-->

Author Archives: editor

Meneja wa Wema Afungukia Ugomvi wa Mirror n...

Post Image

Mwanamitindo na Meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda amefunguka juu ya ugomvi wa Mirror na Petiti Man.  Akizungumza na Enewz Kadinda alisema kuwa ugomvi wa Mirror na Meneja wake anayesimamia kazi zake za muziki yaani Petit man ni utoto tu unawasumbua. “Petiti bado yupo Endles Fame kwakuwa bado hajaiandikia barua kampuni kuwa anatoka na yote […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kuumizwa na Hiki Kuhus...

Post Image

Ikiwa zimesalia siku chache tu kuadhimishwa kwa miaka mitatu ya kifo cha msanii wa Hip Hop na mkali wa Free style Albert Mangwea, Ommy Dimpoz amefunguka mengi kuhusu msanii huyo. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Ommy Dimpoz ambaye ni moja kati ya miongoni mwa watu walioathiriwa na msiba wa Ngwair, amemzungumzia msanii […]

Read More..

Picha: Wolper na Harmonize Mahaba Niue

Post Image

Couple inayokuja kwa kasi Bongo kati ya staa wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper na mwanamuziki anayekimbiza katika Bongo Fleva, Harmonize imezidi ku-make headlines katika mitandao ya kijamii. Wawili hao walianza kwa siri lakini kwa sasa wameamua kuweka mambo hadharani bila kupepesa macho na kuudhihirishia umma kuwa kwa sasa ni wapenzi na hakuna kificho tena. Katika […]

Read More..

JB Adai Alizitolea Nje Ofa Tatu za Movie za...

Post Image

JB si msanii anayezuzuka na filamu za Kinaijeria ndio maana amesema ameshazitolea nje ofa tatu za kuigiza filamu za Kinaijeria. “Natoboa siri ambayo watu hawaijui, nimekataa script zaidi ya tatu Nigeria kwenda kuact kwasababu hazinilipi,” muigizaji huyo aliiambia 255 kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Naapa mbele ya Mungu ukitaka nitakuonesha, zipo. Sababu ni […]

Read More..

Mv Bukoba Imeua Furaha Yangu – Kala J...

Post Image

Msanii Kala Jeremiah amesema inapofika siku yake ya kuzaliwa huwa ni siku ya huzuni kwake, tofauti na wengine wanaosherehekea siku zao za kuzaliwa. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Kala Jeremiah amesema siku hiyo ndio siku ambayo ilitokea ajali ya Mv Bukoba na kuuwa watu zaidi ya 800, hivyo huitumia siku hiyo kufanya […]

Read More..

Alikiba Amuombea Kura Diamond Platnumz

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka na kusema kwa mafanikio aliyopata toka amerudi kwenye muziki tena ndani ya muda ni mfupi ni sawa na kuchana msamba kwake maana siyo hatua za kawaida. Alikiba alisema haya kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kusisitiza kuwa yeye kusaini mkataba na kampuni ya ‘Sony Music’ jambo kubwa sana […]

Read More..

Kisa Chura, Snura Anusurika Kichapo

Post Image

STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Chura’ juzikati akiwa kwenye shoo iliyofanyika Masasi, Mtwara alijikuta katika wakati mgumu baada ya kutaka kupigwa na mashabiki kisa kikiwa eti ni kutokuimba Wimbo wa Chura ambao umefungiwa. Kwa mujibu wa chanzo, tukio hilo lilijiri mida ya usiku katika ukumbi mmoja maarufu uliopo Masasi ambapo Snura alikuwa […]

Read More..

Aunt Ezekiel Aeleza Maumivu Aliyopata Wakat...

Post Image

Msanii wa filamu Aunt Ezekiel amefunguka na kueleza jinsi alivyopitia maumivu makali wakati wa kujifungua mtoto wake wa pekee ‘Cookie’ ambaye ametimiza moja mmoja hivi karibuni. Kupitia ukurasa wake wa instagram, Aunt Ezekiel aliandika: Haikuwa siku ya furaha katika maisha yangu ilikuwa ni siku ngumu kushinda siku zote nilizowahi kupitia katika maisha yangu hata misiba […]

Read More..

Picha: Wema azindua ‘Mobile Aplication’...

Post Image

   

Read More..

Kuelekea Ramadhan, Nisha Afanya Jambo Hili

Post Image

  ZIKIWA zimesalia siku chache kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhan kuanza, staa wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ jana aliukaribisha kwa kula chakula cha jioni na watoto yatima. Nisha aliwatembelea watoto yatima wa kituo cha New Hope Family Group kilichopo Kigamboni, Dar,  ambapo alipata nafasi ya kula nao chakula cha jioni alichokiandalia, hali iliyosababisha […]

Read More..

