TID Aituhumu Clouds FM Kuuza Wimbo Zeze Bil...
Msanii mkongwe wa muziki Khalid Mohamed aka TID ameingia kwenye mgogoro na kituo cha redio cha Clouds FM baada ya kukituhumu kituo hicho kimejiingizia fedha kwa kuhadaa wao ndio waliotayarisha wimbo wa Zeze. Muimbaji huyo ametoa tuhuma hizo kupitia mtandao wa kijamii wa istagram pamoja na kuweka kielelezo cha kava ya CD ambacho amedai amekipata […]
Read More..





