-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Aunt Ezekiel: Nipo na Nitaendelea Kuwepo

Post Image

MSANII nyota wa kike wa filamu Bongo Aunt Ezekiel amefunguka kwa kusema kuwa yupo na ataendelea kuwepo katika tasnia ya filamu kwani ndio kazi inayompatia maslahi na heshima kama msanii mwenye hadhi kubwa. Nipo na nafanya kazi zangu za filamu kama kawaida sijapotea katika game kama wengine wanavyosema tena mwaka huu nimetoa kazi nyingi tu […]

Read More..

Ukimya wa Odama Wawapa Jibu Mastaa!

Post Image

Staa wa sinema za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa ukimya wake wa muda mrefu umewapa jibu mastaa wenzake kwani kuibuka kwake na sinema mpya kumezua gumzo na kumpa heshima ya kuendelea kusimama kama msanii. Odama ameliambia Wikienda, kuwa alipoamua kukaa kimya alikuwa na sababu kwani alikuwa ametuliza kichwa kuhakikisha anaibuka na sinema itakayozidi kumjengea […]

Read More..

Mama Harmonize Amtilia Shaka Wolper

Post Image

Siku chache baada ya staa wa Wimbo wa Bado, Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ kumtambulisha mchumba’ke, Jacqueline Wolper Massawe nyumbani kwao katika Kijiji cha Mahuta mkoani Mtwara, siri imevuja kuwa wakati wa zoezi hilo, mama mzazi wa jamaa huyo, anadaiwa kumtilia shaka mrembo huyo juu ya mwanaye na kumpa wosia mzito. Tukio la utambulisho huo lilifanyika nyumbani […]

Read More..

Chuchu Hans Adaiwa Kunasa Ujauzito

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans anadaiwa kunasa ujauzito wa mchumba wake ambaye naye ni staa wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’. Kwa mujibu wa chanzo ambacho kipo karibu na wawili hao, Chuchu kwa sasa ni mtu wa kujifungia ndani na amekuwa hapatikani kwenye matukio mbalimbali yanayomhusu. “Ameshanasa, tena ujauzito huo ni wa Ray, unaambiwa sasa […]

Read More..

Esha Alia Wivu kwa ‘Hausigeli’ Wake

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Esha Buheti ‘amelia’ wivu kwa mfanyakazi wake wa ndani (hausigeli) kuwa katika maisha yake ya ndoa hapendi kumwachia ampikie mumewe kwani siyo maadili. Akizungumza na Showbiz Xtra Esha alisema kuwa, hata mumewe akipikiwa na dada wa kazi huwa anajua kwani akikionja chakula tu lazima aulize mpishi ni nani kutokana kuwa […]

Read More..

Mau Fundi Ahamia ‘Stand Up Comedy’!

Post Image

MCHEKESHAJI mahiri katika tasnia ya filamu Maulid Ali ‘Maufundi’ amesema kuwa kwa sasa katika kujiongezea kipato kwenye uigizaji anageukia uchekeshaji wa majukwaani (Stand up Comedy) ili kuepukana na hali ya soko la filamu ambalo limepoteza mwelekeo. “Waswahili husema ukicheka na Nyani utavuna mabua, sasa mimi sitaki kuvuna mabua ndio maana nakimbilia kwingine ambako wengi wanakuogopa […]

Read More..

Wema Sepetu ni ‘Brand’ Lakini Haitumiki!

Post Image

NI mrefu, mwenye ngozi yenye rangi ya dhahabu. Ana macho meupe, pua fupi, midomo minene iliyofunika meno yaliyopangika vyema kinywani na kutengeneza mwanya mdogo wa kichokozi katikati. Sauti yake nyembamba ni kivutio kingine, shingo ndefu kama ya twiga ni kati ya sifa zinazomuacha kwenye orodha ya warembo wa Tanzania wenye mvuto kwa mwaka wa kumi […]

Read More..

Wolper Afungukia Alivyondanganyika Kwenda A...

Post Image

Msanii wa filamu bongo, Jacqueline Wolper amesema alijikuta akidanganyika kwenda Afrika Kusini kwasababu alitaka akasomee Kiingereza, lugha anayoamini ni muhimu wake. Akiongea kwenye kipindi cha Take One, kinachoruka kupitia Clouds TV, Wolper amesema kuwa chuki zilizopo kwenye kiwanda cha filamu na tatizo la kutoijua lugha hiyo ndiyo sababu nyingine iliyomfanya akubali kumfuata mpenzi wake Mkongo […]

Read More..

Mboto Ataja Kirusi Hatari Bongo Muvi

Post Image

KAMA ni kipaji amejaliwa na anajua kikitumia vyema. Haji Salim maarufu kama Mboto ni mchekeshaji mkubwa hapa Bongo aliyefanikiwa kuiteka hadhira yake. Ubunifu wake ni kati ya silaha zinazomfanya akubalike zaidi. Nje ya kamera, Mboto hana maringo, ni msikivu na mpole wa kiasi lakini ukiwa naye karibu andaa mbavu zako, maana vituko vyake vinaweza kuchanachana […]

Read More..

