Marlaw Apata Mtoto wa Tatu
MKONGWE wa Muziki wa Bongo Fleva, Lawrence Malima ‘Marlaw’ amepata mtoto wa tatu kutoka kwa mkewe ambaye pia ni msanii, Besta Rugeiyamu ‘Besta’. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na wasanii hao ambacho hakikupenda jina lake lichorwe gazetini, Besta alijifungua tangu Novemba 10, mwaka huu mtoto wa kike. “Kwa sasa wapo na furaha kwa kupata […]
Read More..