-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Wema Sepetu: Niacheni jamani Nimechoka

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ameonesha kuchoka na maneno mbalimbali kutoka kwa watu hususani kwenye mitandao ya kijamii kiasi cha kuamua kutoa yake ya moyoni kwa watu wote ambao wamekuwa wakimfuatilia maisha yake. Ameonesha kukasirishwa na baadhi ya watuwanaomsema kwenye mitandao ya kijamii hususani kuhusu mapungufu yake. Wema Sepetu ametumia mtandao wake wa Instagram […]

Read More..

Sitaki Tena Bongo Movie -Sinta

Post Image

Mkali wa zamani wa maigizo, Sinta ambae alitamba na skendo kibao kipindi hicho na unaambiwa yeye ndiyo wa kwanza kuwa na skendo kubwa Bongo,  amefunguka  na kueleza kwa sasa ana ishu gani mjini. Sinta ambaye alikuwa pia muigizaji mahiri anasema “Kwa sasa sitaki tena kujiingiza katika bongo move najishughulisha na biashara zangu binafsi na nipo […]

Read More..

Kajala Aenda Kumlilia Mumewe Gerezani!

Post Image

Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ hivi karibuni amekwenda kumlilia mumewe, Faraji Chambo anayetumikia kifungo cha miaka kumi na mbili gerezani. Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa Kajala, mwanamama huyo alitinga kwenye Gereza la Ukonga, Dar alikofungwa mumewe ambapo alipata nafasi ya kumjulia hali kisha kumwaga machozi akimuonea […]

Read More..

Mimba Nusura Imutoe Roho Wastara!

Post Image

Siku chache zilizopita, staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma alikiri na kufunguka kuwa ni mama kijacho baada ya kunasa ujauzito lakini taarifa za kusikitisha zilizolifikia gazeti hili mapema wiki hii zimedai kwamba, mimba hiyo imechoropoka katika mazingira ambayo yalitaka kuutoa uhai wake. Chanzo makini ambacho ni ndugu wa mwigizaji huyo kilichoomba hifadhi ya jina […]

Read More..

Snura Kuwafurahisha Mashabiki Mwakani

Post Image

MSANII Snura Mushi ‘Snura Majanga’, aliyewahi kuwika na nyimbo mbalimbali, ameibuka na kudai kwamba ana mpango wa kutoa filamu moja mwakani. Snura alisema baada ya kuingia katika muziki amekuwa na shoo nyingi kiasi kwamba hukosa muda wa kuigiza, licha ya mashabiki wake kumtaka afanye hivyo hata kwa mara moja. “Mashabiki wangu wamekuwa wakinitaka angalau nicheze […]

Read More..

Uzee Kumwachisha Bi Mwenda Uigizaji

Post Image

MUIGIZAJI mkongwe kwenye Tasnia ya Filamu Bongo, Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’ amefunguka kuwa anaona uzee umeshamfikia hivyo muda si mrefu ataamua kupumzika kuigiza ili afanye kitu kingine kulingana na umri wake.   Akizungumza na gazeti hili, Bi Mwenda alisema amecheza filamu muda mrefu takriban miaka ishirini hivyo anaona wazi atashindwa kukimbizana kwenye kambi kwenda huku […]

Read More..

Pesa ni Hatari Aisee-Muhongo Mchungu

Post Image

WANASEMA kama una bandama basi huwezi kujizuia kucheka popote pale ulipo, hata kama ni kwenye eneo ambao hutakiwi uonyeshe tabasamu. Kama ni hivyo basi huwezi kushangaa pale ambapo mkongwe katika filamu za Kibongo, Abdallah Mkumbila ‘Muhogo Mchungu’ alipovunjwa mbavu na mmoja ya waumini ndani ya msikiti wakati ibada ikiendelea katika kile kipengele cha kutoa sadaka. […]

Read More..

Gabo Zigamba Aishauri Haya Serikali

Post Image

Msanii Salim Ahmed alimaarufu kama ‘Gabo Zigamba’ ameishauri serikali ya awamu ya tano kutolea macho kwenye sekta ya kilimo Tanzania pamoja na vipaji na kusema kuwa hivyo ndivyo vyanzo vizuri vya mapato. Gabo Zigamba ametumia ukurasa wake wa Instgram kutoa ujumbe huo kwa serikali na kuiomba serikali ya awamu ya tano iweze kutilia mkazo katika […]

Read More..

Riyama: Mtuache Tulale!

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Riyama Ally amewafunga midomo wote waliokuwa wakibeza uhusiano wake na msanii chipukizi wa muziki wa Bongo Fleva, Haji Mwalimu Mzee ‘Leo Mysterio’, baada ya kufunga naye ndoa hivi karibuni. Minong’ono ilikuwa mingi mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kuwa Riyama yupo kwenye uhusiano na Serengeti Boy kwa vile kijana huyo […]

Read More..

