-->

Tag Archives: FILAMU

Filamu ya Mwezai Mchanga Wiki Ijayo Mtaani!

Post Image

ILE Filamu ya Mwezi Mchanga inayoshirikisha wasanii Nyota katika tasnia ya filamu inatoka wiki ijayo siku ya Alhamisi mwezi March na kusambazwa nchini nzima chini ya Kampuni ya usambazaji wa filamu Bongo ya Splash Entertainment amesema Steven Selenge. “Filamu ya Mwezi Mchanga inatarajia kutoka mwezi huu siku ya Alhamisi na itapatikana nchi nzima katika maduka […]

Read More..

Kutana na Wastara Ndani ya Karibu Dar

Post Image

FILAMU ijulikanayo kwa jina la Karibu Dar ipo tayari na sasa inaingia sokoni siku ya Jumatatu kwa kishindo sinema hiyo ambayo kinara wake ni Wastara Juma ‘Stara’ ni kazi nzuri na yenye stori ya kuvutia na inasambazwa na kampuni ya Splash Entertainment ya jijini Dar es Salaam. Sinema ya Karibu Dar imewashirikisha wasanii wakali kama […]

Read More..

Filamu ya Kiboko Kabisa Yaifunika Filamu za...

Post Image

ILE filamu kubwa ya Kiboko kabisa kila kona ni Kiboko kabisa inakimbiza Sokoni kila ukikutana na mpenzi wa filamu anasema Kiboko kabisa kwa utafiti uliofanywa na FC unaonyesha kuwa filamu hiyo imezifunika sinema zote toka kuanza kwa mwaka huu sambamba na filamu ya Chungu cha Tatu iliyotoka kabla ya Kiboko Kabisa. Kijana mmoja muuzaji maarufu […]

Read More..

Filamu ya Kibonge Mtata Kutikisa Mtaa Jumat...

Post Image

KAMPUNI ya Splash Entertainment inatarajia kuachia filamu kali na ya kusisimua jumatatu wiki ijayo tarehe 01.February .2016 ijulikana nayo kwa jina la Kibonge mtata kazi ambayo msemaji wa kampuni hiyo Steve Selengia anasema itakuwa mwanzo mzuri katika kufungua mwaka huu. “Tumejipanga katika kuhakikisha kuwa sinema yetu ya Kibonge Mtata inamfikia kila mdau wa kazi za […]

Read More..

Filamu ya Gharika Baada ya Miaka 3 Sasa Kui...

Post Image

FILAMU ya Gharika ni filamu ambayo imetumia muda mwingi katika kuhakikisha inatoka katika ubora wa hali ya juu kwani ni hadithi iliyogusa maisha ya watu walikufa maji huko Zanzibar jambo ambalo lilizidisha uhalisia kwa sinema hiyo iliyotengenezwa na Mohamed Mwikongi. Ni kazi iliyochukua nafasi kubwa ya muda wangu kwani awali ilikuwa ni imeitwa Spice island […]

Read More..

‘Ninja’ Kisa cha Mapenzi Toka China Had...

Post Image

Ninja Revenge of Love ni kisa kinachomkuta Mr potlee ambaye mara baada ya kutoka China anaonekana na mwanamke wa kichina wakati Tanzania ana mwanamke ambaye ni askari wa jeshi la polisi Tanzania ,je nini kitatokea? Filamu ya Ninja Revenge of Love chini ya usambazaji wa Steps Entertainment itaingia sokoni kesho kutwa tarehe 04.01.2016. Jipatie nakala […]

Read More..

‘Home Coming’ Iwe Fundisho kwa Wasanii ...

Post Image

KATIKA tasnia ya filamu hapa nchini tunaanza kupiga hatua kwa kiasi kikubwa sana kutokana na wasanii wengi kujituma kwa lengo la kutangaza kazi zao ndani na nje ya nchi, huku ikiwa njia mojawapo ya kujipatia kipato. Siku zote tumekuwa tukiona filamu zetu za hapa ndani zikitazamwa kwa muda mfupi na zinaanza kusahaulika kutokana na uwezo […]

Read More..

Zitazame Picha za Waziri Nape Alivyozindua ...

Post Image

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihojiwa na  mtangazaji mashuhuri wa Azam TV Taji Liundi muda mfupi kabla ya kuzindua filamu mpya ya Home Coming kwenye ukumbi wa Century Cinema ,Mlimani  City jijini Dar es Salaam.Wadau wa Sanaa na Utamaduni wakisubiri kushuhudia uzinduzi wa filamu mpya ya Home Coming.Mmoja wa washiriki wa Filamu […]

Read More..

Filamu ya ‘Going Bongo’ Mzuka

Post Image

ILE Filamu kubwa ya Going Bongo imepokelewa vizuri na wapenzi wa filamu kwa kukusanya watu wengi wakiwemo wasanii nyota kutoka viunga vya Bongo sinema hiyo ambayo imerekodiwa katika kiwango cha kimataifa ilirushwa katika ukumbi wa sinema wa Cinemax Mlimani City na kuteka watazamaji. Mmoja wa wasanii nyota katika vichekesho Masanja Mkandamizaji alisifia ubora wa sinema […]

Read More..

Filamu Ya ‘Chungu Cha Tatu’ Yamalizika ...

Post Image

Kopi za filamu mpya ya JB na Wema Sepetu, ‘Chungu Cha Tatu’ zilizoingia sokoni Jumatatu hii zimemalizika ikiwa ni siku tatu toka iachiwe. Akizungumza na Bongo5 Alhamis hii, JB alisema kasi ya mauzo ya filamu hiyo, ina kila dalili ya kuvunja rekodi ya filamu yake iliyopita Mzee wa Swagga. “Filamu inaenda vizuri sana, Jumatatu baada […]

Read More..

Filamu ya Catherine ni Hatari Hapa Wolper, ...

Post Image

KAMPUNI ya PDM Movie ya jijini Dar es salaam inarajia kutoa bonge la filamu kali na ya kusisimua ijulikanayo kwa jina la Catherine akiongea na FC mkurugenzi wa kampuni hiyo Saprima amesema kuwa sinema hiyo ni nzuri sana na inatoa mafunzo kwa jamii kwani wasanii walioshiriki katika filamu hiyo wenye vipaji. “Catherine ni filamu nzuri […]

Read More..