-->

Author Archives: editor

Wakonta Apata Kifaa cha Kumsaidia Kuandika

Post Image

MWANDISHI wa ‘script’ anayetumia ulimi kuandikia, Wakonta Kapunda, amepata kifaa cha kumsaidia kuandika kwa kutumia sauti ambacho ndiyo ameanza kukifanyia mazoezi. Wakonta aliliambia MTANZANIA kwamba kupatikana kwa chombo hicho kiitwacho Nuance Dragon Naturally Speaking, kitamrahisishia kuandika kwa haraka script za filamu zake na mambo mbalimbali ambayo atataka kuyafanya. “Kupatikana kwa kifaa hicho ni faraja kwangu kwasababu […]

Read More..

Kanumba, Tyson, Kuambiana… Wameondoka na ...

Post Image

BADO naendeleza kelele zangu kwenye soko la filamu nchini ambalo kwa sasa limedorora na kama hatua za makusudi hazitachukuliwa basi kuna hatari ya kupotea kabisa. Wadau wa sanaa wale wanaoitakia mema tasnia ya filamu, wanapiga kelele kurudisha heshima ya sanaa na wasanii wa filamu Tanzania. Zipo hoja nyingi zinazowekwa mezani. Hata wiki iliyopita nilijenga hoja […]

Read More..

Picha: Maisha ya Harmonize na Wopler, Kama ...

Post Image

Wapenzi wawili Harmonize pamoja na Jacqueline Wolper wanaendelea kuuonyesha umma jinsi wanavyopendana. Wawili hao Alhamisi hii walienda shopping pamoja na kufanya manunuzi ya vitu mbalimbali katika Mall moja hapa jijini Dar es salaam. Hivi karibuni mwigizaji huyo alipost picha akiwa jikoni huku akiandaa chakula kwa ajili ya muimbaji huyo wa wimbo Matatizo. Harmonize akimkabidhi maharage […]

Read More..

Filamu ya ‘Kesho yangu’ Kutoka ...

Post Image

Kesho yangu ni kati ya filamu zinazosambazwa na Steps Entertainment na inafanya vizuri sokoni kutokana na umahiri ulioonyeshwa ndani filamu hii, sio ya kukosa kabisa. Angalia ni namna gani anavyo weza kubadilika na kuwa mnyama kuzulumu haki pamoja na uhai wa mtu sababu ya mali. Filamu hii inawashirikisha wa sanii kama Mohamed Zuberi(Niva), Masinde, Gozbert […]

Read More..

Nilikunywa Pombe Kutoa Aibu Kwenye Video ya...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole amefunguka na kusema ilikuwa ni jambo gumu kwake kufanya video ya ‘Natafuta kiki’ ya msanii Raymond. Amesema ugumu huo ni kutokana na ukweli kwamba ‘scene’ ambazo alipaswa kucheza zilikuwa ngumu kwake jambo ambalo lilimfanya atumie kwanza kilevi kuondoa aibu. Shilole alisema hayo kupitia kipindi […]

Read More..

Majay Birthday: Lulu Amwambia Majay ‘I th...

Post Image

Leo ni siku ya kuzaliwa ya CEO wa EFM, Majay, ambapo wadau mbalimbali pamoja na watu wake wa karibu wanamtakia heri ya mafanikio katika maisha yake. Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye anadaiwa kuwa kwenye mahusiano na bosi huyo, amekuwa ni mmoja kati wa watu waliomtumia ujumbe wa heri ya mafanikio huku ujumbe wake ukionyesha ukaribu wa […]

Read More..

Sijamuimba Siwema wa Nay – Dogo Janja

Post Image

Msanii Dogo Janja ameachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ‘Kidebe’ na kuwa gumzo mtaani kutokana na kuwasifia baadhi ya wasanii huku wengine akiwaponda, ambapo ndani yake amemtaja mtu anayeitwa ‘Siwema’. Dogo janja ametoa ngoma hiyo wakati wimbo wake wa ‘My Life’ ukiwa badi ni miongoni mwa ngoma ambazo mashabiki wengi wanazikubali huku wengi wao […]

Read More..

Hiki Ndiyo Chanzo cha Alikiba Kuitwa ‘Kin...

Post Image

Alikiba ametoa ufafanuzi wa wapi #KingKiba ilitokea kiasi cha kuitumia katika sehemu nyingi. Akiongea kwenye kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz kilichoruka Alhamis hii kupitia EATV, Kiba alisema ni mashabiki ndio waliombatiza. “Wakati nimepumzika kwenye muziki kulikuwa kuna vitu vingi vinavyoendelea, kuna watu walikuwa wanaongea kwenye social media. Kuna watu walikuwa wananifikia sababu wanapajua nyumbani wakasema […]

Read More..

Shirikisho la Filamu Lazipokea ‘EATV ...

Post Image

Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) limezipokea EATV AWARDS kwa mikono miwili na kutoa baraka zake, huku wakisema ni jambo jema kwa tasnia ya filamu kwa sasa, ukizingatia tasnia hiyo kwa sasa inapigana iweze kwenda mbele zaidi. Akizungumza na mwandishi wa EATV Mwenyekiti wa Shirikisho hilo, Simon Mwakifwamba, amesema tuzo hizo zitasaidia kuleta changamoto kwenye tasnia, […]

Read More..

