Mwimbaji wa Injili, Goodluck Gozbert Afung...
Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Goodluck Gozbert ameeleza kwamba mashairi ya nyimbo zake huwa yanaeleza maisha yake. Akizungumza katika kipindi cha Clouds360, mwimbaji huyo ameeleza kwamba yeye alizaliwa katika familia masikini na kulelewa katika mazingira magumu sana baada ya baba yake kufariki. Mtunzi huyo wa kibao maarufu cha ‘Acha Waambiane’ amezindua wimbo mpya unaoitwa ‘Ipo […]
Read More..