Irene Uwoya Kuja na Hii Mpya

Post Image

Mwigizaji wa filamu, Irene Uwoya baada ya ukimya wa muda mrefu bila kuachia kazi, anajipanga kuachia tamthilia yake mpya iitwayo ‘Drama Queen’. Akiongea na Bongo5 Alhamisi hii, Uwoya amesema tamthilia kwa sasa zinalipa vizuri kutokana na runinga nyingi kuhitaji tamthilia. “Nataka kufanya tamthilia ambayo inaitwa Drama Queen,” alisema Uwoya “Mimi ndio Drama Queen mwenyewe, na […]

Read More..

Wema Sepetu Adai Mwaka 2006 Ulikuwa Mwisho ...

Post Image

staa wa bongo movie,  Wema Sepetu ambaye pia aliwahi kuwa Miss Tanzania 2006 amesema hajui lolote kuhusu mashindano hayo zaidi ya kuwa mwaka alioshinda yeye ndiyo ulikuwa wa mwisho kwa mashindano hayo. Mwaka jana mashindano ya Miss Tanzania yalifungiwa na BASATA kutokana na tuhuma za upangaji wa matokeo uliosababisha kupoteza msisimko na mvuto wa mashindano […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Sitaki Marafiki Tena

Post Image

BAADA ya urafiki wa waigizaji mashuhuri na wanaozungumzwa sana nchini, Wema Sepetu na Aunty Ezekiel ‘Mama Cookie’ kuvunjika, waigizaji hao wameibuka na kudai kwamba hawahitaji marafiki. Ilishangaza Aunty Ezekiel kutomualika Wema Sepetu katika sherehe ya mtoto wake na mnenguaji wa Diamond Platinum, Moses Iyobo iliyofanyika mwishoni mwa wiki ukumbi wa Serena Hotel. Aunty Ezekiel alipoulizwa […]

Read More..

Sina Amani Imekuwa Kama Nimeua- Wema Sepetu

Post Image

Msanii wa filamu na mjasiriamali Wema Sepetu amefunguka ya moyoni kutokana na namna mashabiki wake wa Instgram wanavyomchukulia na kumpa maneno ambayo muda mwingine yanamuumiza na kumkosesha amani na kumfanya ajione ni kama mkosaji mkubwa. Wema Sepetu ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram ha hayo yamekuja baada ya watu kuanza kusema maneno mbalimbali kwa […]

Read More..

Hizi Ndizo Movie Mpya Zilizotoka Hivi Sasa

Post Image

  MOVIE MLANGONI: Sasa mashabiki wa bongo movies unaweza kujipatia nakala yako ya Movie zote kutoka Steps Entertainment popote pale ulipo. Kwa Bei rahisi kabisa; Kwa shilingi 5000/= -DVD na  3000/= -VCD Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489 Kuletewa filamu hizi. Pia kama unataka kuwa wakala wa kuuza filamu zetu wasiliana […]

Read More..

Mzee Majuto Akanusha Kustaafu Kuigiza

Post Image

Msanii wa filamu za kuchekesha, King Majuto amekanusha taarifa ambazo zilizagaa katika mitandao ya kijamii kwamba amestaafu kuigiza. Akiongea katika kipindi cha Clouds E cha Clouds TV Jumatano hii, Mzee Majuto amedai sio kweli kwamba amestaafu kuigiza ila kuna baadhi ya filamu ambazo hatafanya tena. “Watu wameniwekea maneno mdomoni, sijasema nimeacha kuigiza,” alisema Majuto.“Wakati nipo […]

Read More..

Duma, Mboto , Dude na Riyama Kuja na ‘Mch...

Post Image

Baada ya kufanya vizuri katika filamu ya mfadhili wangu sasa anakuja kivingine hapa namzungumzia Daudi Michael (Duma) anakuja na filamu yake mpya ambayo imeshutiwa mikoa miwili dar na morogoro, Inaitwa (Mchongo Sio ) ambayo ameshirikiana na mastaa wenzake kibao kama Haji salum (Mboto) Kulwa Kikumba (Dude) Riyama Ally Mzee Kolongo Lukey Lukam…Rucky Baby Mwahija Mvungi […]

Read More..

Hakuna Shida mtu Kuvaa Kimini Kama Mtu Ana ...

Post Image

Staa wa Filamu Bongo Rose Ndauka  amefukunga kuwa haoni kama kuta tatitzo kwa wadada wa bomgo movies kuvaa vimini kwenye filamu wanaozocheza kama wana miguu mizuri ya kuvalia. Akizungumza na eNewz Rose aliweza kutoa maoni yake kuhusiana na kauli iliyokuwa imetolewa na nguli wa filamu nchini Bibi Hindu dhidi ya wasanii wa kike wa Bongo […]

Read More..

Wastara Kufunga Ndoa Kisiri Kabla ya Ramadh...

Post Image

Katika hali ya Kushitukiza inasemekana kuwa staa wa Bongo Movies Wastara Juma ana mipango ya kufunga ndoa siku za usoni kabla ya Ramadhani.   Mtu wa karibu wa Wastara Juma ambaye Hakutaka jina lake litajwe alimthibitishia muandishi wa footprinttz kuwa ni kweli Wastara anatarajia kuolewa. ” Ni Kweli Wastara anafunga Ndoa Siku Si Nyingi Ila […]

Read More..