-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Snura: Sitaki Mtoto Mwingine wa Nje ya Ndoa

Post Image

LICHA ya kuwa na watoto wawili kwa baba tofauti, mkali wa kuimba na kunengua, Snura Mushi, amesema kwa sasa hataki apate mtoto mwingine hadi atakapoolewa. Msanii huyo anayetamba na wimbo wa ‘Chura’ alisema wanaume aliowahi kuwa nao kimapenzi hawakuwa na msimamo na mwelekeo anaoutaka hivyo kwa sasa anataka mwanaume mwenye maadili, imani na upendo kwake, […]

Read More..

Namtaka Wema Sepetu Kwa Gharama Yoyote- Ibr...

Post Image

NYOTA wa filamu Nchini Burundi na Rwanda Ibrahim Ismael ‘Ic’u Ibrah’ amefunguka kwa kusema kuwa moja kati ya ndoto zake ni kuigiza filamu moja kubwa na Madame Wema Sepetu kwani ni msanii anayeamini kuwa ni mwigizaji mzuri na anaweza kuigiza. “Nashukru kwa mara ya kwanza kuigiza na actress kutoka Tanzania Shamsa Ford, lakini nitafurahi sana […]

Read More..

Sijui Kitu Gani Kinatusibu- Lulu

Post Image

MWIGIZAJI wa Filamu na mshindi wa tuzo za African Magic Viewers Choice Awards (AMVCA) Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kwa kusema kuwa haelewi kitu gani kinawala wasanii wa filamu kukosa umoja na ushirikiano kwa kila jambo zaidi ya kuombena mabaya tu. “Nimejifunza mengi sana katika tuzo za African Magic hasa kwa wenzetu wa Naijeria wanapendana sana […]

Read More..

Faiza Ataja Sababu za ‘Reality TV Show’...

Post Image

Msanii wa filamu Faiza Ally ameeleza kuwa mzazi mwenzie ‘Baba Sasha’ amesababisha reality TV show yake ‘Star’ kushindwa kuonekana EATV licha ya kukubaliana na uongozi wa runinga hiyo kirushwe. Kupitia instagram, Faiza ameandika: Siwezi kunyamazia hizi habari zaidi nimeona ni share na watu wote wajue sijajua zitani cost kiasi gani lkn niko tayari kuface chochote […]

Read More..

Chuchu, Johari Wamaliza Bifu

Post Image

Habari mpya mjini kwa sasa ni kuwa wale mahasimu wawili wa muda mrefu, Blandina Chagula ‘Johari’ na Chuchu Hans ambao ni mastaa wenye majina makubwa katika kiwanda cha filamu nchini, wamemaliza tofauti zao na sasa ni mashostito wakubwa, Risasi Mchanganyiko lina ubuyu mzima. Chanzo cha kuaminika kililiambia gazeti hili kuwa, mabinti hao ambao sababu ya […]

Read More..

Wastara Aeleza Sababu ya Kumpiga Kofi la Kw...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma, alimpiga kofi la kweli mwanadada Diana Kimaro, ambalo mpaka lilitoa chozi Diana wakiwa na wanaigiza filamu ya FAULO. Lakini hata hivyo baada ya kumaliza kuigiza filamu hiyo, aliamua kumuomba msamaha kwa kumpiga kofi hilo ambalo lilimtoka kwa hasira. Wastara anasema alijikuta akimpiga kofi hilo kwakuwa aliigiza kama mwanaye, akajikuta […]

Read More..

Filamu ya ‘7314Munu Mukuru’ Kutoka Mwez...

Post Image

BAADA ya kufanya vizuri kwa filamu ya ‘Mr. Makuka’ msanii wa filamu Tanzania, Bakari Makuka ‘Beka’, yupo mbioni kuachia filamu mpya inayokwenda kwa jina la ‘7314Munu Mukuru’. Beka alisema katika filamu hiyo amewashirikisha wasanii wakongwe akiwemo, Fatuma Makongoro, ‘Bi Mwenda’, Chuchu Hans, Haji Salum ‘Mboto’, Pacho Mwamba na wasanii wengine wengi. “Filamu hii nataraji kuiachia […]

Read More..

Hemed PHD Wanted, Amtapeli Producer Roho Si...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu Hemed Suleiman ‘Phd’ anatafutwa na mtayarishaji wa Filamu nchini baada ya kuchukua malipo kwa ajili ya kushiriki filamu ya Maziko saa sita na kulala mitini FC imetonywa na mdaku aliyopo anga za Phd anazopinda kujidai. Mdaku huyo akiidakisha FC amedai kuwa msanii huyo wa muziki na filamu huku akifanya poa katika filamu […]

Read More..

Lulu Atoa Sadaka ya Shukrani Kanisani

Post Image

Baada ya kushinda tuzo ya ‘Best Movie East Africa’ @elizabethmichaelofficial siku ya jana aliweza kuhudhuria ibada katika kanisani la Living Water Centre (Kawe Makuti) likiwa chini ya Mtume ‘Enesmo Ndegi’ kutoa sadaka ya shukrani kwa Mungu aliyemuwezesha kupata ushindi wa tuzo. “Nina kila sababu ya kumshukuru Mungu pamoja Baba na Mama hakika sijutii kuokoka kwangu […]

Read More..

