-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Nipo Vizuri Kila Idara Mwanaher

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa kike Mwanaher Afcely anayefanishwa na mwigizaji wa kike Swahilihood Riyama ametamba kwa kusema kuwa hajivunii kufanana na Riyama bali ni uwezo wake katika uigizaji kwani anafanya vizuri na hata wengine wanashindwa kumtofautisha na Riyama kwa kuigiza kwa ufasaha. “Nipo kikazi zaidi na unajua kama unafananishwa na msanii mwenye uwezo mkubwa ni […]

Read More..

Mzimu wa Kanumba wamsumbua Ray Kigosi

Post Image

Ikiwa ni zaidi ya miaka minee toka alipofariki dunia msanii wa filamu nchini Kanumba The Great lakini bado wapenzi wa filamu nchini na mashabiki wanaonesha kukubali zaidi kazi zake. Hali hiyo imepelekea wapenzi kusema kuwa aliyekuwa mpinzani wake katika tasnia hiyo Ray Kigosi ameshindwa kufikia kiwango ambacho alikiacha Kanumba miaka minne nyuma. Leo kupitia ukurasa […]

Read More..

Chuchu Azungumzia ‘Usaliti’

Post Image

Mmoja wa waandaaji wa tamthilia mpya ya Usaliti Chuchu Hansi ameeleza kuwa tamthilia hiyo itaanza kuruka Jumanne ya leo saa 09:30 usiku kupitia EATV. chuchu amesema tamthilia hiyo itahusu migogoro ya kimapenzi na usaliti. Chuchu amesema tamthilia hiyo itahusisha wakali kibao wa zamani na wa sasa akiwemo yeye mwenyewe na wengine kama Nyamayao, Thea, Senga […]

Read More..

Mimba ya Wema Yayeyuka Ghafla

Post Image

Mimba ya staa wa filamu  Bongo, Wema Sepetu iliyokuwa gumzo kila kona, ni kama puto kwani baada ya kupulizwa, kujaa na kuvuma sana, hatimaye limepasuka na kuacha vilio kwa familia na watu wake wa karibu, Risasi Mchanganyiko linaweza kuripoti.  JIUNGE NA CHANZO Chanzo chetu makini kilichoomba hifadhi ya jina lake ili kulinda ‘ushosti’ wake na […]

Read More..

Mimi Ndiye Msanii Nianyefanya Vizuri Sokoni...

Post Image

MWIGIZAJI anayefanya vizuri zaidi sokoni katika soko la filamu nchini, Vicent Kigosi anasema kushuka kwa soko la filamu nchini na kukosa ushindani ambao ulikuwepo hapo awali. Akifafanua zaidi  alisema tofauti na zamani filamu zilikuwa zikizungumziwa zaidi sababu ya ushindani wake mkubwa na marehemu Steven Kanumba. Kigosi anasema kipindi hicho ya filamu kutoka kulikuwa na mambo […]

Read More..

Masanja Azidi Kupaa Kibiashara Azindua Masa...

Post Image

MCHEKESHAJI wa Komedi kutoka Orijino Komedi Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji amezidi kujikita katika mkasuala ya biashara baada ya kufanikiwa kufungua mgahawa wa kisasa kabisa kwa ajili ya maakuli na kuwa kivutio kwa maeneo hayo.   Masanja Mkandamizaji amezindua Mgahawa wake wa Kisasa kwa kuandaa sherehe za uzinduzi kwa kuwakaribisha wadau mbalimbali Mgahawa huo unaoitwa […]

Read More..

Kutana na Gabo Zigamba Akiwa na Niva Ndani ...

Post Image

Katika maisha inatupasa tuwe na subira na uvumilivu ingawa wakati mwingine shida inaweza kuwa mvumbuzi wa matatizo.Tunamshukuru Mungu kwa huyu mtoto alietupatia japo si damu yetu ila amekuwa faraja kwetu. KASANGA NAE MWANA. Bongo Movies 2016-Kasanga Nae Mwana (Official Trailer) Movie: Kasanga Nae Mwana Production: King Media Genre:  Comedy&Drama Cast: Salim Ahmed, Zuber Mohammed Release […]

Read More..

Producer wa Filamu ya Mpango Mbaya Staford ...

Post Image

MTAYARISHAJI na muongozaji wa filamu ambaye pia ni mwasisi wa Mtandao huu FC Staford Kihore anatarajia kutua nchini Nigeria kwa ajili ya kushuhudia utoaji wa tuzo za African Magic Views Choice Awards tuzo hizo ambazo zinatarajia kutolewa mwezi March 2016, akiongea na FC Kihore amesema kuwa anatarajia kutoa Lagos tarehe 2 March. 2016.   Mtayarishaji […]

Read More..

Picha: Mafufu Asherekea Siku Yake ya Kuzali...

Post Image

Juzi siku ya Valentine’s Day, mkali wa Bongo Movies, Jimmy Mafufu mkali wa ‘Ishakuwa soo’ filamu inayofanya vizuri sokoni hivi sasa, ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa ambapo alisherekea kwa kutoa sadaka katika kituo cha watoto Yatima kilichopo Tandale. Tukio hilo liliudhukiwa na wasanii kadhaa walioshiriki kwenye filamu ya ‘Ishakuwa Soo’ akiwemo Niva, Duma na […]

Read More..

