-->

Monthly Archives: July 2017

Shamsa Yupo Tayari Kuachika!

Post Image

STAA wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford ambaye ni mke wa ndoa wa mfanyabiashara Rashid Said ‘Chid Mapenzi’ amefunguka kuwa, yupo tayari kupewa talaka kuliko kuacha kazi yake ya uigizaji. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Shamsa alisema kuwa, ikitokea mumewe kumtaka aachane na uigizaji atamuomba talaka kwani hayupo tayari kuachana na kazi hiyo kwa sababu anaipenda […]

Read More..

Sijampiga Dongo Wolper Aku Raha ya Serenget...

Post Image

”Salma Jabu” Nisha muiogizaji wa filamu swahilihood.[/caption]NYOTA wa filamu Bongo Salma Jabu ‘Nisha’ amesikitishwa na baadhi ya watu ambao wanajaribu kumtengenezea ugomvi na msanii mwezake wa kike Jack Wolper kwa kutafsiri ujumbe wake alioposti katika ukurasa wake kama ilikuwa ni dongo akimpiga msanii mwezake. “Jamani sipendi kinachoendelea mimi siwezi kumuingilia Wolper awe na nani, na asiwe […]

Read More..

Wema: Nisipopata Mtoto Nafunga Kizazi

Post Image

Exclusive! Hapo nyuma kumepita matukio mengi yaliyomhusu staa mwenye jina lake kwenye tasnia ya sinema za Kibongo, Wema Abraham Isac Sepetu, lakini mwenyewe hakuwa tayari kufungua kinywa kutoa ufafanuzi na hisia zake. Ni kupitia Ijumaa Wikienda ambalo limethubutu kufanya naye mahojiano maalum ambayo ndani yake alifunguka mambo mazito kuhusu maisha yake ya sasa na kuelezea dhamira yake ya kutaka […]

Read More..

Q Chief Amsihi TID

Post Image

Msanii Q Chief amefunguka na kusema yeye hana muda wa kumjibu TID na kudai saizi yeye anaona ni muda wa kujipanga kwa ajili ya kazi zake na maisha yake kwani TID si mtu ambaye anaweza kuwa wa aina yake. Q Chief amesema hayo leo kwenye kipindi cha Planet bongo kufuatia TID siku ya Ijumaa kupitia […]

Read More..

Ommy Alichomoa Kufundishwa Gari na Demu

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Cheche’ amefunguka na kusema aligoma kabisa kujifunza au kufundishwa gari na demu wake mpaka siku alipokuja kununua gari yake ya kwanza ndipo alijifunza kupitia gari yake. Ommy Dimpoz amesema hayo kupitia kipindi cha ‘Bongo Flava Top 20’ kinachorushwa na East Africa Radio na kudai kuwa […]

Read More..

Gig Money: Nimekua Sitafanya Ujinga

Post Image

VIDEO Queen anayezipendezesha nyimbo za wasanii Bongo, Gift Stanford, ‘Gig Money’, amesema kwa sasa amekuwa mtu mzima, hivyo hawezi kuishi maisha kama ya zamani ya kufanya matukio. Akizungumza na MTANZANIA jana, Gig Money alisema sasa ana umri mkubwa, hivyo hawezi kwenda na matukio kama aliyoyafanya zamani, kwani ule ulikuwa ni utoto. “Sasa nimekua, najua nini […]

Read More..

Nisha Awatolea Povu Kina Marioo

Post Image

Muigizaji wa filamu bongo na Mchekeshaji, Nisha amewatolea uvivu wanaume wanaopenda kulelewa kwa madai ya kuwaridhisha wanawake kwenye mapenzi kwa kuwaambia kwamba hata wanawake huwa wanachoka kupigwa vizinga vya kila mara. Nisha ametoa povu hilo kwenye FNL ya EATV na kusema wanaume wengi wanaokuwa hawapendi kufanya kazi kwa madai wanatunzwa na wanawake wanakuwa ni mzigo kwani […]

Read More..

Nitawakimbiza Sana- Ibrah

Post Image

MUIGIZAJI Bora wa kiume katika Tamasha la Filamu la Zanzibar, (ZIFF), Ibrahim Osward ‘Ibrah’ ameanza kuchonga baada ya kunyakua tuzo hiyo akidai kuna nyingine zinakuja kwa umri na kipaji alichonacho. “Namshukuru Mungu kwa kuniweka juu na kushinda tuzo kubwa ya ZIFF. Naamini nitawakimbiza sana waigizaji wa kiume kwani umri wangu unaruhusu,” alisema Ibrah. Kinara huyo […]

Read More..

Uwoya Alinitaka Mwenyewe – Msami Baby.

Post Image

Mwanamuziki anayefanya poa na ngoma ya ‘So Fine’ Msami baby amedai hana mawazo ya mpenzi wake wa zamani, msanii wa bogo movie, Irene Uwoya kutoka kimapenzi na msanii Dogo Janja kwani hakuwahi kumtaka bali mwanadada huyo ndiye aliyemtaka wa kwanza. Msami amefunguka hayo kwenye FNL ya EATV ijuma hii wakati alipokuwa akijibu swali la mtangazaji […]

Read More..

