wa Tip Top Connection licha ya kutofautiana kibiashara. Kassim Mganga akiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo alisema yeye bado ni mwanafamilia wa Tip Top […]

Read More..

Huyu Ndiye Man Fongo, Wasanii wa Bongo Flev...

Post Image

KWA kasi iliyopo kwenye muziki wa Singeli, ni wazi kwamba  unaelekea kuupoteza muziki wa Bongo Fleva kutokana na kasi ya kuenea kwake hapa nchini, jambo linalosisitizwa na mkali anayetesa katika muziki huo, Amani Khamisi ‘Man Fongo’. Man Fongo ambaye amepachikwa jina la Mfalme wa Singeli, anayesumbua na kibao chake cha Hainaga Ushemeji amesema wasanii wa […]

Read More..

Nay wa Mitego: Siwezi kurudiana na Siwema, ...

Post Image

Rapa wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nay wa Mitego amesema hana ndoto za kurudiana na mwanamke yeyote kati ya aliwaowahi kuwa nao katika uhusiano wa mapenzi. Nay alisema iwapo itatokea nafasi kwa yeye kurudiana na mmoja kati yao, atampa nafasi mwanamke aliyezaa naye mtoto wake wa kwanza. Alisema kwa sasa hana mapenzi na yeyote […]

Read More..

Isha Mashauzi Aibukia Kwenye Bongo Flava

Post Image

Msanii wa muziki miondoko ya taarabu nchini Isha Mashauzi ameamua kuanza kuimba muziki wa dansi pamoja na Bongo Flabva ili kukonga nyoyo za mashabiki wake kutoka kila upande. Akizungumza na eNews ya EATV Mashauzi amesema ameshafanya video ya wimbo unaokwenda kwa jina la ‘Jiamini” na umepokelewa vizuri sana na mashabiki kutokana na idadi ya watu […]

Read More..

Kambi ya Mr Blue si Shwari, Mke Wake Atupa ...

Post Image

Baada ya kuibuka kwa madai ya kuwa Mr Blue na Ex wake wa zamani Naj huwenda wakawa wanawasiliana, kumekuwa na vijembe vya maneno kutoka kwenye kambi ya Mr Blue ambavo vinahisiwa huwenda vikawa vinaelekezwa katika kambi ya Barakah Da Prince na Naj. Ilo limeibuka baada ya kipindi cha U-Heard cha Clouds FM kudai Barakah Da […]

Read More..

Diamond Platnumz Afunguka Kuwauzia Mitumba ...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz anasema kabla hajatoka kimuziki alikuwa anafanya biashara ya kuuza mitumba na biashara hiyo ndiyo iliweza kumkutanisha na ‘Producer’ Bob Junior ambaye aliyetengeneza kazi zake za kwanza ambazo zilimtambulisha kwa watanzania. Diamond Platnumz alisema hayo kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kudai kuwa yeye alikuwa anapenda sana kumuonyesha onyesha […]

Read More..

Wema Akanusha Kurudiana na Diamond, Amwaga ...

Post Image

Mambo mengi yametokea wiki hii kuanzia Wema Sepetu kuachana na mpenzi wake Idris Sultan hadi Miss Tanzania huyo wa mwaka 2016 kuhudhuria birthday party ya binamu wa Diamond, Romeo na kukutana na vijana wa WCB. Kutokana na Wema kujumuika na vijana wa himaya ya WCB, kumezuka tetesi kuwa huenda ukaribu kati ya muigizaji huyo na […]

Read More..

Fid Q: Mapenzi Yamenitesa Sana Jamani!

Post Image

AGOSTI 13, mwaka huu ilikuwa ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mwanahip Hop, Fid Q na kwa furaha aliyonayo kwa kutimiza miaka kadhaa, siku hiyo aliamua kuachia ngoma mbili kama zawadi kwa mashabiki wake. Wimbo wa kwanza unaoitwa Sumu aliutoa usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita, baadaye jioni akaachia video ya ngoma nyingine ya Roho aliyomshirikisha Christian […]

Read More..

Msechu Adai Kutukanwa Juu ya Unene Wake, Az...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Peter Msechu amefunguka na kusema kuwa amekuwa akitukanwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu unene wake na kusema kuwa wapo baadhi ya watu walimfuata na kutaka kumpa dawa ili apunguze mwili wake. Amesema licha ya kushawishiwa kwa hilo, yeye hataki kwa kuwa ameridhika na mwili huo. Akiwa katika kipindi cha […]

Read More..

Huu Ndiyo Utofauti wa Diamond na Kiba

Post Image

KUNA vita ya maneno kati ya makundi mawili ya mashabiki wa Muziki wa Bongo Fleva, wanaowashabikia wasanii Alikiba na Nasibu Abdul ‘Diamond’, kila upande ukidai mtu wao ndiye anajua zaidi kuliko mwingine. Ni mjadala mpana katika mitandao ya kijamii, mitaani na hata miongoni mwa wasanii wenyewe ambao kwa kificho au waziwazi, wamewahi kuzungumzia nani mkali […]

Read More..

INABAMBA-SIBUKA MAISHA,Chaneli ya Filamu za...

Post Image

INABAMBA-SIBUKA MAISHA ni Chaneli ya filamu za Kibongo, inayoonesha movie kali za muda wote mpya zinazotoka…ni hatua nzuri katika kukuza tasnia ya filamu.

Read More..

Peter Msechu Alia Ukata

Post Image

Msanii Peter Msechu ambaye mara nyingi amekuwa akilalamikia hali ya ukata katika maisha yake, leo amefunguka tena na kusema kuwa yupo tayari hata kufanya show ya kuwaimbia kuku, ili mradi aingize pesa. Kitendo hicho kimeongeza mashaka juu ya mkwanja wanaoingiza wasanii, mpaka kufikia hali mbaya kiuchumi. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East AFrica Radio, Peter […]

Read More..

Malaika Afungukia Alivyoingizwa Mjini China

Post Image

MSANII wa Bongo Fleva, Malaika Exervery amesema katika vitu ambavyo haviwezi kutoweka kichwani mwake ni pamoja na kutapeliwa wakati alipoingia nchini China kwa mara ya kwanza kwenye Jiji la Hong Kong. Akizunguza na Juma3tata, Malaika anasema kuwa tukio la yeye kuingizwa mjini lilitokea mara baada ya yeye kuwekwa kuzuizini kwenye uwanja wa ndege kwa saa […]

Read More..

Mr.Blue: Mboga 7 Imenipa Heshima Kwenye Hip...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Herry Sameer ‘Mr Blue’ anayetesa kwa sasa na wimbo wake wa Mboga Saba aliomshirikisha nguli mwingine kwenye ulimwengu wa Bongo Fleva Ali Kiba, amefunguka na kuelezea hisia zake za moyoni kuhusu wimbo wake huo ulio kwenye mtindo wa Hip hop. Mr Blue kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika […]

Read More..