-->

Author Archives: chery

VIDEOMPYA: Dogo Janja- WAYU WAYU

Post Image

Muimbaji wa Bongofleva Dogo Janja baada ya jina lake kuchukua headlines , March 9 2018 baada ya kupost cover ya wimbo wake wa WAYU WAYU akiwa kavaa mavazi ya kike na amepaka lipstick, usiku wa March 9 2018 ameamua kuachia video hiyo rasmi.    

Read More..

MSAANI MPYA : Rapa mkali anayekuja kwa kasi...

Post Image

Rapa mkali anayekuja kwa kasi Bongo aitwaye Orbit. Kwa sasa ana nyimbo mbili ambazo ni; MAKAVELI na BUKU KUWA LAKI. Nyimbo yake ya kwanza itwayo Makaveli ilitoka Augusti 13, 2016 ambayo inachukua dakika tatu na sekunde kumi , 3:10. Bofya “PLAY” kuisikiliza Nyimbo yake ya pili itwayo BUKU KUWA LAKI imetoka mwaka huu 2018 tarehe Feb 23, […]

Read More..

Vanessa Mdee Afunguka Kuvunjwa Moyo

Post Image

Malkia wa Bongo Fleva anayefanya vizuri ndani na nje ya nchi, Vanessa Mdee amefunguka na kudai anamshukuru Mungu kwa kupokelewa vizuri albamu ya ‘Money Monday’ mpaka sasa japokuwa kuna baadhi ya watu wanataka kumvunja moyo. Vanessa amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha ‘FRIDAY NIGHT LIVE’ (FNL) kutoka EATV baada ya kuulizwa swali na […]

Read More..

Mtoto wa Mwigizaji Ray na Chuchu Hans Apata...

Post Image

MTOTO wa Staa wa Filamu Bongo, Vicent Kigosi ‘Ray’, aitwaye Jaden Kigosi, amepata shavu kutoka kwa wazazi wake baada ya kumfungulia  akaunti ya ‘NMB Mtoto Akaunti’ kwa ajili ya akiba itakayoweza kumsaidia hapo baadaye. Akizungumza na waandishi wa habari  wakati wa kumfungulia akaunti hiyo, Makao Makuu ya Benki ya NMB, Posta jijini Dar, Ray alisema […]

Read More..

VideoMPYA: Ni time ya Nuh Mziwanda kwenye h...

Post Image

Leo February 24,2018 msanii kutokea kwenye Bongofleva Nuh Mziwandaanakusogezea video ya wimbo wake mpya wa “Upofu” ili kuutazama bonyeza PLAYhapa chini.

Read More..

HABARI ZA MASTAA VideoMPYA: Dayna Nyange ka...

Post Image

Msanii wa kike wa Bongofleva Dayna Nyange ameachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa ‘Salesale’ unadakika 3:33 karibu kuitazama ukishaitazma andika Comment yako hapa chini nayo itamfikia Dyna. Bonyeza Play hapa chini kuitazama..

Read More..

VideoMPYA: Hatimaye Billnass katuletea ‘T...

Post Image

Msanii wa Bongofleva Billnass anatualika kutazama video mpya ya wimbo wake unaoitwa ‘Tagi Ubavu‘ ambayo Audio imetayarishwa na Producer Mr T-touchez na video imeandaliwa na Directer Travellah ambayo video inadakika 3:39. Bonyeza PLAY hapa chini kuitazama Video hiyo..

Read More..

Abdukiba amefunguka baada ya video yake na ...

Post Image

Mwanamziki wa bongo fleva kutokea king music, Abdukiba amekanusha vikali kutoka kimapenzi na mpenzi wa mwanamziki mwenzie Rayvanny aitwae Fayvanny. Mwanamziki wa bongo fleva Abdu kiba pia ni maarufu sana kwa sababu ya undugu alionao na staa wa bongo fleva Alikiba, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusiana na iliyomuonesha yeye na mke wake wa Rayvanny. […]

Read More..

Nay wa Mitego: Naangaikia Kuupeleka Mziki M...

Post Image

Rapa Nay wa Mitego anayetamba na kibao chake kipya kilichopewa jina la ‘Mikono Juu’ amefunguka na kudai hawezi kujibishana na mtu yeyote kwa sasa kwani yeye anachokihangaikia ni kupeleka mbele muziki wake ili watu wake waweze kuupata. Nay ameeleza hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo ‘PB’ inayorushwa na East Africa Radio na […]

Read More..

Habari za Mastaa Irene Uwoya awatolea uvivu...

