-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Gari ya Aunty Ezekiel Yashikiliwa na TRA

Post Image

Gari ya mwigizaji wa bongo movie Aunty Ezekiel imeshikiliwa na mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), baada ya kutumia gari kabla ya kulipia ushuru. Gari yake ya aina ya AUDI aliyoiagiza afrika kusini ilikamatwa mwezi mmoja uliopita ikiwa na namba ambazo siyo Tanzania. Aunty Ezekiel ameeleza kuwa aliitumia gari hiyo wiki moja tu ndipo mamlaka ya […]

Read More..

Ray Atuhumiwa Uchawi, Afunguka

Post Image

Staa wa filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameingia kwenye kashfa nzito baada ya kudaiwa kutumia ndumba kwenye sanaa ili kuwa juu ya wenzake, Risasi Mchanganyiko limetonywa. Chanzo kutoka Bongo Muvi kilieleza madai kwamba msanii huyo mwenye jina kubwa, amekuwa ‘akiwachezea’ wenzake ili wasifanye vizuri kwenye soko la sanaa na sasa hivi ndiye anayeongoza kwa […]

Read More..

Mtunis: Filamu za Bongo Zinalipa Sana

Post Image

STAA wa filamu nchini, Nice Mohammed ‘Mtunis’, alisema soko la filamu litakuwa kubwa kama filamu zinazozalishwa nchini zitakuwa na ubora unaotakiwa kwa jamii ambao ndio wanunuaji. Mtunis aliliambia MTANZANIA kwamba licha ya waigizaji na wadau wengi kudai kwamba filamu za Bongo hazilipi yeye anasema kwamba filamu hizo zinalipa ila zisizolipa ni zile zinazokosa uandaaji mzuri. […]

Read More..

Joka la Kijiji Filamu Kubwa Kutengenezwa Bo...

Post Image

Hatimaye filamu ya kwanza ya aina yake inayohusisha joka kubwa linalosumbua wanakijiji na kumeza watu imekamilika kutengenezwa. Filamu hiyo iliyopewa jina la JOKA LA KIJIJI imetengenezwa na kampuni mpya ya Zakwetu Network. Mtunzi na muongozaji wa filamu hiyo, Mkongwe Sultan Tamba ambaye ndiye aliyesukuma gurudumu la tasnia ya mlipuko wa filamu kwa kutunga na kutayarisha […]

Read More..

Bongo Movies Premier: Filamu Kibao Kuonyesh...

Post Image

Kwa mara ya kwanza  Steps Entertainment inakuletea Bongo Movies Premier,  filamu za  kibongo zitazinduliwa kiwa kuonyeshwa kwenye big screen kabla ya kuingia sokoni. Wasanii mbalimbali wakiwemo viongozi wanatarajia kuudhulia katika uzinduzi wa filamu mpya ya MKWE ambayo imechezwa na waigiza Odama, Taiya Odera, Muntrah na Hemedi  pamoja na filamu ya NAJUTA SHAMSI ambayo imeshirikisha wasanii […]

Read More..

Gabo Awapa Makavu ‘Matipwatipwa’ wa Bon...

Post Image

Staa wa Filamu Bongo, Salim Ahmed ‘Gabo’ juzikati aliwachana mastaa wa kike wa filamu Bongo kuwa wengi wao hawafai kuigiza scene muhimu kwa sababu wamejiachia na kuwa matipwatipwa. Akipiga stori na Ijumaa, Gabo alisema anawashangaa mastaa wanaolalamika kutopewa nafasi za kuigiza kwa sasa akidai kuwa sababu kubwa ya kuchuniwa ni kuchuja kwao na kutoendana na […]

Read More..

Shamsa Ford Afurahia Kurudiana na Ney wa Mi...

Post Image

BAADA ya kauli ya rapa Ney wa Mitego kwa mpenzi wake wa zamani, Shamsa Ford kwamba kama anachagua wasichana wa kurudiana naye atakuwa wa kwanza kutokana na ukarimu na mapenzi yake, mrembo huyo ameibuka na kufurahia kauli hiyo. Shamsa aliliambia MTANZANIA kwamba, “Mimi na Ney tuliwahi kuwa wapenzi japo tumeachana ila kiukweli tulipendana sana na […]

Read More..

Patrick Amkumbuka Uncle Kanumba

Post Image

Ni msanii ambaye aliibuka kupitia filamu ya This is it akiwa sambamba na mwigizaji mwenzake Jenifer huyu si mwingine ni Othuman Njaidi ‘Patrick’ vipaji vilivyoiburiwa na maremu Kanumba Patrick anasema kuwa anamkumbuka sana Kanumba kwani alikuwa mlezi kwake. “Ni tofauti sana na Uncle Kanumba alivyotulea, yeye alitulea kama watoto wake kazini lakini watayarishaji wengine hawatupi […]

Read More..

Rammy Galis Kuipeleka Bongo Movie Kimataifa...

