-->

Author Archives: editor

Bado Namkumbuka Mshkaji Wangu Kanumba!

Post Image

MIAKA mitano imekatika sasa tangu mkali wa sinema za Kibongo, Steven Kanumba afariki dunia. Marehemu Kanumba alifariki Aprili 7 na kuzikwa Aprili 10, 2012 katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Tasnia ya filamu za Kibongo bila shaka bado inamkumbuka shujaa huyu ambaye alijitahidi kwa kadiri ya uwezo wake kupaisha filamu zetu katika medali […]

Read More..

Wema Sepetu, Gabo Kuwasha Moto Kwenye Filam...

Post Image

Malkia wa filamu Wema Sepetu pamoja na Gabo Zigamba wataonekana kwenye filamu mpya ‘Heaven Sent’ inayoongozwa na Neema Ndepanya chini ya kampuni ya Fontana Entertainment. Katika filamu hiyo Wema atakuwa kwenye mahusiano na Gabo Zigamba. “Sometimes in Life, You meet people for a Reason…. Im so happy I found the Reason I met you Gabo […]

Read More..

VIDEO:Nasubiri Ripoti ya Wafanyakazi 9000 w...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati Jumamosi hii akizindua majengo ya Hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) amefunguka kwa kusema kuwa anasubiri ripoti ya wafanyakazi wa Serikali zaidi ya elfu tisa ambao wanatumia vyeti vya kufoji. Rais Magufuli amesema kumekuwa na changamoto kubwa katika kila sekta […]

Read More..

Video: Mwigulu Awaongoza Wananchi Kuwaaga P...

Post Image
Read More..

Jux ameachana na Vanessa Mdee?

Post Image

Msanii Jux ambaye awali alikuwa akitoka kimapenzi na msanii Vanessa Mdee amefunguka na kusema kwa sasa yeye hayupo single kama ambavyo watu wanakuwa wakisema lakini pia amekanusha zile tetesi kuwa ameachana na mpenzi wake Vanessa Mdee. Jux alisema hayo jana kupitia kipindi cha Frida Night Live na kusema taarifa ambazo zinasambazwa kuwa sasa yupo single […]

Read More..

Tunda: Marafiki Wasiofaa, Utoto Vilinihari...

Post Image

KABLA ya Video Queen Tunda Sabasita kukamatwa na polisi kwa soo la kutumia madawa ya kulevya kisha kufi kishwa mahakamani akiwa na mastaa wengine, alikuwa gumzo kutokana na matanuzi aliyokuwa akiyafanya kwenye mahoteli makubwa kisha kutupia picha kwenye mitandao.   Wengi walihoji kama kweli ni sanaa tu ambayo inamuweka mjini au kuna madili mengine lakini […]

Read More..

Bonge la Nyau Aanika Mahusiano Yake na Shil...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Bonge La Nyau amesema hana mahusiano ya kimapenzi na Shilole japo watu wamekuwa wakiwaona karibu kiasi cha kuzusha kwamba wawili hao ni wapenzi. Akiongea kupitia eNewz ya EATV, Bonge la Nyau amesema kwa sasa yeye ana mpenzi wake ambaye wamejaliwa kupata mtoto mmoja hivyo watu wanaposema yeye na Shilole wapo karibu sana ni […]

Read More..

New Video: Young Killer & Stamina ...

Post Image

Wasanii wa muziki wa hip hop Young Killer Msodoki, Billnass pamoja na Stamina wameachia video ya wimbo wao mpya wa pamoja uitwao ‘Aje Mwenyewe’. Video imeandaliwa na director Lucca kutoka kampuni ya Swahili na audio imeandaliwa na Kiri Rec.

Read More..

Wema Sepetu Ataka Mashabiki Waheshimiwe

Post Image

STAA wa filamu nchini na Miss Tanzania mwaka 2006, amesema ni upuuzi kwa msanii kutomheshimu shabiki wake kwa kuwa bila huyo hawezi kuwa msanii. Wema alisema kwa kuwa msanii ni kioo cha jamii, hivyo hatakiwi kutoheshimu mashabiki wake kwa kuwa hao ndiyo wanaomsaidia kisanii. “Kuna baadhi ya wasanii wanatumia majina yao vibaya, ukiwa staa unatakiwa […]

Read More..

Waziri Nchemba Awasili Eneo Yalipotokea Mau...