Mr Blue, Barakah Da’ Prince Wapatana

Post Image

BAADA ya kutibuana kisa kikiwa Naj, hatimaye wakali wa Bongo Fleva, Mr Blue na Barakah Da’ Prince wameamua kuwa kitu kimoja. Wawili hao walipatana saa chache kabla ya kufanyika Tamasha la Fiesta Shinyanga ambapo walikuwa wameenda kutembelea maporomoko ya Maji Moto pande za Shinyanga. Tovuti hii ilipata nafasi ya kuchonga na Barakah akiwa pamoja na Mr […]

Read More..

Aunty Ezekiel Afunguka Sababu ya Yeye Kujia...

Post Image

Nyota wa filamu nchini Aunty Ezekiel amefunguka kuwa kipindi cha nyuma kabla ya kuwa na mahusiano na Mose Iyobo na kabla ya kupata mtoto alikuwa akijiachia sana kwa lengo la kutafuta kiki na wala hakuwa na woga wa kufa kwani hakuwa anategemewa na mtu. Aunty Ezekiel alisema hayo kwenye kipindi cha eNewz na kudai kuwa […]

Read More..

KR:Nipo Tayari Kurudi TMK Wanaume Family

Post Image

KR Muller amesema kama angetaka kurudi TMK Wanaume Family kwa Juma Nature angekuwa amerudi kwa kuwa hakuna aliyemfukuza. Rapper huyo ambaye kwa sasa yupo ‘Rada Entertainment’ kwa TID, ameiambia Bongo5 kuwa bado anafurahishwa na maisha mapya ndani ya Rada Entertainment. “Mimi sijafukuzwa TMK, na pia naishi Temeke, kwa hiyo kama ningeamua kurudi TMK hakuna mtu […]

Read More..

Shilole Atoboa Siri ya Kupenda Vijana Wadog...

Post Image

Mwanamuziki wa Bongo flava ambaye ana vimbwanga kila siku kwenye mitandao ya kijamii kwa skendo ya kutoka na vijana walio chini ya umri wake amefunguka na kusema asipangiwe ni nani wa kuwa naye. Akiongea mbele ya Camera za eNewz, Shilole amesema mashabiki wanahitaji yeye awe na mzee lakini yeye haoni haja ya kuwa na mzee […]

Read More..

Kutoka Maisha Plus Babu Aahidi Tukio Kubwa

Post Image

WAKATI washiriki 29 wa Maisha Plus East Afrika 2016 wakiwa tayari kambini kwa safari ya kuisaka Sh milioni 30 itakayotolewa kwa mshindi mmoja tayari mambo mbalimbali yamepangwa kufanyika. Babu wa kijiji hicho cha Maisha Plus ambaye ndiye mwenyeji wa kijiji hicho ameweka wazi kwamba kuna tukio kubwa litakalofanywa katika kijiji hicho ambalo halikuwahi kutokea huku […]

Read More..

Aika Aanika Siri ya ‘Kutoka’

Post Image

MSANII ambaye ni mmoja wa wamiliki wa Lebo ya The Industry, Aika Mareale akiwa pia memba wa Kundi la Navy Kenzo, ametoboa siri ya kutoka kwake kisanaa kuwa ni kutojidharau. Akizungumza na Risasi Vibes, Aika ambao ambaye anaunda kundi hilo akiwa na mpenzi wake, Emmanuel Mkono ‘Nahreel’, akiwa anatamba na kibao chake cha ‘Kamatia Chini’ […]

Read More..

Sina Haraka ya Kupata Mtoto na Jux – ...

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Vanessa Mdee amefunguka na kuweka wazi kuwa kwa sasa hana haraka ya kupata mtoto na mpenzi wake Juma Jux na kwamba kwa sasa watoto wapo wengi wa kuwalea. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Televison Vanessa Mdee amedai kuwa hana haraka ya kupata mtoto na mpenzi […]

Read More..

Romy Jones Atoa Sababu ya Diamond Kutohudhu...

Post Image

Romy Jons amefunguka Sababu ya Diamond kushindwa kuhudhuria kwenye sherehe yake ya kuzaliwa ambayo imezua tetesi za wawili hao kutoelewana. Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM Jumamosi iliyopita, Romy alisema, “People don’t understand, halafu huwezi kumuelewesha kila mtu.” “Ile ilikuwa ni party ambayo kila mtu alitakiwa aje afurahi, lakini at the end […]

Read More..

Aunty Ezekiel Afunguka Kuhusu Mipango ya Nd...

Post Image

Nyota wa Bongo Movie Aunty Ezekiel amesema hayuko tayari kuolewa kwa sasa, na kwamba bado hajafikiria kuolewa kwa kuwa suala la ndoa linahitaji maandalizi ambayo dbado hajayafanya kwa sasa. Miongoni mwa story ambazo zilibeba headline juma lililopita, ni pamoja na issue ya mwana tasnia ya filamu nchini, Shamsa Ford kuolewa na mjasiriamali Rashid maarufu kwa […]

Read More..