JB Aanza Kushoot Tamthilia Yake Mpya ‘Kiu...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu na mtayarishaji, Jacob Stephen ‘JB’ amewataka mashabiki wa kazi zake za filamu kukaa mkao wa kula kwa ujio wa tamthilia yake mpya iitwayo ‘Kiu ya Kisasi’. Kupitia instagram, JB ameandika: Wapenzi wa Jerusalem nilikuwa sijawapa habari ya kazi tunayoendelea nayo sio filamu bali ni tamthilia. Inaitwa Kiu ya Kisasi. Ningependa wapenzi […]

Read More..

Lulu Atengwa Bongo Muvi?

Post Image

Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ameendelea kuzua minong’ono kutokana na kitendo cha kutoshiriki kwenye mikusanyiko ya wasanii wenzake hadi kufikia hatua ya kutengwa. Hali hiyo ya sintofahamu ilijidhirisha Jumanne iliyopita kwenye hafla ya kumpongeza Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam iliyoandaliwa na wasanii wa Bongo Muvi chini ya uratibu wake, […]

Read More..

Idris: Penzi Langu na Wema Sepetu Lipo Pale...

Post Image

Idriss amefunguka yote hayo alipokuwa akishiriki kipindi cha ‘Friday Night Live’ kinachorushwa na EATV kila siku ya ijumaa. Akijibu swali la mtangazaji Sam Misago kuhusu mahusiano yake na Wema Sepetu kwa sasa kwamba inasemekana hawapo sawa Idris amesema ”Mimi na Wema Sepetu ni Mwaa bado tupo zizuri kabisa” Alipoulizwa kwamba ni kweli anampenda Wema au […]

Read More..

Johari, Baba Haji Wagandana

Post Image

Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Super Woman, Blandina Chagula ‘Johari’ na mwenzake, Adam Haji ‘Baba Haji’ wakiwa katika pozi baada ya kukutana usiku mnene kwenye Hoteli ya Rodizio iliyopo Masaki jijini Dar. Musa Mateja, Risasi jumamosi Dar es Salaam: Mh! Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Super Woman, Blandina Chagula ‘Johari’ na mwenzake, Adam Haji ‘Baba […]

Read More..

Richie : Hakuna Msanii Anayeweza Kuwa Namba...

Post Image

Mshindi wa tuzo ya AMVCA2016 amezungumza kwenye kipindi cha Jahazi kuwa kuna kipindi akishuka sana kisanii kutokana na mambo mbalimbali lakini pia akakiri kuwa msanii yoyote hawezi kuwa namba moja milele kwani kila msanii na wakati wake. “Ukweli ni kwamba mimi sikuwa Napenda kuigiza nilienda kwenye kundi letu la zamani la ‘Mambo Hayo’  kusaidia Raymond […]

Read More..

Da Zitta: Filamu za Bongo Zinalipa

Post Image

MAPRODYUZA wanaochipukia katika tasnia ya filamu wengi wao hawafikii malengo waliyojiwekea kutokana na kukatishwa tamaa na baadhi ya wasanii na maprodyuza wenye majina makubwa ambao wanaogopa changamoto za maprodyuza wapya. Lakini licha ya maprodyuza na wasanii wenye majina makubwa kuwahadaa wasanii na maprodyuza wanaochipukia katika tasnia hiyo wengi wao si wadadisi na hukata tamaa haraka. […]

Read More..

Johari Alia na Watayarishaji Wadogo wa Fila...

Post Image

MSANII nguli katika tasnia ya filamu Bongo Blandina Chagula ‘Johari’ amewatolea uvivu watayarishaji wadogo kama ndio chanzo cha kudorora kwa tasnia ya filamu Bongo kwani wamekuwa wakitumia bajeti ndogo katika utengenezaji wa Filamu na kulipua kazi zao. “Niseme ukweli tu watayarishaji wadogo wanaua tasnia ya filamu kwa kukurupuka bila kujipanga hauwezi kutengeneza filamu nzuri kwa […]

Read More..

Paul Makonda ‘Awatumbua’ Bongo Muvi

Post Image

Wasanii wa filamu Bongo, Jacob Steven na Ester Kiama juzikati walinaswa wakiwa kimahaba gizani, jambo lililoibua maswali mengi. Tukio hilo lilitokea nje ya Hoteli ya Rodizio iliyopo maeneo ya Masaki jijini Dar ambapo wasanii mbalimbali walifika kwenye pati ya kumpongeza Mheshimwa Paul Makonda kwa kuchaguliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar. Awali, mishale ya saa […]

Read More..

Serikali Yafafanua Tuzo ya Lulu

Post Image

SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imefafanua kwamba filamu ya ‘Mapenzi ya Mungu’ ya msanii Elizabeth Michael (Lulu) iliyoshinda tuzo ya Filamu bora Afrika Mashariki mapema mwezi huu huko Lagos, Nigeria katika tuzo za African Magic Views Choice Award (AMVCA), aliipata kwa kuwa yeye ndiye mmiliki wa filamu hiyo. Taarifa kutoka wizara […]

Read More..