-->

Author Archives: editor

Steve Amtwisha Jukumu la Filamu Makonda

Post Image

MSANII wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameshikilia bango la kutaka filamu za nje zizuiwe hapa nchini kwa kuamini kuwa, soko la filamu za Kibongo litazidi kutanuka na kufanya vizuri. Akipiga stori na paparazi wetu alisema, kila anapofikiria masuala ya filamu jambo hilo huwa linazidi kumnyima raha na kumtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar […]

Read More..

Afande Sele Aelezea Kwanini Akifa Anataka M...

Post Image

‘Hii ni imani ambayo nimeifikiria muda mrefu na nikajua lazima niifate, kila mtu ana kitu ambacho anakiamini na kwangu naamini moto ndio kila kitu kwenye maisha, kama maandiko yanavyosema Mungu ni moto ulao… naamini moto ndio mfumo ambao hata Mungu anatokana na moto wenyewe‘ – Afande Sele Kwenye sentensi ya pili Afande amesema ‘wakisema Mungu […]

Read More..

Shamsa: Nusura Niharibike Ubongo kwa Kipigo

Post Image

Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa amekutana na kipigo cha mara kwa mara kipindi anaishi na baba mtoto wake Dickson Matok ‘Dick’ kiasi ambacho alikuwa akikaribia kupata athari kwenye ubongo. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Shamsa alisema kuwa amenusurika kumpoteza mtoto wake akiwa tumboni kutokana na mitama aliyokuwa akipigwa na […]

Read More..

Odama: ‘Mkwe’ Imezingatia Maoni ya Mas...

Post Image

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ ametambulisha ujio wa filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la MKWE ambapo ameleza kuwa imezingatia maoni ya mashabiki zake. Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Odama ameandika haya mara baada ya kuweka picha ya kasha la filamu yake hiyo hapo juu. Ndugu Zangu, Jamaa, Mashabiki, Team Pamoja Na Wapenzi […]

Read More..

Mama Afunguka Aunt, Iyobo Kuachana!

Post Image

MAMA aliyejitambulisha kuwa ni mama mzazi wa dansa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ Moses Iyobo, amefungukia habari iliyozagaa mitandaoni kuwa mwanaye ameachana na mzazi mwenziye, mwigizaji Aunt Ezekiel kwa kusema habari hizo si za kweli. Mapema wiki hii, kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, iliandikwa kuwa Moses amemwaga Aunt na kuamua kuondoka nyumbani walipokuwa wakiishi na Aunt […]

Read More..

Chege Kuvunjika TMK Wanaume, Mh Jakaya Alih...

Post Image

Msanii kutoka kundi la Wanaume Family, Chege Chingunda amefunguka na kusema kuvunjika kwa kundi la ‘Wanaume TMK Familiy’ kulimuuzunisha mpaka aliyekuwa Rais wa awamu ya nne ya Tanzania Mh. Jakaya Kikwete. Akizungumza kwenye kipindi cha MKASI kinachorushwa na EATV Chege alisema kuwa Rais Kikwete aliwaambia kuwa amehuzunishwa sana na kitendo cha kundi hilo kuvunjika kwani […]

Read More..

Picha: TRA Wanaipiga Mnada Range Rover Evoq...

Post Image

Gari aina ya Range Rover Evoque 504 ambayo Wema Sepetu alijizawadia kwenye birthday yake mwaka jana inapigwa mamlaka ya mapato tanzania (TRA) baada ya hivi karibuni mamlaka hiyo  wanaishikilia gari hiyo kwasababu iliingizwa nchini bila kulipiwa kodi na kwakuwa ushuru wake ni takriban nusu ya gharama yake, Wema ameshindwa kuikomboa. Ipo mnadani kwa  bai ya takriban shilingi […]

Read More..

Sijawahi Kutoka na Nisha -Baraka de Prince

Post Image

Msanii Baraka de Prince ambaye kwa sasa anafanya poa na ngoma yake ya ‘SIWEZI’ na ambaye amedondoka kwenye penzi la msanii mwenzake Najma Datan amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake yeye hajawaji kutoka kimapenzi na msanii wa filamu nchini Salma Jabu alimaarufu kama ‘Nisha’. Akiongea kwenye kipindi cha Friday Night Live, Baraka de Prince alisema […]

Read More..

Davina: Naanzaje Kwenda kwa Sangoma kwa Mfa...

Post Image

Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahaya ‘Davina’ juzikati alimjia juu mmoja wa mashabiki wake aliye-comment kwenye ukurasa wa msanii huyo wa Instagram kuwa alimuona akiingia kwa mganga wa kienyeji maeneo ya Kawe jijini Dar. Davina alisema, amejikuta akiumia sana kwani yeye si mtu wa mambo hayo huku akihoji anaanzaje kwenda kwa sangoma wakati imani […]

Read More..

