-->

Daily Archives: January 28, 2016

BASATA Yakanusha Kuifungia “Zari All Whit...

Post Image

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limekanusha taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa limelifungia onesho la mpenzi wake Diamond, Zari, ‘Zari White Party’. Moja kati ya mitandao iliyoandika story hiyo ni Jamii Forums, ambapo walidai BASATA imelifungua onesho hilo kufanyika hapa nchini. Kupitia ukurasa wa Twitter, BASATA limekanusha taarifa hizo huku likiwataka wananchi kupuuza […]

Read More..

Pacha wa Kanumba Adaiwa Kuwa Mhamiaji Haram...

Post Image

Mkali wa filamu Bongo, Rammy Gallis ‘Pacha wa Kanumba ’ anadaiwa kuishi nchini bila vibali maalum, jambo linalomuweka hatarini muda wowote kuweza kutimuliwa Bongo kutokana na tumbuatumbua ya Serikali ya Rais John Pombe Magufuli inayoendelea. Kwa mujibu wa chanzo, kuna hatihati kubwa ya msanii huyo ambaye wengi wamezoea kumuita Msomalia kufungashiwa virago kwani hana uhalali […]

Read More..

Punguza Uzito kwa Njia Iliyo Salama Zaidi

Post Image

Kupunguza uzito lazima kuwe kwa afya kwa kuzingatia upunguaji salama kwa bidhaa zilizothibitishwa na zenye vibali. Wengi wamekuwa wakipumbazwa na urahisi wa bei matokeo yake wamejikuta wakiishia kupata madhara makubwa ya kudumu ikiwamo ugumba, kansa na hata kupoteza maisha. Mara nyingi bidhaa hizi za hatari huuzwa kwa kificho kificho na wauzaji wake hawajui hata mchanganyiko […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka ya Moyoni Kuhusu Penzi...

Post Image

Ikiwa leo Idris Sultan anasherekea miaka yake kadhaa ya kuzaliwa, mpenzi wake Wema Sepetu amefunguka haya kwenye ukurasa wake mtandaoni kuonyesha dunia ni jinsi gani alivyozama penzini kwa kijana huyo ambaye ni mshindi wa BBA 2014. Nimeandika na kufuta karibia mara mia maana kila ninachotaka kuandika najikuta naona hakifai and maybe hakitoshi…. Im busy looking […]

Read More..

Diamond Atamani Nafasi ya Waziri Nape

Post Image

MKALI wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’ (Diamond Platinum), amesema pindi atakapoacha muziki atatumikia siasa huku akitamani kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Msanii huyo aliweka wazi mpango wake huo hivi karibuni alipohojiwa katika kipindi cha Papaso kinachoongozwa na mtangazaji, Di’jaro Arungu ambapo aliweka wazi kwamba akiingia katika siasa atalenga kuwa […]

Read More..

Bi Mwenda: Agoma Kufungukia Uchawi, Mme Na ...

Post Image

Katika kolamu hii tunayowaletea wasanii mbalimbali wa filamu kila wiki, leo tunaye nguli wa filamu Bongo, Fatuma Makongoro ‘Bi Chau’ ambaye pia aliwahi kutamba katika Kundi la Kaole lililokuwa na ‘vichwa vikali’ kama vile marehemu Steven Kanumba, Ray, Muhogo Mchungu, Kipemba, Dk. Cheni, Mtunisi, Frank, Nina, Nana, Norah, Kibakuli, Nyamayao, Max, Zembwela, Bambo, Kingwendu, Swebe, […]

Read More..

Wema Sepetu Kujifungua Mwezi August

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu anatarajia kujifungua mwezi August 2016, kwa mujibu wa mpenzi wake Idris Sultan.   Akizungumza katika kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM Jumanne hii, Idris alisema mpenzi wake huyo anatarajia kupata mtoto baada ya miezi 6 au 7 hali ambayo imetafsiriwa na wadau wa mambo kuwa huenda mwanadada huyo akawa […]

Read More..