-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Davina: Atamani Ramadhani Iendelee

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amedai kuwa anatamani Mwezi Mtukufu wa Ramadhani uendelee kwani umepunguza misengenyo baina yao tofauti na wakati mwingine katika mwaka. Akipiga stori na Risasi Vibes, Davina alisema anatamani Mwezi Mtukufu ungeendelea kwa sababu umekuwa wa amani na utulivu, pia watu wamekuwa wakitenda mema, kujisitiri kwa mavazi ya heshima […]

Read More..

Mtitu Awachana Viongozi wa Shirikisho la Fi...

Post Image

DAIREKTA mwenye jina kubwa nchini, William Mtitu amefunguka kuwa kitu kinachoiangusha tasnia ya filamu Bongo ni uongozi wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), ambao umeshindwa kuwasimamia wasanii wake vizuri pamoja na kutengeneza mazingira mazuri ya kuwafanya wadau mbalimbali kuvutiwa na tasnia hiyo hata kuwekeza. Akichonga na gazeti hili, Mtitu aliongeza kuwa ili tasnia ya filamu […]

Read More..

Gabo Zigamba: Atoboa Sababu za Filamu za Ta...

Post Image

Msanii wa filamu, Gabo Zigamba ametoa ya moyoni kuhusu mapungufu ambayo yanafanya filamu za Tanzania kutofanya vizuri katika nchi kubwa hasa zile za kimaitafa. Akizungumza na Ayo TV alisema….‘Pungufu la mwanzo kabisa linatokana na bajeti kuwa ndogo kwahiyo tukianza na bajeti ikiwa ndogo lazima kuna vitu vitatu au vinne vikafanywa na mmoja kwahiyo tayari itakuwa […]

Read More..

Wasanii Hawa Kunogesha ZIFF Mwaka Huu

Post Image

WASANII wa hip hop, Farid Kubanda ‘Fid Q’, Juma Kassim ‘Juma Nature’, Stamina na Young Killer ni miongoni mwa wasanii watakaonogesha Tamasha la 19 la Kimataifa la Filamu za Nchi za Jahazi maarufu ZIFF, linalotarajiwa kuanza maonyesho yake Julai 9 hadi 17 visiwani Zanzibar. Tamasha hilo limezinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki […]

Read More..

Filamu Zinavyowatesa Wasanii Uraiani

Post Image

KATIKA tasnia ya uigizaji kuna mambo mbalimbali unaweza kukutana nayo kwenye jamii, iwe kwa uzuri au kwa ubaya. Japokuwa vinaweza kumpatia mtu umaarufu ingawa mara nyingi hutegemea na jinsi msanii anavyojiweka ama anavyojihusisha na sanaa yake. Kwa upande wa fani ya filamu mara nyingi hilo linatokana na kuuvaa vyema uhusika wa nafasi anayoigiza katika kazi […]

Read More..

Wastara Atumia Mil 180 Kununua Mjengo

Post Image

Huku kukiwa na madai mazito ya kumchuna aliyekuwa mumewe ambaye ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa na Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Khamis Juma, staa wa sinema za Kibongo, Wastara sasa anaripotiwa kununua mjengo wenye gharama ya Sh. milioni 180 za Kitanzania, Wikienda limechimba. Pamoja na misukosuko […]

Read More..

Amanda Awafungukia Mastaa Wabwia Unga

Post Image

AMANDA Poshi, staa wa sinema za Kibongo, amewabwatukia baadhi ya mastaa wanaojitangaza kuwa wanatumia madawa ya kulevya baada ya kuathirika kuwa ni wanafiki. Alisema angewaona wana hoja kama wangejitangaza kipindi walipoanza kuyatumia kuliko wakiona yanawashinda ndiyo wanakimbilia kwenye vyombo vya habari kuomba msaada. “Yaani kila siku wanaambiwa kuwa usipite hapa kuna hatari lakini wao wanakimbilia […]

Read More..

Jini Kabula Aswekwa Lupango

Post Image

 Kibano! Staa wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amejikuta kwenye mikono ya sheria na kuswekwa lupango baada ya  kumtukana shosti yake, Miss Kinondoni 2009, Stella Mbuge. Kwa mujibu wa mtoa ubuyu wetu makini, Kabula alitaitiwa na polisi usiku wa Jumatano iliyopita mara baada ya kutendo kosa hilo walipokuwa katika Uwanja wa Taifa jijini […]

Read More..

Snura: Tuache Kugombea Mabwana Tufanye Kazi

Post Image

SNURA Mushi mwigizaji wa filamu na mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya amewaambia waigizaji wa kike wasiwe tegemezi kwa kufanya kazi zinazoandaliwa na watayarishaji wa kiume wakati nao wanaweza kuetengeneza filamu. Msanii huyo anatiririka kwa kusema kuwa badala ya kutumia muda mwingi kugombea mabwana wajipange kufanya kazi na kwa kiwango kikubwa kwani wanakubalika katika soko […]

Read More..

