-->

Author Archives: editor

Riyama, Mumewe Wadaiwa Kutengana!

Post Image

Kama kawaida, tunakuletea ubuyu wa motomoto kuwa mkali wa sinema za Kibongo, Riyama Ally na mumewe ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Haji Mwalimu Mzee ‘Leo Mysterio’, wanadaiwa kutibuana na kufikia hatua ya kutengana kimakazi. Kisa cha yote hayo inasemekana kwamba, jamaa huyo hampendi mtoto wa Riyama aliyezaa na mwanaume mwingine, ishu ambayo mwanamama huyo […]

Read More..

Mama Diamond Akimtambua Vizuri Mwanaye Atam...

Post Image

MWAKA 2009 Diamond Plutnumz akiwa ndiyo kwanza ameingia katika ulimwengu wa umaarufu, alihojiwa na jarida fulani maarufu ambalo kwa sasa halitoki tena juu ya matarajio yake katika muziki na maisha. Japo kwa nyakati zile wengi huenda hawakumuelewa, ila Diamond alisema kuwa, dhamira yake ya kwanza anataka kuwa mwanamuziki maarufu sana Afrika halafu awe mwanamuziki tajiri. […]

Read More..

Kisa Riyama, Mwanaheri Achaniwa Nguo!

Post Image

Msanii wa filamu anayekuja kwa kasi Bongo, Mwanaheri Ahmed hivi karibuni alikumbwa na dhahama alipokatiza Mtaa wa Kongo, Kariakoo jijini Dar baada ya kuchaniwa dera lake kisa kufananishwa na muigizaji mwenzake, Riyama Ally. Akizungumza na Amani Mwanaheri alisema kuwa, amekuwa akikutana na sintofahamu kubwa njiani baada ya watu wengi kumfananisha na Riyama hata kabla ya […]

Read More..

Navy Kenzo waeleza jinsi ratiba ya AliKiba ...

Post Image

Wasanii wa Kundi la Navy Kenzo ameshindwa kuachia kwa wakati kolabo yao na AliKiba kutokana na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’ kuwa busy hali ambayo imewafanya washindwe kumpata kwa ajili ya kushoot video. Wakizungumza katika kipindi cha The Playlist cha Times FM Jumamosi hii, wasanii hao wamesema zaidi ya mara mbili walipanga kushoot video hiyo […]

Read More..

Matonya: Sibahatishi Kwenye Muziki

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Matonya amesema kuwa yeye kwenye muziki habahatishi anajua nini anafanya na kwamba sasa amepunguza kufanya show za nje ili kijipa nafasi ya kuandaa kazi zake mpya pamoja na video mbalimbali ambazo zitaanza kutoka muda si mrefu. Matonya amesema haya kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio ambayo ilikuwa ikiruka […]

Read More..

KR Muller Kumtafuta Juma Nature Ili Kumaliz...

Post Image

KR Muller ambaye kwa sasa ni member wa Rada Entertainment anajipanga kumtafuta kiongozi wa TMK Wanaume Halisi, Juma Nature ili kumaliza tofauti zao. Juma Nature amekuwa akimtuhumu KR kuaribikiwa baada ya kuhama TMK na kuhamia Rada Entertainment ya TID. Akiongea na Bongo5 wiki, KR amesema anajipanga kumtafuta Juma Nature ili kuzungumzia yaliyotokea. “Kusema kweli haya […]

Read More..

Muna Afungukia Madai ya Kumuingiza Wema Kwe...

Post Image

Mrembo aliyewahi kufanya vyema kwenye tasnia ya maigizo Bongo, Rose Alphonce ‘Muna’, amefungukia madai ya watu kumtuhumu kuwa amemwingiza shosti wake Wema Sepetu ‘Madam’ kwenye matumizi ya madawa ya kulevya kwa kusema madai hayo hayana ukweli. Akizungumza na paparazi wetu, Oktoba 5, mwaka huu, Muna alisema mbali na kumhusisha kumwingiza Wema kwenye madawa hayo, amekuwa […]

Read More..

Barafu: Kutoka Sonara Mpaka Staa wa Filamu

Post Image

KAMA wewe ni mfuatiliaji wa filamu za kibongo, basi jina la Suleiman Abdallah ‘Barafu’ litakuwa si geni masikioni mwako. Barafu amewahi kuonekana kwenye filamu nyingi, kama vile Shoe Shine, Jamani Mwanangu , Daladala, House Boy, Sindano ya Moto, Pasuko la Moyo, Nesi, Selena, Babylon, Curse of Marriage, One Night,  Last Card,  The Long Story na DNA. Swaggaz imepata nafasi ya […]

Read More..

Diamond Afunguka Kuhusu ‘Salome’...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva Diamond Platnumz ambaye kwa sasa anavizuri na wimbo wake ‘Salome’ amefunguka na kusema kuwa wimbo huo uliwavuruga wasanii wengi wakubwa duniani kabla hajatoka hata baada ya kutoka. Diamond Ploatnumz alisema hayo kwenye Friday Night Live (FNL) na kudai kuwa wimbo huo yeye mwenyewe anashindwa kuelewa una nini kutokana na jinsi ambavyo […]

Read More..

