-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Snura Aomba Radhi, Awasilisha Video Safi ya...

Post Image

Snura amewaomba radhi watanzania kwa video ya wimbo wake ‘Chura’ inayowadhalilisha wanawake na iliyo kinyume na maadili. Muimbaji huyo amekutana na waandishi wa habari Alhamis hii kwenye ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dar es Salaam. Jana video na wimbo huo vilifungiwa na wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo kwa madai kuwa inakiuka maadili ya […]

Read More..

Snura Akanusha Kufungiwa Yeye na Wimbo Wake

Post Image

Baada ya taarifa kuenea kuwa Snura amefungiwa kujihusisha na kazi ya sanii nchini pamoja na wimbo wake na video msanii huyo amepaza sauti yake na kusema kuwa yeye hajafungiwa kufanya sanaa wala wimbo wake haujafungiwa na serikali. Akiongea na Planet Bongo ya East Africa Radio, Snura amesema kuwa katika barua ambayo alipewa imeeleza wazi kuwa […]

Read More..

Nashindwa Kununua Vitumbua-Dudubaya

Post Image

Msanii Dudubaya amefunguka na kusema kuwa maisha ya kuwa maarufu ni magumu sana kwani kuna wakati unashindwa kufanya vitu ambavyo wewe unapenda kutokana na kuwa na umaarufu. Dudubaya kupitia kipindi cha Planetbongo amekiri kuwa kuna wakati anajutia maamuzi yake ya kutaka kuwa maarufu na kuwa maarufu kwani yanamfanya aishi maisha ambayo si yake kwani akifanya […]

Read More..

“Mimi Ndio Mwanamke Mzuri Bongofleva&...

Post Image

Shilole ameyasema hayo leo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na EATV. “Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole. Pamoja na hayo Shilole amezungumzia suala la kuwa na ukaribu na msanii Nedy Music, […]

Read More..

Master Jay Atoboa Sababu za Yeye Kuoa Mapem...

Post Image

Mtayarishaji wa muziki mkongwe na mmiliki wa Studio ya Mj Records, Master Jay amefunguka na kusema kuwa yeye aliwahi kuoa mapema kutokana na ‘presha’ (shinikizo) la wazazi wake na jamii kiujumla. Akizungumza kwenye kipindi cha Mkasi kinachorushwa na EATV, Master Jay amesema aliweza kumuoa mke wake wa kwanza akiwa mdogo kutokana na wazazi wake na […]

Read More..

AT Awapa ‘Makavu Live’ Mapromot...

Post Image

Game ya Bongo imekuwa ikishikiliwa na wasanii wa kutoka Tanzania bara na kwa sasa wasanii wengi wa kutoka Zanzibar wamekuwa wakifeli. Akizungumzia sababu kubwa ya kufeli kwa wasanii hao Star wa mduara AT alisema kuwa mapromota ndo wanaoua vipaji vya wasanii hao. “Wao wanapromote sana wahuni kuliko wastaarabu wanaojua kufanya kazi na ndomana muda mwingine […]

Read More..

WCB Wadaiwa Kupora Wimbo wa ‘Bado’

Post Image

Producer Frag kutoka Uptown Music ametumbua jipu baada ya kuibuka na kusema kuwa yeye ndiye aliyetengeneza wimbo wa Bado wa Harmonize na Diamond. Frag aliiambia Enewz kuwa pamoja na kazi kubwa aliyoifanya kuhakikisha ngoma hiyo inakuwa poa lakini bado WCB wakamzima na hawakumlipa hata senti tano na kuambulia elfu thelathini pekee ya nauli. “Kawaida nikifanya […]

Read More..

Maneno Haya ya Christian Bella Yawashangaza...

Post Image

Kama wewe ulikuwa ukiamini msanii Christian Bella kwenye ‘playlist’ zake lazima awasikilize wasanii wa Kongo inabidi uifute,’isue’ ni kwamba Bella sio mpenzi kabisa wa ngoma za dansi. Christian Bella amefunguka haya kupitia choudsfm. ‘’Kwasababu mimi napenda sana kusikiliza za wazungu ningependa kurudia wimbo wa ‘With U’ wa Chriss Brown mimi nina ngoma zangu kama hizo, […]

Read More..

Shaa Aeleza Anavyomchukulia Master J

Post Image

Master J na Shaa wamekuwa kwenye uhusiano kwa miaka mingi sasa na wameendelea kuwa imara. akini pamoja na kuwa hivyo, bado uhusiano wao wa kikazi una nafasi kubwa zaidi. Hali hiyo ndiyo imemfanya Shaa kujitahidi kutofautisha uhusiano wao na kazi kwakuwa kwake Master J ni bosi wake. “Bosi wangu meaning ni CEO wa MJ Records, […]

Read More..

Dayna Atoboa Sababu za Kukataa Kuolewa Mara...