Sina Tatizo na Hakeem 5 – Ali Kiba

Post Image

Msanii Alikiba ametolea ufafanuzi tuhuma zilizotolewa na msanii mwenzake hakeem 5, huku akisema hataki hata kumuona kwani si mtu mzuri na amekataa kufanya naye colabo. Ali Kiba ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na east africa Radio, na kusema kwamba yeye binafsi hana tatizo na Hakeem 5, kwani yeye ni kama […]

Read More..

Kwenye Muziki Uchawi Upo -Said Fella

Post Image

Meneja wa Kundi la Yamoto Band Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amesema anakubali kwenye tasnia ya muziki hapa nchini uchawi pia upo. Fella ameyasema hayo katika kipindi cha eNews kinachorushwa na EATV siku ya Jumatano baada ya msanii wa bendi ya Jordan inayopiga nyimbo za injili kusema kwamba kwenye muziki wa Bongo Fleva masuala ya ushirikina […]

Read More..

Waziri Nape Anunua Albamu Kwa Sh Mil 3

Post Image

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, amenunua nakala moja ya albamu ya Injili ya msanii na prodyuza, Goodluck Gozbert, kwa Sh milioni 3 kutokana na kuguswa na ujumbe uliopo katika albamu hiyo. Waziri huyo alinunua albamu hiyo wakati wa uzinduzi wa albamu hiyo ya kwanza ya msanii huyo iliyopewa jina la ‘Ipo […]

Read More..

Nuh Ammwaga Mrithi wa Shilole

Post Image

MKALI wa Bongo Fleva, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amefunguka kuwa, amemmwaga mpenzi wake aitwaye Erah Erah licha ya kwamba penzi lao lilitawaliwa na mbwembwe nyingi. Akipiga stori na paparazi wetu kuhusiana na maendeleo ya penzi lao, Nuh alifunguka kuwa demu huyo haikuwa riziki kwake kwani hakudumu naye baada ya kugundua hamfai na penzi lao limedumu […]

Read More..

Filamu ya Xballer Kuchuja Wasichana wa Kuig...

Post Image

WASICHANA wenye uwezo wa kuigiza wametakiwa kuchangamkia fursa kwa kujitokeza kwa wingi katika usaili wa filamu mpya ya ‘XBaller’, utakaofanyika kesho katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, jijini Dar es Salaam. Mratibu wa usaili huo ambaye ni Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Ernest Napoleon, alisema usaili huo utaanza saa 5:00 asubuhi. Ernest, ambaye pia ni mshindi […]

Read More..

Huu Ndiyo Mchango wa Diamond kwenye lebo ya...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kusema kwenye Label yake ya WCB yeye huwa anachangia vitu vidogo sana na kusema management yake chini ya Babutale na Mkubwa Fela ndiyo wanao waangalia wasanii na kuona kama wasanii hao wana vipaji na uvumilivu.   Akiongea na East Africa Radio kwenye kipindi cha Planet bongo Diamond Platnumz amedai wakati […]

Read More..

Ndugu Wakwama Kumpata Wastara

Post Image

Hali bado tete! Baada ya Gazeti la Ijumaa Wikienda ambalo ni dugu wa damu na hili toleo la Jumatatu iliyopita kutoka na habari yenye kichwa kisemacho; WASTARA ATOROSHWA HOSPITALINI, habari mpya ni kwamba, nduguze wameshindwa kujua wapi alipo mpaka sasa. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Ijumaa iliyopita, baadhi ya ndugu wa Wastara, wakiwemo dada zake, […]

Read More..

Mzee Kambi na Frank Watembelea White State ...

Post Image

Ramsey Kambi na Frank waigizaji wa Filamu kutoka Bongo WAIGIZAJI kutoka  Hashim Kambi ‘Ramsey’ akiwa na msanii mwenzake Mohamed Mwikongi ‘Frank’ wamebahatika kutembelea katika viwanja vya Ikulu ya Marekani maarufu kwa jina la White State House katika jiji la Washington Amerika. Ramsey akiwa na Frank New York wakionyesha kitu nje ya Ikulu ya Marekani Kambi […]

Read More..

Nitaendelea Kuwa Mwanamuziki Mpaka Nakufa-P...

Post Image

Mbunge wa Jimbo la Mikumi na msanii wa bongo fleva, Joseph Haule maarufu kama Prof Jay amesema kuwa yeye ni mwanamuziki na ataendelea kufanya muziki mpaka siku atakapotoweka duniani. Prof Jay amefunguka hayo baada ya Babutale kutaka kufahamu ni lini msanii huyo ataachia kazi nyingine kwani toka amekuwa mbunge wa jimbo la Mikumi amekuwa kimya […]

Read More..