Jini Kabula Atibuliwa Penzi na Kocha wa Yan...

Post Image

Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ na Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Stori: Gabriel Ng’osha, Ijumaa Dar es Salaam: Uhusiano wa sasa wa msanii wa filamu na muziki Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ na mwanaume wake umetibuliwa na Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm baada ya hivi karibuni kukutana naye maeneo ya […]

Read More..

Ujumbe Huu wa Diamond kwa Bintiye Wasababis...

Post Image

Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii. Lakini ujumbe wake mpya kwa bintiye, Tiffah umesababisha mjadala mkubwa. Akiweka picha ya binti yake huyo ambaye mwezi ujao anatimiza mwaka mmoja, Diamond aliandika: Buff day Girl! my little Pumpkin? My Miss World ? @princess_tiffah kua mama, nikupe Raha ya Dunia na ujifaidie Ustar […]

Read More..

Wolper Arejea CCM

Post Image

Wolper akitangaza sababu za kurejea CCM. Wolper akiongea na Mwenyekiti Mstaafu Mhe. Jakaya Kikwete. Wolper akiongea wakati wa hafla ya wasanii ya kumuaga Mwenyekiti Mstaafu Mhe. Jakaya Kikwete. Na Leonard Msigwa/GPL MWANADADA gumzo kwenye tansia ya Bongo Movie nchini, Jacqueline Wolper hatimaye jana ametangaza rasmi kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wolper ambaye alikuwa kada wa […]

Read More..

LULU:Mimi na Mama Kanumba Tupo Vizuri!

Post Image

STORI zilivuma na bado vuguvugu linaendelea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu uhusiano wa staa wa kike katika filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mama Kanumba, Flora Mtegoa kuwa siyo mzuri kama zamani. Watoa habari wa mjini, wanadai kuwa mama Kanumba na Lulu kwa muda mrefu sasa hawapikiki chungu kimoja kama ilivyokuwa zamani. Lulu […]

Read More..

Gabo: Wanaisoma Namba Kimwendokasi!

Post Image

KATIKA Tamasha la 19 la Kimataifa la Filamu kwa nchi za Jahazi (ZIFF) lililofanyika huko Zanzibar, imedhihirika kwamba nidhamu, kujituma, ubunifu na uaminifu vikiungana kwa pamoja humpa mtu mafanikio. Kwenye tuzo hizo katika kipengele cha Mwigizaji Bora wa Kiume, msanii Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’, aliibuka mshindi kupitia filamu yake ya Safari ya Gwalu na kuwapiku […]

Read More..

Davina Alia Kupoteza Jembe

Post Image

Halima Yahaya ‘Davina’, staa wa sinema za Kibongo ambaye mwanzoni mwa wiki hii alimpoteza baba yake mzazi, mzee Yahaya, amesema daima atamlilia marehemu baba yake kwani alikuwa ni kiungo muhimu sana katika maisha yake yaliyobaki. Akizungumza na gazeti hili, Davina alisema kumpoteza baba yake huyo amekuwa na maumivu makali ambayo siyo rahisi kumueleza kila mtu […]

Read More..

Tanzia: Mchekeshaji Kundambanda Afariki Dun...

Post Image

Mchekeshaji Ismail Issa Makombe ‘Kundambanda’ amefariki dunia usiku wa kuamkia Ijumaa hii baada ya kusumbuliwa na matatizo ya tumbo kwa muda mrefu. Mwigizaji huyo ambaye pia aligombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, amekutwa na umauti akiwa nyumbani kwao Mtwara. Akiongea na Bongo5 Ijumaa hii Mwenyekiti wa Chama cha wasanii wa Vichekesho Tanzania, Mkono […]

Read More..

Muhogo Mchungu Afungukia Matumizi ya Kiswah...

Post Image

MKONGWE wa filamu nchini, Abdallah Mkumbila ‘Muhogo Mchungu’, amewataka wasanii wa Tanzania watumie lugha ya Kiswahili katika kazi zao badala ya kutumia lugha ya Kiingereza ili waikuze lugha hiyo Mwigizaji huyo alisema hayo juzi alipotembelea Ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd wazalishaji wa magazeti ya Bingwa, Rai, Dimba na Mtanzania zilizopo Sinza Kijiweni […]

Read More..

Wema: Licha ya Kuniacha, Nitazaa na Idris

Post Image

LICHA ya madai kuwa wapenzi wawili, Idris Sultan na Wema Sepetu wamemwagana, muigizaji huyo nyota na Miss Tanzania 2006, amesema anataka kuzaa na mshindi huyo wa Big Brother Hotshots 2014 kutokana na jinsi anavyojali na mwenye huruma nyingi. Akiteta na Amani hivi karibuni, Wema alisema atajisikia fahari sana endapo mtoto wake wa kwanza angezaa na […]

Read More..