Post Image

Msanii Dayna Nyange mwezi uliopita alihudhuria ndoa ya mshakaji wake Roma ilifanyika mjini Tanga, lakini pia mwezi uliopita kuna picha yake ilisambaa anaonekana ametupia shela la harusi yupo na mwanaume flani, akiizungumzia picha hiyo alisema kuwa picha ile ilipigwa kwenye maonyesho ya mavazi, je ana mtazamo gani kuhusu ishu za kufunga pingu za maisha. ‘’Kiukweli […]

Read More..

Pichaz: Mabusu ya Gigy Money kwa Idris Yazu...

Post Image

Picha zinazomuonesha Gigy Money wakati akimpiga mabusu Idris Sultan wakiwa katika show ya Pool Party iliyofanyika Ijumaa iliyopita katika hotel ya Regency Park jijini Dar es salaam, zinawatoa povu mashabiki wa Wema Sepetu. Video queen huyo alipost picha hizo katika mtandao wake wa instagram na kuandika: Bwanaaa bwanaaa nisipige picha na watu. Pia katika picha […]

Read More..

Bora Ukimwi Kuliko Kutumia Dawa za Kulevya-...

Post Image

Msanii wa kizazi kipya Ferooz amefunguka na kusema ni bora mtu apate virus vya Ukimwi kuliko kutumia madawa ya kulevya kwani anadai mtu akitumia dawa za kulevya mwisho wake ni kuaibika na kushindwa kufanya mambo ya msingi katika jamii. Akizungumza kwenye kipindi cha eNewz Ferooz alidai kuwa yeye anaona ni bora mtu apate Ukimwi kwani […]

Read More..

Diamond Awajibu Wanaojaribu Kumuachanisha n...

Post Image

Kumekuwa na taarifa zilizosambaa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram kuhusiana na ‘video Queen’ wa ngoma mpya ya Raymond Tip Top iitwayo ‘Kwetu’ aitwaye Lyyn kuwa anatoka na msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz. Kwa muda wa wiki kadhaa Diamond alikuwa kimya kuhusiana na taarifa hizo lakini siku ya jana kupitia akaunti ya Instagram aliwajibu […]

Read More..

Nay Ampiga Changa Director Wake

Post Image

Muongozaji wa video kutoka Bongo, Nicklass, ambaye amefanya video ya ‘Shika adabu yako’ ya Nay wa Mitego alipigwa changa la macho na Nay juu ya video hiyo. Akizungumza na Enewz Nicklass alisema kuwa Nay alimdanganya kuwa afanye video na wote aliowadis amekwisha ongea nao na haitakuwa na shida lakini kumbe haikuwa hivyo. “Nay alivyokuja kunitaka […]

Read More..

Watayarishaji wa Muziki Bongo Wana Hali Mba...

Post Image

Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini Tanzania, Master J amesema watayarishaji wa muziki wa Bongo wana hali mbaya sana kwa sasa. Master J amejiwekea heshima kubwa kwenye;muziki wa Bongo Fleva, pia amefanikiwa kuwatambulisha wakongwe kibao wa muziki wa Bongo Fleva na Hip Hop ambao wamejiwekea heshima kubwa kwa sasa nchini. Akiongea kwenye kipindi cha FNL, kinachoruka […]

Read More..

Makala: Hiki Ndicho Kinachozikwamisha Filam...

Post Image

Ni lini mara ya mwisho umekutana na trailer ya filamu ya Kibongo mtandaoni au kwenye TV na ikakuvutia kiasi cha kuingia mtaani kuitafuta? Lakini ni mara ngapi unaona trailer za filamu za Hollywood kwenye Youtube na kupata hamu kubwa ya kwenda kuiona kwenye majumba ya sinema kuiangalia ama kuzama kwenye torrent kuishusha? Naamini ni mara […]

Read More..

Tuwaombee Diamond na Alikiba – Dogo Janja

Post Image

Msanii Dogo janja amewataka watu kuwaombea wasanii Alikiba na Diamond, ili waendelee kuiwakilisha Tanzania vyema kimataifa kama wanavyofanya. Dogo Janja ameyasema hayo alipokuwa akichati na mashabiki wake, alipotoa fursa hiyo kwa wale wanaomfuata kwenye mtandao wa instagram na kujibu moja ya swali la shabiki alipouliza ni msanii yupi kati ya hao anamkubali zaidi. “Wote nawakubali […]

Read More..

Idris Aeleza Jinsi Watu Walivyofuja Pesa Za...

Post Image

Mshindi wa shindano la Big Brother Africa 2014, Hotshots Idris Sultan, amevunja ukimya na kuzungumzia tetesi ambazo zilikuwa zinazagaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba kuna mtu alimpatia pesa zake kwa ajili ya biashara lakini akazitumia vibaya kinyume na makubaliano. Ikumbukwe mshindi huyo wa Big Brother Africa 2014, alipata zaidi ya milioni 500. Pesa ambayo alidai […]

Read More..