-->

Author Archives: editor

Mwimbaji wa Injili, Goodluck Gozbert Afung...

Post Image

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Goodluck Gozbert ameeleza kwamba mashairi ya nyimbo zake huwa yanaeleza maisha yake. Akizungumza katika kipindi cha Clouds360, mwimbaji huyo ameeleza kwamba yeye alizaliwa katika familia masikini na kulelewa katika mazingira magumu sana baada ya baba yake kufariki. Mtunzi huyo wa kibao maarufu cha ‘Acha Waambiane’ amezindua wimbo mpya unaoitwa ‘Ipo […]

Read More..

Young Killer Afunguka Kuhusu Kufanya Kazi n...

Post Image

Msanii Young Killer Msodoki amefunguka kuhusu suala la yeye kujiunga na lebo ya WCB, na kuwataka mashabiki watambue kuhusu ukweli wa suala hilo. Akiongea kwenye kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV na kutolea ufafanuzi picha aliyopiga na Diamond na kuibua tetesi hizo, Young Killer amesema yeye ni msanii hivyo iwapo kutakuwa na haja ya kufanya […]

Read More..

Wastara Adaiwa Kunasa Ujauzito

Post Image

Exclusive! Habari mpya ya motomoto ni kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amenasa ujauzito, Risasi Jumamosi linakuwa la kwanza kukupa mchapo huu! Ujauzito huo ni wa aliyekuwa mumewe, Sadifa Juma, mbunge wa Jimbo la Donge, Visiwani Zanzibar ambapo kitendo cha mimba hiyo kuwa ya mbunge, kimemsumbua Wastara hadi kuamua kuondoka ili akapate muda […]

Read More..

Nuh Mziwanda Afunguka Kuhusu ‘Jike Sh...

Post Image

Msanii wa Bongo Flava Nuh Mziwanda amesema kuwa ngoma yake mpya ya JIKE SHUPA hajamuimbia mtu yeyote mahususi kama inavyodaiwa na baadhi ya wapenzi wa muziki wa kizazi kipya nchini. Nuh amefunguka hayo jana usiku katika kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV alipokuwa akiizindua rasmi video yake hiyo ya JIKE SHUPA ambayo kwa mara ya […]

Read More..

Rais Amefanya Mabadiliko Baraza la Mawazir...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri huku akimteua Mbunge wa Buchosha Dk. Charles Tizeba kuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Kufuatia uteuzi huo, aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mwigulu Nchemba ameteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Nchemba anachukua […]

Read More..

Nisha na Wolper Wavutana, Kisa Hiki Hapa

Post Image

Mastaa wa bongo muvi, Salma Jabu ‘Nisha’ na Jacqueline  Wolper wamejikuta wakivutana mtandaoni baada ya Nisha kuandijka kitu ambacho Wolper alijibu na kusababisha Nisha kuibuka tena na kutoa ufafanuzi. Nisha aliandika haya; kwenye hicha hii “Mmoja kati ya hawa amejaa kwenye galary ya simu yangu na moyoni mwangu,otea A B C AU D? enhe.  he???sa […]

Read More..

Cathy Awaka Kukimbiwa na Mume

Post Image

MWANAMAMA kutoka katika kiwanda cha filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amewatemea cheche wanaomsengenya kuwa amekimbiwa na mumewe hivyo kuwataka wamuache kwani hawezi kuachwa kamwe. Akizungumza na GPL, Cathy alisema tangu mumewe ahamie kikazi Zanzibar maneno yamekuwa mengi sana kutoka kwa watu wake wa karibu kwamba ameachwa kitu ambacho siyo kweli kwani wako vizuri na mambo […]

Read More..

Quick Racka Afunguka Haya Kuhusu Yeye na Ka...

Post Image

Mkali wa Bongo fleva Quick Racka amefunguka juu ya uhusiano wake na msanii wa Bongo muvi Kajala Masanja. Akizungumza na Enewz Quick Racka alisema kuwa yeye na bongo muvi star huyo ni washikaji wa karibu sana na urafiki wao una miaka miwili sasa, huku kila mtu akiwa na kazi zake. “Tunashauriana yaani kama washikaji na […]

Read More..

Dude Ajuta Kutofunga Ndoa

Post Image

MSANII wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa anajuta kutofunga ndoa na mkewe, Eva kwani anateseka sana kipindi hiki cha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Akistorisha na gazeti hili, Dude alisema kutokana na sheria za dini ya Kiislamu kwamba hairuhusiwi mwanaume kupikiwa futari na mwanamke anayeishi naye tu bila kufunga ndoa, amekuwa akiteseka […]

Read More..

