-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Aunt Ezekiel: Huu Ndio Wakati Wangu wa Kupa...

Post Image

MSANII wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel, amedai kwamba anatamani kupata watoto zaidi kwa kuwa huu ndio wakati wake wa kufanya hivyo na hajui atapata watoto wangapi katika maisha yake. Aunt Ezekiel ambaye yupo kwenye uhusiano na dansa wa msanii Diamond Platnumz, Mose Iyobo, amesema kwa kuwa ndio wakati wake wa kufanya maamuzi sahihi na […]

Read More..

Lulu Afungukia Kuhusu na Siasa na Wasanii

Post Image

ELIZABETH Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa anajivunia uamuzi wake wa kutojihusisha na siasa maana amepata amani ya moyo kuliko wasanii wenzake ambao kwa sasa  wapo kwenye malumbano ya kisiasa. Mrembo huyo ambaye ni mkali wa sinema za Kibongo, alisema, wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu Mwaka 2015, watu wengi walikuwa walikuwa hawamuelewi lakini ukweli ni kwamba […]

Read More..

Wema Sepetu Kwenda Arusha Kuonana na Godble...

Post Image

Kamanda Wema Sepetu Jumamosi hii ataelekea mkoani Arusha kwajili ya kuonana na mbunge wa Arusha, Godbless Lema ambaye ameachiwa kwa dhamana Ijumaa hii baada ya kusota gerezaji kwa miezi nne. Muigizaji huyo ambaye ana wiki moja na nusu ndani ya Chadema toka arudishe kadi ya CCM, amedai kesho atasafiri kwenda mkoani Arusha kuonyesha ushirikiano. “Mungu […]

Read More..

Wasanii Wamtenga Shija, Afunguka Mazito

Post Image

STAA wa sinema za Kibongo, Deogratius Shija amefunguka kuwa, wasanii wanamtenga, kisa sakata la unga ambalo lilimsababishia kuwekwa sero bila kujua sababu ya yeye kuingia huko. Akizungumza na Amani baada ya kutoka Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam alikowekwa sero kwa siku 15, Shija alisema katika sakata hilo ambalo lilihitaji faraja ya wasanii wenzake, […]

Read More..

VIDEO: 80% Bongo Movie Hawana Vipaji –...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Tanzania Aunty Ezekiel amefunguka na kusema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya wasanii wa filamu nchini hawana vipaji, na wanafanya kazi kiubabaishaji, jambo linalochangia tasnia hiyo kuporomoka. Aunty amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Kikaangoni kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV, na kusema kuwa sehemu kubwa ya wasanii wa filamu nchini […]

Read More..

Wema kama Malkia Chadema

Post Image

BINTI mrembo mwenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii, Wema Sepetu, anahudumiwa kama Malkia na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya kutangaza kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wema, tofauti na wanachama wengine wa Chadema waliojiunga katika miezi ya hivi karibuni, amepewa mlinzi maalumu ambaye atakuwa akimlinda kwa kila atakapokuwa kutokana na kile Chadema […]

Read More..

Tumuamini Yupi Kati ya Wema Sepetu au Batul...

Post Image

Wiki chache zilizopita kumekuwepo na mambo mengi ambayo yamekuwa yakitrend kwenye vichwa vya watu kama madawa ya kulevya, watu kupelekwa kuhojiwa na harakati za wanahabari kutaka kujua msanii gani atapanda mahakamani, lengo ni kutaka kuchukua matukio mbalimbali yatakayotokea maeneo hayo. Ukiacha na hayo, kumekuwa na habari ambayo msanii wa Filamu Tanzania, Wema Sepetu kuhamia Chama […]

Read More..

Mama Diamond Atua Rasmi Bongo Muvi

Post Image

DAR ES SALAAM: Mama mzazi wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’, ametua rasmi kwenye fani ya uigizaji wa sinema za Kibongo (Bongo Muvi). Akizungumza na gazeti hili katika mahojiano maalum, mama Diamond alitamba kwenda kimataifa kwenye upande wa filamu kama anavyofanya mwanaye Diamond akiwa ameshiriki katika utayarishaji na uigizaji wa […]

Read More..

Irene Uwoya Awafungukia Wasanii Wanaodai Ku...

Post Image

Irene Uwoya ni moja kati ya wasanii wa bongo movies walioshiriki kwenye kampeni za uchaguzi za mwaka 2015 akiwa kama kada wa chama cha mapinduzi. kufatia kile kinachoendelea hivi sasa kuhusu madai ya baadhi ya wasanii kudai na wengine kutangaza kulipwa wakati wanaifanya kazi ile ya kukipigia debe chama cha mapinduzi,Irene Uwoya amefunguka haya kupitia […]

Read More..

