-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Lady Jaydee na EFM Wameingia Kwenye Ubia Ga...

Post Image

Wenyewe wanasema ‘Huu Mchezo Hauhitaji Hasira’. Ni mchezo upi huo? Usemi huu ulianza baada ya EFM kuwapora watangazaji wawili wa Clouds FM, Gerald Hando na Paul James kabla ya wao nao kuporwa mtangazaji wao, Gardiner G Habash. Na sasa movie linaendelea kunoga. Lady Jaydee anayefahamika kuwa mgogoro mzito na Clouds FM na aliyekuwa mke wa […]

Read More..

Wanaosema Sina Kazi Wanakosea- Idris Sultan

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini Idris Sultan amesema kwamba wanaosema hana kazi na anazurura tuu kwenye mitandao ya kijamii wanakosea kwa sababu yeye ni msanii. Idris amefunguka hayo alipokuwa akihojiwa na mtangazaji Salama Jabir katika kipindi cha Mkasi Tv Show kinachotushwa na EATV. ”Mimi ni ‘Celebrity’ na kwangu kuwa kwenye mitandao ya kijamii kwangu ni kazi kwa […]

Read More..

Nina Mchango kwa Vanessa Mdee- Ommy Dimpoz

Post Image

Ommy amefunguka hayo katika kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na kituo cha EATV ambapo ameweka bayana kwamba kwa jinsi alivyomfahamu Vanesa Mdee ni mtu wa Kimataifa siku nyingi kwa maana alivyofanya naye huo wimbo alikuwa kwenye ‘media’ kubwa ila alikuwa hajapata pa kutokea tuu. ”Nilipomshirikisha kwenye wimbo wa ‘Me and You’ ikawa kama ni gari […]

Read More..

Mr.Blue: Nilipanga Kuoa Siku ya ‘Birthday...

Post Image

Staa wa bongo fleva Mr. Blue  ambaye amefunga ndoa hivi juzi na mkewe Wahyda ambapo hivi sasa wako visiwani Zanzibar kwenye fungate, ameeleza kuwa alipanga kufunga ndoa yake kwenye siku yake ya kuzaliwa. ‘’Haikuwa ghafla ila ghafla kwa wananchi ila kwangu mimi ni kitu ambacho nilikuwa nimepanga karibu mwezi nyuma nilipanga nioe siku ya ‘birthday’ […]

Read More..

Q Chiller Adondokea kwa Diamond Platnumz

Post Image

MKALI wa wimbo wa ‘Mkungu wa Ndizi’ aliyerudi kwa kasi katika muziki wa Bongo Fleva, Abubakari Shaaban maarufu Q Chiller, amesema kwa sasa anatamani kufanyakazi na Diamond Platnumz. Q Chiller alifafanua kwamba anatamani kufanya kazi na Diamond kwa kuwa wote wana uongozi unaojua kazi zao lakini anajipanga kwanza kwa kuandaa wimbo mzuri utakaowawezesha kurudisha fedha […]

Read More..

Mzee Zorro Alinifundisha Vitu Hivi Tangu Ut...

Post Image

Msanii mkongwe kwenye muziki wa Bongo Fleva,Banana Zorro amesema kuwa ameamua kufanya kitu ambacho amekuwa akifundishwa tangu utotoni kupitia kwa mzee wake Zahir Ally Zorro ambaye pia ni mwanamuziki wa siku nyingi,amezungumza hayo kwenye kipindi cha Power Break Fast jana. “Kwangu mimi ilikuwa tofauti, niliamua kufanya kitu ambacho nimekuwa nikifundishwa tangu utotoni kupitia Mzee wangu, […]

Read More..

Muda ukifika nitaongea – TID

Post Image

Baada ya KR kujitambulisha kuwa yeye ndiye Rais wa RADA Entertainment na Juma Nature kumpinga kwa kejeli akisema hamtambui Rais yoyote zaidi ya Rais Magufuli hatimaye TID anyoosha maelezo. T.I.D amesema muda ukifika watamuapisha rasmi KR Mulla kuwa Rais wa Radar Entertainment na kutoa sababu za kufanya kazi na KR Mulla katika label yake. Zaidi […]

Read More..

Mr Blue Afunga Ndoa

Post Image

Staa wa muziki wa Bongo Fleva Kheri Sameer ambaye wengi tumemzoea kwa jina la Mr Blue, leo April 14 2016 hatimaye ameamua kufunga ndoa na mama wa watoto wake Waheeda. Mr Blue amefunga ndoa na Waheeda ambaye amezaa nae watoto wawili wa kwanza akiwa wa kiume na wa pili akiwa wa kike, Mr Blue amefunga […]

Read More..

