-->

Category Archives: Other News

Mahakama yaamuru mke amuache mumewe kwa kut...

Post Image

Mahakama moja katika jimbo la Rajasthan nchini India imemuru mwanamke mmoja kuachana na mumewe wa ndoa, kwa sababu nyumba yao kukosa choo kwa muda mrefu. Jaji wa Mahakama ya Bhilwara, Rajendra Kumar Sharma, amesema kuwa kwa vile mume hakumjengea choo ndani ya nyumba, katika miaka mitano ya ndoa, basi huo ni ukatili wa kijinsia na […]

Read More..

Bulaya Sasa hamishiwa Bugando

Post Image

Mbunge wa jimbo la Bunda Mjini, Esther Bulaya aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime alikokimbizwa Jana Jumapili baada ya kuzidiwa akiwa mahabusu ya polisi mjini Tarime, amehamishiwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando jjijini Mwanza kwa matibabu zaidi.   Katibu wa Chadema Mkoa wa Mara, Chacha Heche amesema kuhamishiwa Bugando kwa mbunge huyo kumewezekana […]

Read More..

VIDEO:Furaha Zatawala Mapokezi ya wanafunzi...

Post Image

Kilimanjaro. Furaha imetawala ujio wa watoto watatu wa Shule ya Lucky Vicent waliowasili leo Ijumaa, Agosti 18 wakitokea nchini Marekani kwenye matibabu baada ya kupata ajali Mei mwaka huu. Wazazi na ndugu waliruhusiwa kuingia ndani ya ndege hiyo kuwapokea watoto wao ambao wamepata nafuu kwa kiasi kikubwa. Wilson Tarimo alikuwa wa kwanza kushuka katika ndege […]

Read More..

Mke wa Mugabe akamatwa Afrika Kusini

Post Image

Johannesburg, Afrika Kusini. Grace Mugabe, ambaye ni mke wa Rais Robert Mugabe aweza awe amewafanyia ubabe watu kadhaa nchini kwake lakini kitendo cha kumshambulia, kwa waya wa umeme, mrembo mwenye umri wa miaka 20 kimemweka matatani. Mama Mugabe alikamatwa jana na alikuwa anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo kwa kosa la kumshambulia mrembo huyo anayedaiwa kuwa ni […]

Read More..

Kashfa Zamrudisha Shigongo Darasani

Post Image

Mtunzi wa vitabu mashuhuri Tanzania Erick James Shigongo, anatarajia kurudi shule na kusoma elimu ya shahada, baada ya kuhangaika muda mrefu kutafuta nafasi hiyo, huku akisukumwa na masimango na matusi ya mitandaoni. Kwenye ukurasa wake wa facebook Erick Shigongo ameandika waraka mrefu akielezea safari yake kitaaluma na furaha aliyonayo, ya kuweza kufikia ndoto yake ya […]

Read More..

Waumini wakimbia Kanisa kupisha bomoabomoa

Post Image

Waumini wa Kanisa la Freedom Pentecostal Bible Tanzania lililopo Kibamba kwa Mangi wamelikimbia kanisa lao baada ya kukumbwa na bomoabomoa na jana, ibada ya Jumapili ilihudhuriwa na waumini 10 tu. Kanisa hilo ni miongoni mwa nyumba 30 za ibada zilizokumbwa na bomoabomoa hiyo ili kupisha upanuzi wa Barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kiluvya ikiwa […]

Read More..

Bill Gates Ajiunga Instagram Akiwa Tanzania...

Post Image

Dar es Salaam. Tajiri namba moja duniani Bill Gates amejiunga Instagram akiwa nchini Tanzania na kurusha picha tatu ikiwemo aliyopiga na watoto akiwa Muheza mkoani Tanga. Gates ameijunga na mtandao huo wa kijamiii kwa jina la thisisbillgates na kurusha picha zake za kwanza tatu zote akiwa Tanzania. Gates katika mtandao huo aliandika hiki, “Hello kutoka Tanzania, […]

Read More..

CUF Yapata Pigo Jingine

Post Image

Chama Cha Wananchi (CUF) upande wa Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad kmepata pigo jingine kufuatia Mahakama Kuu nchini Tanzania kutupilia mbali pingamizi lao kutaka Profesa Ibrahim Lipumba asipewe ruzuku za chama hicho. Mahakama Kuu imetupilia mbali pingamizi hilo leo tarehe 11 Agosti 2017, kufuatia Chama Cha CUF huko nyuma kufungua kesi ya […]

Read More..