Mashabiki Wanadhani Nimeacha Kuigiza – Sh...

Post Image

Malkia wa filamu Shamsa Ford amesema anapokea maswali mengi kutoka kwa mashabiki wake wakimuuliza kama ni kweli ameacha kuigiza baada ya kuingia kwenye maisha ya ndoa. Mwigizaji huyo ambaye alifunga ndoa mwezi mmoja na nusu uliopita na mfanyabishara wa maduka ya nguo, Chidi Mapenzi, amesema ndoa haiwezi kumtenganisha na mashabiki wake wa filamu. “Kusema kweli […]

Read More..

Said Ally, Aliyetobolewa Macho Buguruni She...

Post Image

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa majibu kuhusu na hatma ya kijana Said Ally aliyetobolewa macho maeneo ya Buguruni Sheli na kusema hatoweza kuona tena. Makonda ametoa majibu hayo ofisini kwake Ijumaa hii. “Majibu yametoka na Said ameturuhusu tuyaweke wazi majibu ni mabaya ila tumeyapokea itabidi tukubaliane na matokeo kwamba ndugu […]

Read More..

Diamond: Zari Ndiye Model Niliyewahi Kumlip...

Post Image

Mkali wa ‘Salome’ na mkurugenzi wa WCB, Diamond Platnumz amesema katika ma-model wa video aliowahi kuwalipa fedha nyingi ni mpenzi wake Zari. Alimtaja Zari alipoulizwa kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM na mtangazaji Lil Ommy aliyetaka kumjua ni model gani aliyewahi kumtoboa mfuko wake zaidi. “Zari ndio mtu nilimlipa hela nyingi katika video […]

Read More..

Baraka The Prince Kuja na ‘Recording ...

Post Image

Msanii Baraka The Prince ambaye kwa sasa yupo chini ya lebo kubwa ya muziki Afrika ya Rock Star, ametangaza ujio wa recording lebel yake, itakayosimamia kazi za wasanii wengine. Akizungumza kwenye kipindi cha 5SELEKT ya East Africa Television, Baraka aliulizwa kuhusu maana ya jina la BANA ambalo analitumia, ndipo akafunguka na kusema kuwa jina hilo […]

Read More..

Mr Nice Avamiwa na Majambazi Kenya, Aibiwa ...

Post Image

Mwanamuziki, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ hivi karibuni amedai alivamiwa na majambazi akiwa nchini Kenya na kuibiwa simu 2, laptop, pamoja na pesa taslimu kiasi cha tsh milioni 30. Muimbaji huyo kwa sasa yupo nchini Kenya kwa zaidi ya miezi 6 akifanya shughuli za muziki pamoja na show. Akiongea na Bongo5 Ijumaa hii akiwa nchini Kenya, […]

Read More..

Naachia Ngoma ya Hip hop Mwaka Huu – ...

Post Image

Msanii na mtayarishaji wa muziki kutoka Sharobaro Records Bob Junior ametangaza rasmi kuwa mwaka huu anataka kuachia ngoma ya Hip hop kwa sababu yeye ni Rapa na anauwezo huo. Bob Junior alisema hayo kupitia kipindi cha eNewz kinachorushwa na EATV na kudai kuwa mwaka huu ataachia kazi mbili, moja ikiwa ni ya kuimba na nyingine […]

Read More..

Shamsa Ford Aeleza Jinsi Ndoa Ilivyobadili ...

Post Image

Malkia wa filamu Shamsa Ford amefunguka na kuzungumzia jinsi ndoa ilivyobadili maisha yake. Mwigizaji huyo miezi miwili iliyopita alifunga ndoa na mfanyabishara wa maduka ya nguo, Chidi Mapenzi. Akiongea na Bongo5 Alhamisi hii, Shamsa amesema ndoa imempatia amani ya moyo ambayo alikuwa anaitafuta kwa muda mrefu. “Namshukuru mwenyezi Mungu kwa afya njema na kwa kila […]

Read More..

Mboto Afungukia Kuhusu Kutoka na Aunt Ezeki...

Post Image

KAMA kawa Mtu Kati ipo ‘live’ leo tena, ambapo baada wiki iliyopita kukuletea mwanadada mkongwe anayefanya vizuri kwenye Tasnia ya Filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’ wiki hii inakusogezea mvunja mbavu mwenye jina kubwa katika ardhi ya JPM, Haji Salum ‘Mboto.’ Huyu ni mchekeshaji mkongwe kidogo aliyeanzia sanaa yake katika Kundi la Kaole Sanaa Group mwishoni […]

Read More..

Diamond Afungukia Msadai ya Bifu kati ya Ma...

Post Image

Habari za kuwepo kwa bifu kati ya Mama mzazi wa Nassib Abduli aka Diamond Platnumz na Zari ambayeni mpenzi wa msanii huyo na Mama wa mtoto wake wa kwanza zilichukua sura mpya. Mwezi uliopita baada ya Mama mzazi huyo kutopost picha ya Zari kwenye BirthDay yake na kuja kupost picha ya Wema Sepetu akimtakia Birth […]

Read More..