-->

Author Archives: editor

Vanessa Yuko Kipesa Zaidi na Sio Mapenzi!

Post Image

Msanii Vanessa Mdee amefunguka ya moyoni na kusema kuwa kwake pesa ndio kila kitu, na sio mapenzi ya kweli. Kwenye kipindi cha Friday Night Live ambacho kinarushwa na East Africa Television na East Africa Radio, Vanessa ametoa jibu kuwa yeye anapenda pesa zaidi, kuliko mapenzi, na kuibua hisia kuwa huenda hata kwa mwandani wa ambaye […]

Read More..

Umaarufu Wamfanya Harmonize Aishi kwa Shida

Post Image

Harmonize ameongea hayo alipokuwa akiongea na mwandishi wa East Africa Radio, na kusema kuwa wao kama WCB hawana kawaida ya kwenda club kutokana na kubanwa na majukumu, na pia hata bosi wao ambao ni mfano mzuri kwao, hana kawaida ya kwenda sehemu kama hizo. “Labda nizungumze kitu kimoja, WCB sio mimi tu hata wasanii wengine […]

Read More..

Nimerudi Rasmi na Filamu ya Faulo- Wastara

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu wa kike Wastara Juma ‘Stara’ amesema kuwa sasa amerudi kikazi kwa ujio wake wa filamu yake ya Faulo ambayo yeye ni mtayarishaji huku akiwa ni kinara wa filamu hiyo ambayo itakuwa filamu yake ya kwanza kutolewa na kampuni yake ya Wajey Film. “Nimejipanga kwa ajili ya kufanya kazi nzuri zenye mafunzo katika […]

Read More..

Tetesi ya Kwamba Ray C Amerudi Kwenye Matum...

Post Image

Matumizi ya Madawa ya kulevya hapa nchini yanaongezeka kwa kasi sana. Huku ikionekana wasanii ni moja kati ya waathirika wa kubwa wa janga hili. Tumeona hivi karibuni rapa mkongwe Chidi Benz jinsi alivyothorofika kutokana na matumizi ya Madawa ya kulevya. Kupitia mitandao ya kijamii kumekuwa na tetesi kwamba Ray C amerudi katika matumizi ya madawa […]

Read More..

Mashabiki Wakerwa na Kauli Hii ya Zari, Wad...

Post Image

Labda ukweli unauma.. Kwamba wengi tunatamani sana maisha mazuri anayoishi Diamond na mchumba wake, Zari the Bosslady. Wapo wanaoishia kutamani na kumuomba Mungu nao waje kuwa na maisha hayo, wengine hushukuru na hufurahi tu kwa kile walichonacho ama tumeseme wameridhika na kidogo wanachopata. Lakini wapo ambao hushindwa kujizuia kupata wivu na kuwachukia tu watu wenye […]

Read More..

Wasanii Bongo Muvi Wachangia Damu Palestina

Post Image

Mkongwe wa filamu, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’akishiriki zoezi la kuchangia damu. Anayemuhudumia ni muuguzi wa Hospitali ya Palestina. Mzee Chilo na Bakari Makuka wakiwa tayari wanatolewa damu. Baadhi ya wasanii wa filamu wakisubiri kuchangia damu katika Hospitali ya Sinza Palestina. Msanii, Elizabeth Kilili akiandaliwa kutoa damu na muuguzi wa Hospitali ya Sinza. Mmoja wa wasanii […]

Read More..

Day After Death ya Wema na Van Vicker kuish...

Post Image

Wema Sepetu ni bingwa wa kutumia gharama kubwa kufanya filamu na kutengeneza kiu kubwa kwa mashabiki wake halafu then mradi unageuka kuwa kama album ya Detox ya Dr Dre, ambayo haijawahi kutoka hadi leo. June 2012: Muigizaji wa Nigeria, Omotola Jalade akiwa na Wema baada ya kuwasili kutoka Nigeria kuhudhuria uzinduzi wa filamu ya Superstar […]

Read More..

Dudu Baya: Watu Mfano wa Chidi Benz Hawatak...

Post Image

Baada ya rapa Chidi Benz kuomba msaada ili asaidiwe kuirudisha afya yake ambayo imethorofika kutokana na matumizi ya Madawa ya kulevyana na baadae kusaidiwa na Babu Tale kwa kupelekwa rehab. Wadau mbalimbali pamoja na wasanii wenzake walimpongeza Babutale lakini Dudu Baya amedai hakupenda rapa huyo asaidiwe. Akizungumza na Bongo5 Jumamosi hii, Dudu amedai rapa huyo […]

Read More..

Kuvaa Nusu Utupu Natangaza Brand- Vanessa M...

Post Image

Msanii wa muziki wa bogno fleva ambaye anafanya poa katika anga za kimataifa Vanesa mdee, amefunguka sababu ya yeye kupenda kuvaa nguo za nusu utupu. Akiwa kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na East Africa Radio na EATV, Vanessa Mdee amesema anapenda kuvaa mavazi hayo ambayo hayakubaliki kwa jamii, kwa sababu anatangaza brand yake, […]

Read More..