NASA Wataka Odinga Atangazwe Rais

Post Image

Muungano wa upinzani nchini Kenya, NASA, umeitaka Tume ya Uchaguzi nchini humo kumtangaza mgombea wake Raila Odinga kuwa mshindi wa Uchaguzi wa urais. Mmoja wa kiongozi wa muungano huo Musalia Mudavadi amesema wana ushahidi kutoka ndani ya Tume ya Uchaguzi kuwa, Odinga amepata kura Milioni 8, huku mpinzani wake rais Uhuru Kenyatta akipata kura Milioni […]

Read More..

IKULU: Rais Magufuli Akutana na Bill Gates....

Post Image

Rais John Pombe Magufuli amefunguka na kumshukuru Mwenyekiti Mwenza wa taasisi ya Bill and Mellinda Gates Bw. Bill Gates kwa misaada mbalimbali ambayo inatolewa kupitia taasisi yake kwenye miradi mbalimbali nchini.

Read More..

Majambazi 13 Wauawa Kibiti, Wakutwa na Bund...

Post Image

Jeshi la Polisi Tanzania limesema wahalifu 13 wameuawa katika majibizano ya risasi katika eneo la Tangibovu lililopo katika kijiji cha Miwaleni Tarafa ya Kibiti mkoani Pwani ambapo polisi wamefanikiwa kukamata bunduki 8, pikipiki 2 na begi la nguo. Jeshi la Polisi limeendeleza jitihada zake kuhakikisha mkoa wa Pwani na maeneo yake ya jirani yanakuwa salama […]

Read More..

Makonda Agoma Kumuomba Radhi

Post Image

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amegoma kuomba msamaha kutokana na kudai kuwa hakukivamia kituo cha Clouds Media na walinzi wake kama ilivyosambaa bali watu hawakuelewa kilichotokea. Akiongea na waandishi wa habari leo Jumatano mbele ya viongozi Jukwaa la Wahariri (TEF) na Ruge, Makonda amesema, “Ndugu waandishi wa Habari na Wahariri kile […]

Read More..

Barack Obama Asema Haya kwa Wakenya

Post Image

Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amewataka wananchi wa Kenya kufanya uchaguzi mkuu kwa amani bila vurugu . Kwa mujibu wa Shirika la Habari la AFP, Bw. Obama ametoa wito pia kwa viongozi wa Kenya kukataa vurugu na uchochezi na kuheshimu maamuzi ya wananchi. Kiongozi huyo wa zamani,ambaye baba yake mzazi ni mzaliwa wa […]

Read More..

Uchaguzi kesho Kenya,milipuko yatokea

Post Image

Wakati Wakenya wanapiga kura kesho kuchagua kiongozi wa nchi yao, limetokea shambulio linalodaiwa la kigaidi kwa kulipuliwa nguzo ya umeme mkubwa wa kilovoti 220 na kusababia kuzima kwa umeme katika kisiwa cha Lamu na maeneo mengine ya Mpeketoni. Shambulio hilo lilitokea jana asubuhi lilisababisha kukosekana kwa umeme katika kisiwa hicho na maeneo ya jirani. Hata […]

Read More..

Rais Magufuli Awapatanisha Ruge na Makonda

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewapatanisha Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, Ruge Mutahaba na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda nakuwataka wafanye kazi kama pamoja. Tukio hilo la aina yake, limetokea leo AGOSTI 5, 2017 kwenye Kijiji cha Chongoleani, Tanga ambapo kulikuwa na tukio kubwa la uwekaji […]

Read More..

Mahakama Yatupa Maombi ya Wabunge Waliofuku...

Post Image

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Dar es Salaam imetupilia mbali maombi ya waliokuwa wabunge wa viti maalum wa Chama cha Wananchi (CUF), waliokuwa wakipinga kuapishwa kwa wabunge wateule. Wabunge hao walifungua maombi hayo wakiiomba mahakama itoe amri ya zuio kwa Bunge, lisiwaapishe wabunge hao wateule, hadi pale kesi yao ya msingi kupinga kufutwa uanachama wa […]

Read More..

Majambazi Yapora Mamilioni Kiwandani, Matat...

Post Image

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, linawashikilia watu watatu wanaodaiwa kuwa majambazi kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha na kupora Sh464 milioni. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi alisema jana Alhamisi, Agosti 3 kuwa watu hao walikamatwa Julai 19 mwaka huu mkoani Singida walipokimbilia baada ya kufanya uhalifu. Kamanda Msangi amesema […]

Read More..

Magufuli Ataka Kufuta Hati ya Shamba la Cha...

Post Image

Rais John Magufuli amesema anasubiri taarifa kutoka kwa kamishna wa ardhi ili aweze kuifuta hati ya shamba la Chavda na kulirejesha kwa wananchi. Amesema notisi ya ombi la kufuta shamba hilo tayari siku 90 zimemalizika hivyo inasubiri mchakato wa kamishna wa ardhi amuandikie barua. Ametoa taarifa hiyo leo Alhamisi, Agosti 3 baada ya Mbunge wa […]

Read More..