Lulu, Gigy Money Wacharuana

Post Image

MASTAA wawili wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Gift Stanford ‘Gigy Money’ wamejikuta wakiingia kwenye mtifuano mkali baada ya kutoleana maneno machafu. Chanzo makini kilieleza kuwa ishu ilianzia kwa Gigy ambaye alisema mwanadada Lulu hajui kuvaa anavaa matangazo, hii ni baada ya kuulizwa na kituo kimoja cha runinga kwamba ataje mastaa kumi wanaojua kuvaa ambapo […]

Read More..

Busu la Penny Lazua Utata

Post Image

Busu ambalo mtangazaji Peniel Mungilwa ‘Penny’ amempiga mwigizaji Shamsa Ford limezua utata kufuatia watu kumhusisha na tabia isiyofaa. Hayo yalijiri hivi karibuni baada ya mtangazaji huyo kutupia picha kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram ndipo wafuasi wa mtandao huo walipoanza kumsema vibaya wakidai anajiabisha kwa vitendo visivyofaa. Alipoulizwa kuhusiana na jambo hilo, Penny alisema: “Hayo […]

Read More..

Harmonize Afungukia Penzi la Wolper

Post Image

Baada ya tetesi kuvuma kuwa ukaribu wa kimapenzi kati ya muigizaji Jackine Wolper na staa wa Bongo Fleva Harmonize ni wa kuigiza na kutafuta kiki, Harmonize ameamua kufunguka juu ya mahusiano hayo. Akizungumza na eNewz Harmonize alisema kuwa muda ukifika atampelekwa mchumba wake huyo kwao kwa ajili ya kumtambulisha kwa wazazi wake huku wakiwa na […]

Read More..

Lulu Kusaka Tuzo Oscar na Filamu ya ‘Ni N...

Post Image

ILE Filamu kubwa ya Ni Noma ‘Huyu Demu ni Feki’ kutoka kwa mwanadada Nyota katika tasnia ya filamu Swahilihood Elizabeth Michael ‘Lulu’ ipo tayari kuingia sokoni baada ya kutengenezwa katika viwango vya kimataifa, kazi hiyo inakwenda kusaka tuzo kubwa kabisa ya Oscar. Filamu ya Ni Noma chini ya utayarishaji wa mtayarishaji mahiri kabisa katika utayarishaji […]

Read More..

BASATA wafunguka, Baada ya Alikiba Kusaini ...

Post Image

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limempongeza msanii Alikiba baada ya jana kusaini mkataba chini ya kampuni ya ‘Sony Music’ duniani na kusema kuwa hilo ni jambo la msingi na litasaidia saa yetu na kusisitiza kuwa sanaa ya staha inalipa zaidi. BASATA wamedai kuwa siku zote ukifanya sanaa ambayo ina staha inalipa zaidi na kudai kuwa […]

Read More..

Sifanyi Muziki kwa Ajili ya Tuzo-Nay wa Mit...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Nay wa Mitego ambaye alisumbua sana na wimbo wake ‘Shika adabu yako’ ambao ulifungiwa na Baraza la Sanaa (BASATA) na sasa ameachia wimbo wake mpya ‘Saka hela’ amefunguka na kusema kuwa yeye hafanyi muziki ili kupata au kushinda tuzo. Nay wa Mitego aliyasema haya alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha eNEWS […]

Read More..

Kisa Talaka, Thea, Mike Wapelekana Kanisani

Post Image

Mastaa wa Filamu Bongo waliokuwa wanandoa, Mike Sangu na Salome Urassa ‘Thea’ wamepelekana kwa padri wa Kanisa  la Katoliki Parokia ya Mwananyamala jijini Dar kwa ajili ya hatua ya kutalikiana. Chanzo kilicho karibu na mastaa hao kilidai kuwa, Thea ndiye aliyekusanya picha anazoposti Mike kupitia ukurasa wake wa Instagram akiwa na mpenzi wake wa sasa […]

Read More..

Jux Asimulia Alivyomnasa Vanessa Mdee

Post Image

Msanii Jux amefunguka na kusimulia namna alivyoweza kumnasa na kumuweka kwenye imaya yake ya mapenzi Vanessa Mdee na kusema kuwa kwa mara ya kwanza aliweza kuonana kwa mara ya kwanza na Vanessa Mdee studio na hapo ndipo walipoanza kujenga taratibu mahusiano yao. Kupitia kipindi cha Mkasi Jux amesema kuwa yeye lengo lake kubwa lilikuwa ni kufanya […]

Read More..