Yusuph Mlela Apata Dili Hili Kenya

Post Image

Msanii wa Bongo Movie,Yusuph Mlela amefunguka juu ya dili lake la nchini kenya. Akizungumza na Enewz Mlela amesema kuwa anashukuru Mungu kwakuwa hiyo ndiyo nafasi kwake katika kuiwakilisha nchi yetu. “Project yangu ya Kenya imenipa Exposure kubwa sana kiasi kwamba imenitanua katika kila kitu na watu wategemee kitu kikubwa zaidi”, amesema Mlela huku akiongezea kuwa […]

Read More..

Mama Wema Afunguka Kupigana na Watu Kumtete...

Post Image

Mama yake Wema Sepetu, Mariam Sepetu amefunguka na kueleza jinsi anavyoumizwa na stori za uongo kuhusu mwanae ambazo zimekuwa zikiandikwa katika magazeti ya udaku. Akizungumza katika kipindi cha Clouds E cha Clouds TV Alhamisi hii, Bi Mariam amesema amekuwa akigombana mara kadhaa na baadhi na viongozi wa magazeti ya udaku kuhusu stori za uongo. “Naumia […]

Read More..

Chege Awapa Makavu Hawa, Wanaoiamishia Rama...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva Chege Chigunda amefunguka dhidi ya watu wanaouhamishia mwezi wa Ramadhan katika mitandao ya kijamii. Akizungumza na Enewz Chege alisema kuwa kwa Bongo watu wanakuwa wanapoteza maadili ya dini kwasababu siku hizi miezi hii ya Ramadhani imehamia instgram kitu ambacho wengi wanakosea. “Funga siyo kujikwida sijui manini sijui kufunga ni imani na […]

Read More..

Wasanii Watoa ya Moyoni Bajeti ya Sh Bilion...

Post Image

WAKATI Serikali ikitenga Sh bilioni 3 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya sanaa, ubunifu, utamaduni na michezo zitakazotumika kuratibu na kusimamia uanzishwaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa na Ubunifu, wasanii wa fani mbalimbali wameeleza mitazamo yao kuhusu bajeti hiyo. Wasanii hao kwa mitazamo yao wamezungumzia namna ambavyo fedha hizo zimeelekezwa kusimamia urasimishaji wa […]

Read More..

Shamsa: Napenda Sana Nguo za Ndani za Mtumb...

Post Image

Licha ya baadhi ya mastaa kudai wanavaa nguo spesheli tu, tena zile zilizofungwa kwenye nailoni, staa wa filamu Bongo Shamsa Ford amefunguka kuwa, yeye huwa anapendelea kuvaa nguo za mitumba zikiwemo nguo za ndani ‘makufuli’.   Akizungumzia nguo anazopenda kuvaa, mdada huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwaye Terry alisema, kuna mtu huwa anampelekea […]

Read More..

Nay Aamua Kuwachana ‘Wakwaruaji’...

Post Image

Star wa Bongo Fleva Nay wa Mitego bado anaendelea kuwapa makavu live wasanii wa Bongo Muvi hasa wakwaruaji wanaosubiri vijana wa bongo fleva wawe juu ndipo watokenao kimapenzi. Akizungumza na Enewz Nay alisema kuwa wadada wenye tabia hizo Bongo Muvi wanajulikana na kuwataja baadhi yao kuwa ni pamoja na Jackilin Wolper, Salma Jabu ”Nisha” na […]

Read More..

Danny Msimamo: Vinega na Anti Virus Imebadi...

Post Image

Msanii wa Hip Hop wa hapa bongo Danny Msimamo, amesema game la muziki sasa hivi limebadilika tofauti na zamani, ambapo sasa muziki unaingiza pesa nyingi kwa wasanii. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Danny Msimamo amesema hatua hiyo imesababishwa na harakati za kutetea haki zao na kuendeshwa kwa kampeni mbali […]

Read More..

Gigy Money: Naangalia Pesa Kabla Sijamkubal...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva na video queen, Gigy Money amesema kuwa anaangalia pesa kabla hajamkubali mwanaume. Akiongea na Times FM, Gigy Money alisema, “naangalia pesa kabla sijamkubali mwanaume, unajua kuwa na mtu maskini inaleta stress tu, napenda pia wanaume wazuri,” alisema. Gigy ametokea kupata umaarufu kutokana na maisha yake controversial. Bongo5 NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS […]

Read More..

Baada ya Miaka Miwili, Rose Anarudi na ‘A...

Post Image

MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu Swahilihood Rose Ndauka baada ya kuacha kushiriki kazi za watayarishaji wengine amesema kuwa amerudi katika fani hiyo na kazi yake ya Angela ambayo ni kazi yake mwenyewe kwani alisema kuwa hawezi kushiriki filamu za wengine na amefanikiwa. “Nimeweza kukaa zaidi ya miaka miwili bila kushiriki kazi ya mtayarishaji mwingine […]

Read More..