Post Image

Kupitia kwenye ukurasa wa instagram wa muigizaji Irene Uwoya ameamua kuyaanika ya moyoni kuhusu wanawake ambao hawatoi ushirikiano kwa wanawake wenzao na hupenda kuona wenzao wakianguka au kufeli kimaisha ambapo hufurahishwa na jambo hilo. Kupitia ukurasa wa instagram wa Irene Uwoya ameandika “Hivi kwanin wanawake tunakuwa hatupendani???yani najiulizaga sana badala sisi tushirikiane ndo kwanza tunarudishana […]

Read More..

Shilole Afunguka Kuhusu Kupigana Na Mumewe ...

Post Image

Msanii wa muziki nchini Tanzania, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amesema hawezi kuthubutu kwa sasa kupigana na mume wake Uchebe kwani sasa amekuwa mtu mzima na mapenzi ya kupigana yalikuwa ya utoto. Shilole amebainisha hayo kupitia eNewz inayorushwa na EATV baada ya kuzoeleka na watu wengi kwa tabia yake ya kupiga wanaume ambao anakuwa nao Amefunguka na […]

Read More..

VIDEOMPYA: Witnesz “Kwani Shngapi”

Post Image

Leo February 19,2o18 msanii Witnesz “Kibonge mwepesi” ametuletea  Video ya wimbo wake mpya “Kwani shngapi” ikiwa ni ngoma ambayo amesimama mwenyewe. Bonyeza PLAY hapa chini kuitazama

Read More..

AUDIO MPYA: Rayvanny , Jason derulo na Fren...

Post Image

Moja kati ya stori zilizochukua headlines kwa mwaka 2017 ni pamoja na msanii kutokea WCB Rayvanny kutangaza kuwa ameshirikishwa katika ngoma moja na msanii kutokea pande za Marekani Jason Derulo. Usiku wa February 19 2018 audio ya ngoma hiyo imetoka rasmi ndani ya ngoma hiyo wakiwa wameshirikishwa Rayvanny wa WCB na mkali French Montana, goma yenyewe inaitwa Tip Toe Remix.

Read More..

Vanessa Mdee anaikubali couple ya P Diddy n...

Post Image

muziki Cassie kutokea Marekani inafahamika kuwa yupo katika uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake P Diddy ambao wamekuwa katika Uhusiano kwa kipindi kirefu hadi sasa. kupitia instagram account ya Cassie alipost video akiwa na P Diddy na kuandika caption nzuri kwaajili ya mpenzi wake P Diddy siku ya valentines February 14,2018 na kusema “Nawatakia siku ya wapendanao kutoka kwangu na mpenzi wangu” Katika comments msanii wa Bongo Fleva ameonekana kuikubali […]

Read More..

BreakingNews: Zari na Diamond wameachana!

Post Image

Zarinah Hassan anayejulikana kama “Zari the boss lady” ametangaza rasmi kuwa amemuacha msaani maarufu  Nasibu Abdul anayejulikana “Diamond platnumz”. Kwa kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa kijamii wa Instagaram, Zari amesema kilichompelekea kufanya hivyo ni kutokana na Diamond kutokuwa mwaminifu kwenye mahusiano   MANENO ALIYOANDIKA ZARI KUPITIA MTANDAO WAKE WA INSTAGRAM   “Understand that this is […]

Read More..

Zari saa chache baada ya picha ya Hamisa na...

Post Image

Baada ya muimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz na mzazi mwenzake Hamisa Mobetto kufikishana Mahakamani wiki iliyopita inadaiwa kuwa mambo yao yapo sawa kwa sasa na wamemaliza tofauti zao, hiyo ni baada ya kusambaa kwa picha za official videographer wa Diamond Platnumz ambaye ni Lukamba kusambaa kwa picha mtandaoni akiwa na Hamisa. Kitendo cha Lukamba kuonekana kumfanyia photoshoot Hamisa kimeanza kuhusishwa kuwa Diamond na Hamisa wapo sawa kwa sasa ndio maana Lukamba ameonekana […]

Read More..

VideoMPYA: Saida Karoli kwenye “Akatambal...

Post Image

February 12,2018 msanii mkongwe katika game ya muziki nchini Saida Karoli anakuletea video ya wimbo wake mpya “Akatambala” akiwa ndani kamshirikisha Hanson Bariluno kutokea Uganda.

Read More..

VideoMPYA: Beka Flavour anakualika kuipokea...

Post Image

Tukielekea kwenye msimu wa Valentine msanii wa Bongo Fleva Beka Flavour anakuletea hii video mpya ya kuitazama “Kibenten”. Usisahau kuweka comments yako baada ya kuitazama

Read More..