Post Image

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amewasili eneo yalipotokea mauaji ya askari wanane katika kijiji cha Jaribu, Wilayani Kibiti. Waziri Nchemba ameambatana na naibu wa wizara hiyo, Mhandisi Hamad Masauni. Nchemba atatembelea kambi za askari polisi wa kanda ya Pwani na katika kata ya Bungu wilayani Kibiti. Mwananchi

Read More..

PICHAZ: Diamond Anunua Hammer Sauzi

Post Image

STAA wa Bongo Fleva, Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz ameonyesha gari lake jipya aina ya Hammer alilolinunua kwa ajili ya shughuli zake akiwa nchini Afrika Kusini. Diamond na familia yake (mama watoto wake na watoto wawili) wanaishi nchini Afrika Kusini. Kupitia Instagram yake amepost picha za gari hilo na kuziwekea caption inayosema: @zarithebosslady kidogo changu […]

Read More..

VIDEO:Kutumia Ushirikina ni Sawa – Sa...

Post Image

Msanii Sam wa Ukweli ambaye hivi sasa anafanya vyema na wimbo wake wa ‘Kisiki’ amefunguka na kusema ushirikina kama ukiutumia vyema kwa ajili ya mambo yako ya faida kama kazi zako au ya kimaendeleo ni sawa. Sam wa Ukweli amesema hayo jana alipokuwa kwenye kipindi cha 5Selekt na kusema kama una utumia vyema uchawi kwa […]

Read More..

VIDEO:Sina Mpinzani Kwenye Game-Chemical

Post Image

Rapa wa kike bongo anayesumbua na ngoma ya ‘Queen of Dar es salaam, Chemical amejinadi kuwa hakuna rapa wa kike aliyepo kwenye game mwenye uwezo wa kushindana naye kwa upande wa kuandika mashairi. Chemical amefunguka hayo kwenye eNewz ya EATV leo na kudai kuwa anaamini yeye ni bora katika ‘game’ hivyo watu wasipende kumfananisha na watoto […]

Read More..

Polisi Wadaiwa Kuuawa kwa Risasi Kibiti

Post Image

Ikwiriri. Polisi saba waliokuwa doria katika Kijiji cha Jaribu mpakani mwa wilaya za Rufiji na Kibiti mkoani Pwani, wanadaiwa kuuawa usiku huu kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika. Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo, lakini akasema taarifa zaidi zitatolewa na kamanda wa polisi wa Mkoa wa Pwani. Taarifa […]

Read More..

Nisha na Majanga ya Kuvunjiwa Duka Lake

Post Image

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka kuhusu duka lake la nguo lililopo Sinza Makaburini, Dar kuvunjwa huku wengine wakihisi kavunjiwa kwa sababu za bomoabomoa jambo ambalo mwenyewe amesema si la kweli bali anafanya ukarabati. Kuvunjwa kwa duka la Nisha kulizua sintofahamu kwa mashabiki wake hivi karibuni, jambo ambalo Show Biz Xtra ilimtafuta […]

Read More..

VIDEO: Alichokisema Rose Ndauka Kuhusu Mada...

Post Image

Staa mrembo kutoka Bongo Movie, Rose Ndauka amelifungukia swala na madai ya kuwa bongo movie imekufa kwa kueleza kuwa bongo movie haijafa kwa sababu wapo wasanii wanafanya kazi nzuri na kuwa  tatizo jamaii haitaki kuwapokea wasanii wapya. Akiongea na Ayo TV Entertainment, Rose Ndauka  alifun guka kuwa  anayesema Bongomovie imekufa anasambaza habari za upotoshaji tu kwa […]

Read More..

Rais Magufuli Ampigia Simu MwanaFA na Kumpo...

Post Image

Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli ni shabiki wa muziki wa Hamis Mwinyijuma maarufu kwa jina la MwanaFA, hilo limewekwa wazi na msanii mwenyewe. Rais Magufuli ameamua kuweka hisia zake hizo wazi kwa kumpigia simu msanii huyo wa Bongo Fleva na kumfikishia ujumbe kuwa yeye ni msikilizaji mzuri wa wimbo wake wa Dume Suruali. Katika […]

Read More..

VIDEO:Upendo Nkone Ataja Sababu ya Kutumia ...

Post Image

Msanii wa Injili nchini Upendo Nkone amekiri kuwa ni kweli alikuwa anatumia mkorogoro (anajichubua ngozi) lakini hivi sasa ameacha kufanya hivyo baada ya mashabiki wake kumjia juu na kutaka aachane na mambo hayo ya kujichubua. Upendo Nkone amesema hayo kupitia kipindi cha Kikaangoni kinachofanyika kupitia ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia […]

Read More..