Wolper Ataja Vitu Anavyovikumbuka kwa Aliki...
Msanii wa filamu Bongo Jackline Wolper amefunguka mengi kuhusu Alikiba ambaye alikuwa mpenzi wake. Wolper amedai kuwa anakumbuka mambo mengi kutoka kwa mpenzi wake huyo, zaidi akikumbuka upole wake pamoja na unyenyekevu. “Mengi nakumbuka, kikubwa ni upole wake pamoja na unyenyekevu. Ni tofauti na wanaume wengine ambao nimewahi kukutana nao,” muigizaji huyo ameliambia gazeti la […]
Read More..