Wema Sepetu Amfungukia Batuli

Post Image

Ni baada ya Batuli kuongea na waandishi wa habari na kukanusha madai ya kuwa wasanii wa kundi la ‘Mama ongea na mwanao’ lililoshikirika kwenye kampeni za mwaka 2015,wanakidai chama cha mapinduzi. Kupitia mtandao wa Instagram, Wema Sepetu ameweka picha ya rafiki yake huyo wa zamani na kuandika ujumbe ambao umeashiria kuwa urafiki wao ndio basi […]

Read More..

Rais wa Shirikisho la Filamu Afungukia Ishu...

Post Image

RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba amesema kuwa mikataba na makubaliano ya kuwapigia debe wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015 hayakuhusisha shirikisho hilo na yeye kama rais wa shirikisho hana taarifa hizo. “Ninachokifahamu ni kwamba, kila msanii alikuwa na mkataba wake binafsi hivyo shirikisho lisingeweza kumzuia msanii kujihusisha […]

Read More..

Batuli Akanusha Madai ya Wema Sepetu Kuidai...

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini, Yobnesh Yussuf maarufu kama Batuli amekanusha taarifa iliyotolewa na Wema Sepetu kuwa CCM haijawalipa pesa za kampeni ya Mama Ongea na Mwanao kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Akizungumza na wanahabari kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Protea, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ akiwa na Ndumbangwe Misayo ‘Thea’,amesema madai aliyoyatoa Wema Sepetu hayana ukweli wowote […]

Read More..

Ray Kurudi na Nguvu Mpya Kwenye ‘Bong...

Post Image

Msanii filamu Bongo Vincent Kigosi ‘Ray’ amefunguka na kuwaomba mashabiki zake kuwa tayari kuipokea kazi yake mpya ya ‘Gate Keeper’ ambayo ina utofauti mkubwa katika kazi zake alizowahi kuzifanya hapo awali. “Filamu yangu mpya itakuwa ya tofauti sana na itahusisha mastaa wengi kama Single Mtambalike ambaye amecheza kama Professa, Kajala Masanja aliyecheza kama mwananfunzi wa chuo kikuu, Baba […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka Anachokipenda Kwenye S...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ambaye wiki iliyopita amekihama chama chake cha muda CCM na kuingia CHADEMA amefunguka na kusema kuwa anaipenda sana siasa na siku akifanikiwa katika siasa atafurahi sana kwa kuwa ni kitu anachokipenda sana. Wema Sepetu kupitia account yake ya Twitter amesema ameamua kuhama CCM na kuingia CHADEMA ili kupigania uhuru pamoja […]

Read More..

Shamsa Amfungukia Haya Gabo Zigamba

Post Image

Msanii Shamsa Ford ameweka wazi hisia za moyo wake kwa Gabo Zigamba kuwa ndiyo mwanaume pekee anayemkubali pindi wanapokuwa pamoja katika kazi za filamu na kuhisi kila wanachokifanya ni ukweli na uhalisia. Shamsa amebainisha hayo kupitia moja ya mtandao  kijamii anaoumiliki kwa kuweka picha inayowaonesha wawili hao wakiwa mbali kihisia huku ikiwa imebebwa na ujumbe […]

Read More..

Mzee Chillo Alia na Wataalamu wa Afya Muhim...

Post Image

MSANII nguli wa Filamu za Kibongo, Ahmed Olotu, ‘Mzee Chillo’ jana aliwafungukia baadhi ya wataalamu wa afya wa Chuo Kikuu cha Muhimbili (University of Health and Allied Sciences), jijini Dar, kuachana na mambo ya rushwa ili kuwafanya wananchi kuwa na imani nao. Mzee Chillo alisema hayo kwenye Warsha ya  Kilangi For Youth Academic Social Premier, […]

Read More..

Filamu ya Gate Keeper Kuzinduliwa Suncrest ...

Post Image

MTAYARISHAJI na muongozaji mahiri katika tasnia ya filamu Swahilihood Vincent Kigosi kupitia kampuni yake ya R J kwa kushirikiana na Steps Entertainment Ltd itarajia kuzindua filamu kali na ya kusisimua ya Gate Keeper katika ukumbi wa Suncrest Cinema uliopo Mwalim Nyerere. Sinema hiyo itazinduliwa tarehe 3.3. 2017 huku ikiambatana na matukio makubwa kama vile Red […]

Read More..

VIDEO: Irene Uwoya Ataja Kilichomkosesha Ub...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amefafanua sababu za kutopitishwa na chama chake cha CCM kuwa mbunge wa Viti Maalum vya wanawake, na kusema kuwa kilichomuangusha ilikuwa ni kura za Rais kuwa chache. Uwoya alikuwa akijibu maswali ya wapenzi na mashabiki zake LIVE kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV, ambapo swali la kwanza kabisa kuulizwa, […]

Read More..