Gari ya Aunty Ezekiel Yashikiliwa na TRA
Gari ya mwigizaji wa bongo movie Aunty Ezekiel imeshikiliwa na mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), baada ya kutumia gari kabla ya kulipia ushuru. Gari yake ya aina ya AUDI aliyoiagiza afrika kusini ilikamatwa mwezi mmoja uliopita ikiwa na namba ambazo siyo Tanzania. Aunty Ezekiel ameeleza kuwa aliitumia gari hiyo wiki moja tu ndipo mamlaka ya […]
Read More..





