Lady Jaydee na EFM Wameingia Kwenye Ubia Ga...
Wenyewe wanasema ‘Huu Mchezo Hauhitaji Hasira’. Ni mchezo upi huo? Usemi huu ulianza baada ya EFM kuwapora watangazaji wawili wa Clouds FM, Gerald Hando na Paul James kabla ya wao nao kuporwa mtangazaji wao, Gardiner G Habash. Na sasa movie linaendelea kunoga. Lady Jaydee anayefahamika kuwa mgogoro mzito na Clouds FM na aliyekuwa mke wa […]
Read More..