Post Image

Ni ukweli ambao waigizaji wengi wa filamu Tanzania wanaukataa, kwamba tangu Steven Kanumba afariki, kiwanda chao kimekuwa msege mnege! Hakuna ushindani tena, hakuna excitement tena mtaani kama ilivyokuwa zamani kwenye tasnia hiyo. Mauzo ya filamu yameshuka, waigizaji wengi wamekata tamaa kitu kilichowafanya kufikiria Plan B ili kuendesha maisha yao. Wasambazaji wa filamu nao wanadaiwa kupunguza […]

Read More..

Mama Kanumba Aeleza Haya Kuhusu Lulu

Post Image

Mama Steven Kanumba amesema Elizabeth Micheal ‘Lulu’ hana msaada kwake na hata sura yake ameisahau. Akizungumza kwa uchungu katika kipindi cha Clouds E cha Clouds TV Jumatatu hii, Mama Kanumba amesema kitu ambacho alikuwa anakihitaji kutoka kwa Lulu ni salamu pekee. “Lulu hanisadii kitu chochote na hata sura yake nimeisahau,” alisema Mama Kanumba. “Mimi sihitaji […]

Read More..

Wasanii Watakiwa Kuigiza Filamu Hifadhi za ...

Post Image

Wasanii wa Filamu nchini kote wametakiwa kutumia mandhari za asili zilizoko katika maeneo ya hifadhi za taifa kwenye shughuli zao za kurekodi filamu badala ya kutumia majengo ya kifahari ili kutangaza utalii kwa kupitia kazi zao. Hayo yameelezwa na Meneja Mawasiliano wa Filamu lilifonyika wa Shirika la Hifadhi za Taifa TANAPA ,Pascal Shelutete wakati akizungumza […]

Read More..

Zamaradi Mtetema Amwagia Sifa Hizi Riyama

Post Image

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, muuandaaji wa filamu na matantazaji wa kipindi cha Take One  cha maswala ya filamu , Zamaradi Mtetema  amemwagia sifa muigizaji wa kike, Riyama Ally kuwa ni moja ya waigizaji wa kike wenye uwezo na nguvu sokoni. “Anafahamika zaidi kwa uigizaji wake… MUIGIZAJI wa kike mwenye uwezo wa kusimama […]

Read More..

Picha: Shilole Ajichora Jina Lake Kwenye Ta...

Post Image
Read More..

Steve Nyerere Kutoa Movie Moja tu Mwaka Huu

Post Image

Mchekeshaji na staa wa Bongo Movies, Steve Nyerere ameibuka na kusema mwaka huu atatoa filamu moja tu. Steve Nyerere amesema anawashangaa wasanii wanaotoa movie nyingi lakini hazina ubora. Amesema “Kuna watu wanatoa movie mpaka tatu kwa mwaka lakini zote ni mbovu”. Steve ameahidi kuwa movie hiyo atakayoitoa itakuwa ni kali sana. Steve aliongea hayo na […]

Read More..

MUSA Banzi: Waansishi na Waongozaji wa Fila...

Post Image

Musa Banzi anaumizwa na kitendo cha wasanii kupewa credit badala ya credit hizo kupewa waandishi wa filamu na waongozaji.   Banzi amewahi kuandika filamu zilizowahi kufanya vizuri kama vile ‘Shumileta’, ‘Odama’ na nyingine nyingi. Akizungumza kwenye kipindi cha E-News, kinachoruka kupitia EATV, Banzi alisema, ‘Siku hizi wasanii ndiyo wanaopewa credit kwenye movie badala ya madirector […]

Read More..

Shamsa Amsweka Lupango Mzazi Mwenziye

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford juzikati amemsweka lupango mzazi mwenziye Dick Matoke, katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay kwa kile kinachodaiwa kuwa mzazi mwenzake huyo kuwa na tabia ya kumtukana mara kwa mara akishirikiana na mpenzi wake wa sasa ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja. Kwa mujibu wa chanzo makini, Dick na mwanamke […]

Read More..

Shamsa Ford: Mungu Niepushe Nisiingie Kweny...

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Shamsa Ford hivi karibuni alifunguka kupitia mtandao wa Instagram kuwa mahusiano na mastaa wa Bongo hayadumu kwa miezi mitatu na amemuomba Mungu amuepushe mbali nayo.   Akiweka picha ya Beyonce na Jay Z, Shamsa alidai ni uhusiano wao tu ndiyo anaouelewa miongoni mwa mastaa. Aliandika: Haya ndio mahusiano ninayoyakubali dunia nzima.unaweza […]

Read More..

Cloud afunga ndoa tena Ulaya kwa siri

Post Image

NYOTA wa sinema za Bongo, Issa Mussa ‘Cloud’ amefunga ndoa  tena, lakini safari hii ni kwa siri huko nchini Sweden na mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Mina ambaye amekuwa akimposti kila kukicha mitandaoni kwa kumuita pacha. Chanzo kilicho karibu na staa huyo kililiambia gazeti hili kuwa, Cloud amemfanyia mbaya mkewe, Cynthia kwa kuamua kuoa […]

Read More..