Fatma Karume Amshtaki Polisi Aliyemzogoa Ma...

Post Image

WAKILI wa Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Tundu Lissu, Fatma Karume amefungua kesi ya madai Mahakama Kuu ya Tanzania dhdi ya Inspekta wa Polisi Eugene Mwampondela wa Kituo Kikuu cha Polisi Dar es salaam. Katika kesi hiyo, Fatma anahitaji alipwe na Inspekta Mwampondela Sh bilioni moja kwa kosa la […]

Read More..

Sijapigwa ‘stop’ na Baraka – Naj

Post Image

Msanii wa bongo fleva na mpenzi wake Baraka the Price, Najdattani amefunguka kwa kukanusha kuwa hajawahi pigwa marufuku na mwenzake wake kuwatumia ‘model’ wa kiume katika video yake mpya ya wimbo wa utanielewa kama watu wengine wanavyodai. Naj amebainisha hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya kuwepo minong’ono mingi inayodai kuhusisha wivu wa […]

Read More..

Diamond Awapa Makavu Watu Hawa

Post Image

Diamond Platnumz amewatolea povu watu wanaokosoa kitendo cha yeye kula ‘Good time’ na mama watoto wake Zari the boss lady kwa madai kuwa mwanamama  huyo ametoka kwenye majonzi ya kufiwa na mama yake siku sio nyingi. Kupitia mtandao wa instagram, Diamond aliweka picha hiyo hapo juu nakufunguka; “Kuna vichupi kunuka wanajifanya wanajua sana uchungu wa […]

Read More..

Johari: Sijawa ‘Used’ Bado Ninaheshimik...

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo toka kitambo, Blandinda Chagula ‘Johari’ ametema cheche kuwa hata kama ametumika muda mrefu kwenye tasnia hiyo lakini bado anaheshimika kwa mashabiki wake na siyo ‘Used’ kama wanavyodai mastaa wanaochipukia. Akizungumza na Risasi Jumamosi, Johari ambaye jana Ijumaa Julai 28, 2017 ilikuwa ni kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa, alisema anaamini […]

Read More..

Hatimaye Shilole Kuolewa Sasa

Post Image

Msanii wa bongo fleva asiyekaukiwa drama Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amedai kwa sasa ameshatolewa barua na mpenzi wake aliyeko naye kwenye mahusiano na endapo Mungu akimjalia atafunga naye ndoa ili kuhalalisha. Shilole amefunguka hayo kwenye 5Selekt ya  EATV na kusema kwa sasa ameamua kuweka mahusiano yake faragha kidogo ili aweze kuwa huru na mpenzi wake. “Mimi […]

Read More..

Rich Mavoko Asafiria Nyota ya Diamond

Post Image

MSANII wa kizazi kipya Rich Mavoko June 2, aliingia mkataba na lebo ya Wasafi na kuanza kufanya kazi chini ya lebo hiyo inayomilikiwa na Diamond Platinamz. Tangu ajiunge na lebo hiyo, Mavoko ameachia nyimbo tatu mpaka sasa ambazo ni ‘Imebaki Story’, ‘Kokoro’ aliyomshirikisha Diamond Platinamz na ‘Sheli’ ambao ni mpya aliomshirikisha Fid Q. Kabla ya […]

Read More..

Nisha Anasa Penzi Jipya, Abadili Jina

Post Image

MSANII wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amebadili jina lake na kujiita Nisha Minhal Azad huku kisa kikidaiwa kuwa amefanya hivyo baada ya kuingia katika uhusiano wa kimapenzi na ‘Serengeti Boy’ anayetumia jina hilo. Alichokiandika Insta. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na msanii huyo, Nisha amekuwa karibu na ‘Serengeti Boy’ huyo ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva na kwamba ameamua kuanika kabisa uhusiano huo bila […]

Read More..

Abdukiba Atoboa Siri ya Alikiba

Post Image

Msanii Abdukiba ambaye ni mdogo wa Alikiba ametoboa siri kuwa Alikiba anaweza kuachia ngoma yake mpya pindi atakaporudi Tanzania kutokea nchini Kenya ambapo amekwenda kufanya mambo mawili matatu na gavana wa Mombasa Hassan Joho. Abdukiba alipoongea na East Africa Radio kupitia kipindi cha PlanetBongo aliweka wazi kuwa Alikiba yupo nchini Kenya na kusema amekwenda kushirikiana […]

Read More..

Wema Sepetu Awa Mbogo kwa Polisi

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ametoa yake ya moyoni na kutoa tuhuma kwa jeshi la polisi nchini kufuatia baadhi ya polisi kumpiga ndugu yake ambaye jana alikwenda naye mahakamani kusubiri kesi ya Tundu Lissu. Wema Sepetu anasema kuwa ndugu yake huyo kwa sasa anapatiwa matibabu hospitalini kufuatia kipigo alichopata kutoka kwa polisi hao kwa […]

Read More..