Nilimpeleka Mama Ulaya Kumtoa Ushamba ̵...

Post Image

Msanii wa Bongo flava Diamond Platnumz alitembelea nchi karibuni tisa za ulaya katika ziara yake ya kimuziki aliyoimaliza hivi karibuni. Amesema ameona kuwa mziki wa bongo flava umekuwa mkubwa sana duniani kwani alijaza kumbi ambazo hata baadhi ya wanamuziki wa Marekani wakifika wanafanyia kule kwa sababu sio kila msanii wa marekani anaweza kujaza Arena hizo. […]

Read More..

TCRA Yawapa Kibano Akina Lulu!

Post Image

Kufuatia tabia ya akina dada wengi kuweka picha za nusu utupu katika akaunti zao kwenye mitandao ya kijamii, wakiwemo mastaa kama Lulu, Masogange na wengineo, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewapa kibano kikali, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili. Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Meneja Mawasiliano wa Mamlaka hiyo, Innocent Mungi alisema ingawa […]

Read More..

‘Sikupendi Wala Sikuzimii Marekani...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz amefunguka kuhusu suala la yeye kutonunua nyumba nchini Marekani kama wasanii wenzake wakubwa wa Afrika wanavyofanya. Diamonda amefunguka hilo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa haoni umuhimu wa yeye kununua nyumba Marekani, tofauti na alivyonunua Afrika Kusini, kwani kule ilimlazimu. “Nna nyumba South Africa kwa sababu nina familia […]

Read More..

Amini Amenibadilisha Kimuziki – Peter...

Post Image

Msanii Peter Msechu amefunguka na kusema kuwa yeye saizi kuanza kufanya vizuri kwenye muziki ni kutokana na kufanya collabo na baadhi ya wasanii kama Amini na amekiri wazi kuwa Amini ndiye ameweza kumfanya atambue watanzania wanapenda nini. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Peter Msechu amesema kuwa mafanikio ya yeye kuanza […]

Read More..

Ommy Dimpoz: Tafuta Hela Ndo Utajua Kama We...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz ameandika hayo kwenye ukurasa wake wa instagram mara baada ya kuweka picha hii. “Tafuta Hela Ndo Utajua kama wewe ni Handsome au Beautiful? #MondayMotivation” -Ommy Dimpoz. Neno moja kwake  

Read More..

Video Mpya ya Mpoto na Banana ya Wimbo wa K...

Post Image

Ni kampeni ya usafi ambayo imeandaliwa na mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda

Read More..

Alikiba Afunguka ‘Kummiss’ Dada...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Alikiba amefunguka na kusema kuwa kuna wakati huwa anamkumbuka sana msanii wa kike ambaye ni dada wa msanii Diamond Platnumz Queen Darleen. Ikumbukwe kuwa msanii Alikiba kipindi cha nyuma aliwahi kufanya kazi na msanii Queen Darleen na walikuwa na ukaribu wa hali ya juu kiasi kwamba wapo watu walihisi kuwa labda […]

Read More..

Nilisingiziwa Mtoto Anafanana na Diamond &#...

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini Idris Sultan amefunguka na kusema kuwa alipotoka kwenye mashindano ya Big Brother Africa alipotua nchini Tanzania alisingiziwa kuwa na watoto watatu na mwanamke mmoja wa Mtwara alimleta mpaka mtoto mwenyewe kwake.   Akizungumza kupitia kipindi cha ‘Mkasi’ kinachorushwa na EATV Idris Sultan alisema alivyoletewa mtoto alibaki akishangaa na alivyomwangalia vizuri yule mtoto […]

Read More..

Joh Makini Atoa siri ya Weusi

Post Image

Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Joh makini amesema wao kama kundi wana mtindo wao wa kipekee kwenye kurap pamoja na uandishi wa mashairi. “Ni mbinu pekee tu tuna aina yetu ya kipekee ya kudeliver jinsi vile vitu ambavyo tumekuwa tukiandika, na aina yetu ya kuflow na jinsi ya uandishi, […]

Read More..

Undani Kifo cha Ndanda Kosovo

Post Image

Dar es Salaam: Msiba! Tasnia ya Muziki wa Dansi Bongo imegubikwa na simanzi nzito kufuatia kifo cha aliyewahi kutikisa vilivyo kwa rap na vibao vikali, mwenye asili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Ndanda Kosovo ‘Kichaa’ aliyefikwa na umauti wikiendi iliyopita, Wikienda limechimba undani wa habari hiyo. Habari zilizolifikia Wikienda mara tu baada ya […]

Read More..