Alikiba Si Mtu Mzuri- Hakeem 5

Post Image

Msanii Hakeem 5 ambaye alitambulika katika muziki baada ya kufanya Collabo na msani Ali Kiba kwenye wimbo wa ‘Nakshi Mrembo’ amefunguka na kusema kuwa msanii Ali Kiba si mtu mzuri na wala hana muda nae kwa sasa. Akipiga stori kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo leo alipewa heshima ya Bongo fleva, […]

Read More..

Umaarufu Unavyomtesa Jini Kabula

Post Image

TAMTHILIA ya Jumba la Dhahabu ndiyo iliyomtambulisha Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ kwenye tasnia ya filamu kutokana na uigizaji wake mzuri. Jina la Jini Kabula lilitokana na kuigiza kama joka kubwa,uwezo mkubwa alioutumia katika kuigiza tamthilia hiyo iliwafanya watu wengi waamini kwamba yeye ni jini kweli. Katika hali ya kusikitisha, Jini Kabula alionekana hakuridhika na umaarufu […]

Read More..

Zari Adaiwa Kumpa Makavu Kajala

Post Image

Kufuatia madai kuwa msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amekuwa na katabia ka’ kujiweka kimahaba kwa Nasibu Abdul ‘Diamond’ wakati Zarinah Hassan ‘Zari’ akiwa Sauzi, madai yametua mezani mwa gazeti hili kuwa, kimenuka kati ya Zari na Kajala. Chanzo chetu makini ambacho kimeomba jina lake lisitajwe gazetini kimedai kuwa, hivi karibuni baada ya Zari kupata […]

Read More..

Picha: Diamond Akiwa na Familia Yake Nchini...

Post Image

Hizi ni baadhi ya picha za staa wa bongo fleva, Diamond Platnumz akiwa pamoja na familia yake,mama yake, mtoto wake (Tiffah) pamoja na mzazi mwenzie (Zari) wakiwa nchini Sweden.   Diamond yupo barani ulaya kwa akifanya show kwenye nchi mbali mbali. #FromTandaleToTheWorldTour  

Read More..

Siri 5 za Ndoa ya Wastara Kuvunjika!

Post Image

Saa 24 tu tangu kupatikana kwa habari kwamba, ndoa ya staa wa sinema za Bongo, Wastara Juma aliyoifunga na Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Juma imevunjika, sasa siri 5 za kuparaganyika kwa ndoa hiyo ziko mikononi mwa gazeti hili. Ndoa hiyo ilidaiwa kuvunjika rasmi Machi 21, mwaka huu baada ya kuishi kwa siku […]

Read More..

Filamu Kubwa ya Action ya ‘Omba’ Kutiki...

Post Image

FILAMU ya Mapigano ijulikanayo kwa jina la Omba imekamilika na muda si mrefu itaingia sokoni ni kazi kutoka kwa mwanadada Christina Mroni ‘Tina’ ambaye ameigiza kama kinara wa filamu hiyo ambayo inakuja kuleta mabadiliko makubwa Swahilihood. Frank (Jumbe) mwigizaji ambaye ameigiza kama Rais katika sinema ya Omba. Filamu ya actions ya Omba kutoka Swahilihood Akiongea […]

Read More..

JB: Ugumu wa Soko la Filamu Umenibadilisha

Post Image

JACOB Stephen ‘JB’ anasema kuwa ugumu wa soko la filamu umemfanya aangalie njia nyingine ya kufanya sanaa yake iendelee kuwa bora kwa kuanza kurekodi tamthilia tofauti na awali alijiwekeza sana katika Filamu pekee kwani lengo ni kufikisha ujumbe kwa jamii. “Dunia inabadilika na inaenda kwa kasi sana hivyo ni lazima pia mtu ubadilike, kazi ya […]

Read More..

Linah Sanga Afungukia Rushwa ya Ngono Kweny...

Post Image

Tetesi zimezidi kuvuma na zimekwenda mbali zaidi kwa kusema kuwa wasanii wa kike wale wakali bongo ili waweze kufanya video nzuri na waongozaji wakubwa zaidi pia wanatoa rushwa hiyo ya ngono. Kipindi cha Enews kinachorushwa na East Africa Television kilitaka kufahamu kama kuna ukweli wasanii hao wa kike huhonga ngono ili wafanyiwe kazi nzuri kwenye […]

Read More..

Hivi Ndivyo Diamond Alivyomsaidia Chid Benz

Post Image

Meneja wa wanamuziki wa bongo fleva Babu Tale ameweka wazi kitu ambacho watu wengi walikuwa hawakijui kuhusu Diamond na Chid Benz. Akiongea kwenye kipindi cha eNews kinachorushwa na East Africa Television, Babu Tale ameweka wazi kuwa Diamond Platnums ambaye anamsimamia, alishawahi kumsaidia Chidi Benzi kuacha madawa, kwa kwenda kumtoa damu na kumuwekea damu safi, lakini […]

Read More..