Siwezi Bila Seba- J Plus

Post Image

MTAYARAISHAJI wa filamu Jimmy Mponda ‘Master’ amefunguka kwa kusema kuwa filamu za kimapigano anafanya vizuri anapokutana katika mapigano na mwigizaji Seba Mwangulo ‘Inspekita Seba’ ndio sababu anarudi naye tena. “Sinema za action ni ngumu sana kucheza hasa ukikutana na msanii ambaye hajui sinema za mapigano, hivyo nimerudi na Ispekita Seba katika filamu The Foundation nimekubali […]

Read More..

Stanbakora Afunguka Kuoa Mwarabu

Post Image

MKALI wa vichekesho nchini, Stanley Yusuph ‘Stanbakora’, ameweka wazi kwamba mwakani ndiyo ataoa tena mwanamke mwenye asili ya Kiasia. Alilifafanulia MTANZANIA kwamba chaguo lake kwa wanawake ni wenye asili hiyo hasa kutoka Uarabuni na awe mcha Mungu. “Sina mpango na wanawake wa Afrika, napenda mke na mama wa watoto wangu awe mwanamke Mwarabu na anayejua […]

Read More..

Kajala Aeleza Mzimu wa Kifo Unavyomtesa

Post Image

Msanii maarufu wa filamu Bongo, Kajala Masanja amefunguka kuwa, maisha yake ya sasa hayajatawaliwa na furaha kwani anaona kama vile siku zake za kuishi duniani zinakaribia kuisha. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Kajala alisema kuwa amefikia hatua ya kusema hayo kwa kuwa, kila wakati moyo wake unamuenda mbio na wakati mwingine kukumbana na ndoto mbaya […]

Read More..

Wema Sepetu: Mimi ni Kama Dhahabu

Post Image

MREMBO wa filamu Tanzania, Wema  Sepetu, amesema yeye ni dhahabu inayogombewa na watu hivyo hajali hata kama atachafuliwa namna gani katika mitandao ya kijamii. Wema aliliambia MTANZANIA kwamba, hana mpango wa kujibu vibaya vinavyoongelewa kuhusu yeye kwa kuwa yeye bado ni dhahabu inayotamaniwa kushikwa na kila mtu. “Mimi ni kama dhahabu hivyo kila mtu anatamani […]

Read More..

Shilole Kutafuta Mume Kijijini

Post Image

MKALI wa Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amejutia kuwapenda wanaume wa mjini kuwa ni wavivu kila sekta hivyo anajipanga kwenda kijijini kwao Igunga,Tabora kutafuta mume. Akistorisha na Showbiz Xtra, Shilole alisema kuwa, hataki tena kujichosha akili kwa wanaume wa mjini kwa vile ni wavivu bora aende Igunga kumpata mwanaume atakayeweza kufanya kazi kutokana […]

Read More..

Wema Afungukia Ugomvi Wake na Aunt

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu amefungukia ugomvi ambao hutokea mara kwa mara na shosti wake ambaye pia ni muigizaji, Aunt Ezekiel usiingiliwe na mtu kwani wanapogombana tofauti zao wanazimaliza wenyewe na si mtu mwingine yeyote. Akizungumza na Amani Wema alisema kuwa, yeye na Aunt ni watu waliopo karibu sana na wanaopendana hivyo inapotokea wanagombana […]

Read More..

King Majuto: Baada ya Ramadhani Anakuja Nah...

Post Image

MSANII mkali wa filamu, maigizo na vichekesho nchini, Amri Athuman maarufu King Majuto, anatarajia kutambulisha filamu yake mpya itakayojulikana kwa jina la ‘Uganga Basi’. Mkali huyo ambaye kwa sasa anatamba na filamu yake mpya inayoitwa ‘Kirungu’ aliyomshirikisha mchekeshaji mahiri na mkongwe katika vichekesho, Brother K, alisema filamu hiyo itatoka Julai mwaka huu. Majuto aliliambia MTANZANIA […]

Read More..

Nisha: Watoto Wamenitoa Machozi

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania Nisha ametoa sadaka kwa kufuturisha watoto wasiojiweza katika viwanja vya shule ya sekondari Azania Upanga Jumapili hii, futari iliyohudhuriwa na wasanii wenzake pamoja na watu kutoka sehemu mbalimbali. Hata hivyo Nisha alipata wakati mgumu baada ya watoto hao kuanza kulia naye alishindwa kuvumilia huku akisema anawaonea huruma watoto hao na kuhisi […]

Read More..

Batuli:Wasanii Wengi Wanaishi Maisha ya Kui...

Post Image

MKALI wa filamu nchini, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’, amesema hataki watoto wake wawe waigizaji kwa kuwa kuna mambo mengi anayokutana nayo na hataki wakutane nayo. Akizungumza na MTANZANIA, Batuli alisema hataki watoto wake, Samir na Malima, wawe waigizaji kwa kuwa amekutana na mambo mengi mabaya yakiwemo kutukanwa mitandaoni, kupandishiwa bei za vitu kiasi kwamba vinasababisha wakati […]

Read More..