Aunty Ezekiel na Moze Iyobo Wapigana Kibuti...

Post Image

Msanii wa filamu za Bongo Aunty Ezekiel maarufu kwa jina la mama Cookie siku hizi, ameonekana akiwa mbali na mwandani wake Moze Iyobo, na kuibua hisia kuwa huenda wawili hao wamemwagana siku ya valentine. Msanii wa filamu za Bongo Aunty Ezekiel maarufu kwa jina la mama Cookie siku hizi, ameonekana akiwa mbali na mwandani wake […]

Read More..

Mwakifamba: Hakuna wa Kufikia Kiwango cha K...

Post Image

RAIS wa Shirikisho la Filamu Nchini (TAFF), Simon Mwakifamba, amesema hakuna atakayeweza kufikia kiwango cha marehemu Kanumba katika sanaa. Alisema sababu kubwa ni kwamba, msanii huyo alikuwa na uthubutu na alijitoa kwa lolote katika kazi zake tofauti na wasanii wa sasa. Pia Mwakifamba aliongeza kwamba, sanaa nchini inaendelea kukumbwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa […]

Read More..

Siwezi Kurudiana na Nay wa Mitego – S...

Post Image

Ikiwa imepita siku moja toka Nay wa Mitego kupost picha ya Shamsha Ford kwenye mitandao yake ya kijamii ikiwa na ujumbe wa ‘Happy Valentine’ hususani siku ya wapendanao mwanadada Shamsha Ford amefunguka na kusema kuwa kamwe hawezi kurudiana kimapenzi na msanii huyo wa bongo fleva ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa ‘Shika Adabu yako’, […]

Read More..

Aunty Ezekiel Ataja Aliowahi Kugombana Nao ...

Post Image

Ni wengi ambao wamegombana na hawazungumzi bado mpaka sasa hivi wala hawajawahi kuwaza kupatana, Mwigizaji Aunty Ezekiel anasema kugombana kwenye maisha ni kitu cha kawaida ila msamaha ni muhimu na kumaliza yaliyopita…. bonyeza play hapa chini MillardAyo.com

Read More..

Kuna Wakati Nauchukia Umaarufu – Shamsa F...

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amefunguka kwa kusema kuwa wakati mwingine anajuta kuwa maarufu. Kupiti instagram, Shamsa ameandika. Umaarufu una raha lakini ubaya wake ukiwa maarufu ni ngumu kumjua mtu anayekupenda kwa dhati kwa sababu wengine wanaweza wakawa wanakufwata kwa ajili ya jina lako ili mradi awe karibu tu na wewe. Umaarufu Ubaya […]

Read More..

Ester Kiama, Davina Watibuana kisa, Upatu

Post Image

Mastaa wa filamu Bongo, Ester Kiama na Halima Yahya ‘Davina’ juzikati walitifuana kwa kutupiana maneno makali kupitia kundi lao la Mtandao wa WhatsApp kisa, kikiwa ni mchezo wa upatu. Sosi ambaye ni memba wa kundi hilo alidai kuwa, wawili hao pamoja na mastaa wengine wana mchezo wao wa kupeana pesa ‘upatu’ lakini siku hiyo Ester […]

Read More..

Mike Sangu Afunguka Hatma ya Ndoa Yake na T...

Post Image

JINA alilopewa na wazazi wake ni Michael Sangu lakini kwenye sanaa anatambulika kwa jina la Mike. Ni mwigizaji na mwongozaji wa filamu za Kibongo kwa muda mrefu. Habari kubwa zaidi katika maisha yake kwa sasa ni kuhusu ndoa yake na mwigizaji mwenzake Salome Ndumbangwe Misayo ‘Thea’.  Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa amekuwa na mgogoro […]

Read More..

Johari Awewesekea Penzi la Mbunge

Post Image

MUIGIZAJI mkongwe wa filamu Bongo, Blandina Chagula anayefahamika kisanii kama Johari, anadaiwa kuwewesekea penzi la mbunge mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (jina linahifadhiwa) ambaye alifunga ndoa miezi michache iliyopita. Chanzo makini kilicho karibu na msanii huyo kimeliambia gazeti hili kuwa Johari alikasirishwa na kushangazwa na hatua ya msanii mwenzake kuolewa na mbunge huyo, […]

Read More..

Niva Amfungukia Nay wa Mitego Baada ya Kuch...

Post Image

Baada ya msanii Nay wa Mitego Kumchana Niva Kwenye ‘Shika Adabu Yako’ kupitia mtandao wa instagram Niva amefunguka haya; Alianza kuwa kuandika haya; “Jioni ya Leo ndio watu watajua. Kama natafuta Kiki kwako au wewe @naytrueboy umeamua kuipata Kiki kwangu coz ney watu wameanza kukujua 2013… mimi watu wameanza kunijua tangia elfu mbili na sita […]

Read More..