-->

Monthly Archives: July 2017

Hamisa Mobeto Afunguka Penzi Na Diamond, Uj...

Post Image

TANGU ilipoachiwa video ya kibao cha Salome ya mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akishirikiana na Rayvanny, kulianza maneno kuwa Diamond anatoka kimapenzi na mwanamitindo mwenye mvuto Hamisa Mobeto. Hamisa alikuwa mmoja wa video vixens waliopamba video hiyo kali iliyomrudisha mwanamama Saida Karoli kwenye game baada ya kujipa likizo kwa muda mrefu. Lakini […]

Read More..

VIDEO: Ben Pol Bado Hajanitoa Usichana- Ebi...

Post Image

Msanii wa vichekesho Ebitoke amefunguka na kusema Ben Pol mpaka dakika hii bado hajafanikiwa kufungua mlango wa binti huyo hivyo anadai mpaka sasa bado hajawahi kulala na mwanaume yoyote yule katika maisha yake. Ebitoke amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL) kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana EATV na kudai Ben […]

Read More..

Flora Mbasha Alia na Wanaomchafua Mitandaon...

Post Image

Msanii wa nyimbo za Injili Tanzania, Flora Mbasha amevunja ukimya na kutoa onyo kwa baadhi ya watu wanaomchafua kupitia mitandao ya kijamii hususan Instagram. Flora ambaye kwa sasa ameolewa na mwanaume mwingine baada ya kutengana na mume wake wa awali ambaye pia ni mzazi mwenziye, Emmanuel Mbasha, amelazimika kutoa onyo hilo baada ya kusambaa kwa […]

Read More..

Apigwa Risasi Nje ya Kanisa Kibangu

Post Image

Mkazi wa Ubungo, Kibangu amenusurika kifo baada ya kupigwa risasi wakati akitaka kuingia katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Kibangu, wilayani Ubungo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Suzan Kaganda alithibitisha kutokea kwa tukio hilo. Akisimulia tukio hilo, mfanyakazi wa kanisa hilo, George Ng’atigwa amesema aliyejeruhiwa ni muumini wa kanisa hilo aliyemtaja kwa jina la Adrian […]

Read More..

Shamsa Ford Anahitaji Watoto Wanne Zaidi

Post Image

MKE wa mfanyabiashara wa nguo, Rashid Said (Chid Mapenzi), Shamsa Ford, ameweka wazi kwamba baada ya kuishi katika ndoa kwa muda mrefu sasa anataka watoto wengine wanne. Msanii huyo ambaye alifunga ndoa Septemba mwaka jana, aliliambia MTANZANIA kwamba ameshafanya mambo mbalimbali ya starehe na mume wake huyo na sasa umefika wakati wa kuongeza watoto wengine […]

Read More..

Diamond Platnumz, Future na Cassper Nyovest...

Post Image

Jana usiku kulikuwa na tamasha kubwa la muziki la Castle Light Unlocks lililowakutanisha wasanii wakubwa wa kimataifa kama Diamond Platnum, Cassper Nyovest kutoka Afrika Kusini, Rapa Future kutoka Marekani na wengine na kundi la Weusi, Navy Kenzo na Vanessa Mdee wote kutoka Tanzania. Kwenye Tamasha hilo Msanii Diamond Platnumz, Future na Cassper Nyovest wameonekana kusepa […]

Read More..

Ushindi wa Mwana Fa, Ay Umeipa Heshima Sana...

Post Image

HARAKATI mbalimbali zinaendelea duniani kote za kuhakikisha kazi za sanaa zinaheshimiwa na kutumika kwa faida ya msanii mwenyewe. Habari njema kwenye muziki wa Bongo Fleva ni ushindi wa wasanii Hamis Mwinjuma ‘Mwana Fa’ na Ambwene Yessaya ‘AY’, katika kesi waliyoifungua dhidi ya kampuni moja ya mawasiliano nchini, ambapo jana, Mahakama Kuu ikaitupilia mbali rufaa hiyo […]

Read More..

Chemical: Sifagilii Masharobaro, Nataka Mgu...

Post Image

Miongoni mwa marapa wa kike wanaofanya vizuri kwenye gemu ya Bongo Fleva, Chemical ni miongoni mwao ambapo hivi karibuni ameonekana kwenye muonekano mpya wa ‘kisistaduu’ tofauti na alivyozoeleka. Kufuatia wengi kumhoji kuhusu mwonekano huo mpya, mwanadada huyo amefunguka kwamba yeye siyo sistaduu n ahata kwenye suala zima la mapenzi, hawafagilii masharobaro bali anataka mwanaume mgumu kama Nay wa Mitego watakayeendana. Chemical ametaja sifa za […]

Read More..

Hali ya Mzee Majuto Kwasasa

Post Image

Baada ya kulazwa hospitali kwa muda wa siku tatu , muigizaji wa filamu za vichekesho Mzee Majuto ameruhusiwa na kurudi nyumbani kwake baada ya kufanyiwa upasuaji wa hernia (ngiri) mkoani Tanga. Akizungumza kwa njia ya simu mke wa Mzee Majuto Bi. Aisha Majuto amesema kwamba tatizo lililokuwa likimsumbua mumewe lilianza siku nyingi ingawa  kwa wiki […]

Read More..

He! Nisha kumbe Naye Yumo Buana

Post Image

STAA wa filamu nchini, Salma Jabu ‘Nisha’ amechomoa kupakaziwa kesi kwa Jacqueline Wolper juu ya kumponda kupenda kwake Serengeti boys (vijana wadogo kimapenzi), akifichua kuwa raha ya wapenzi wa aina hiyo anaijua vema. Nisha alitupia ujumbe kwenye akaunti yake ya Instagram ambayo ilitafsiriwa na mashabiki wake kama jiwe kwa Wolper, juu ya tabia yake ya […]

Read More..

Dude: Hali Ngumu Imenipoteza Nimeamua Kulim...

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameeleza kuwa kutokana na hali ngumu ya maisha na soko la filamu kuwa gumu amejikuta akiwa kimya na kugeukia kwenye kilimo cha mpunga. Akipiga stori na Risasi Jumamosi, Dude alisema hivi sasa hali imekuwa ngumu sana hasa kwa upande wa sanaa ya filamu jambo ambalo limemsababisha kuwa […]

Read More..

Mbasha Amuwashia Moto Flora

Post Image

Muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ambaye aliwahi kuwa muwe wa Flora Mbasha amefunguka ya moyoni na kuwamuashia moto aliyewahi kuwa mke wake Flora ambaye siku za karibuni ameolewa na Daudi Kusekwa. Emmanuely Mbasha amewataka Flora pamoja na huyo mumeo mpya kutoendelea kumtaja taja na kumuhusisha kwenye mambo ambayo yeye hausiki nayo, na kusema […]

Read More..

Mama Mzazi wa Zari, Afariki Dunia!

Post Image

Mama mzazi wa Zari The Boss Lady ambaye ni mpenzi na mzazi mwenza wa mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz amefariki dunia asubuhi ya leo hii baada ya kuumwa. Kupitia Instagram yake asubuhi hii Zari amethibitisha kifo cha mama yake akiandika>>>”Kwa huzuni kubwa mimi na familia yangu tunatangaza kifo cha mama yetu mpendwa aliyefariki asubuhi hii. […]

Read More..