Rais Magufuli Azungumzia Swala la Madawa y...
Rais John Magufuli ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuwakamata wanaohusika na Dawa za Kulevya. Asema si kazi ya Makonda peke yake. Rais Magufuli amesema hakuna wa kuachwa hata akiwa mkewe Mama Janet Magufuli, na kuongeza kuwa wakamatwe bila ya kujali majina yao. Rais pia amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu kwa […]
Read More..





