-->

Author Archives: shilla

About shilla

Hi there!

Breaking : Raila Odinga ajitoa kushiriki Uc...

Post Image

Kiongozi Mkuu wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, leo October 10, 2017 ametangaza kutoshiriki kwenye uchaguzi mkuu ambao uliamriwa na mahakama kurudiwa October 26 mwaka huu. Uchaguzi huo wa tarehe 26 utakuwa ni marudio ya uchaguzi mkuu, baada ya mahakama ya juu nchini Kenya kufuta matokeo ya uchaguzi wa tarehe 8 mwezi Agosti mwaka huu.

Read More..

Alphonce Simbu ndani ya wanariadha 40, 800 ...

Post Image

Mbio za Chicago Marathon zilizofanyika nchini Marekani leo hii 8/10/2017 zimemalizika zikiwashirikisha wanariadha 40,800 kutoka nchi mbali mbali duniani akiwemo mshiriki kutoka Tanzania ndugu Alphonce Simbu ambaye alishikiri mashindano hayo makubwa duniani .   Kwa upande wa wanaume Mshindi katika Mashindano hayo alikuwa mwanariadha kutoka Marekani akifuatiwa na wanariadha wawili kutoka Kenya walioshika nafasi ya […]

Read More..

Wanafunzi wazawadia Magari baada ya kufanya...

Post Image

Mkurugenzi wa Shule za Sekondari za Waja Mkoa wa Geita, Eng. Chacha Wambura amewazawadia magari wanafunzi wake waliohitumu Kidato cha Sita katika Shule za Sekondari Waja Girls baada ya kufanya vizuri katika masomo yao. Kutoka kwenye tovuti ya shule, zawadi imekuja baada ya wanafunzi hao kuwa katika “TOP 10” ya wanafunzi waliofanya vizuri katika kidato […]

Read More..

Mama Mzazi wa Zari, Afariki Dunia!

Post Image

Mama mzazi wa Zari The Boss Lady ambaye ni mpenzi na mzazi mwenza wa mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz amefariki dunia asubuhi ya leo hii baada ya kuumwa. Kupitia Instagram yake asubuhi hii Zari amethibitisha kifo cha mama yake akiandika>>>”Kwa huzuni kubwa mimi na familia yangu tunatangaza kifo cha mama yetu mpendwa aliyefariki asubuhi hii. […]

Read More..

KUONDOA VITU VISIVYO NA UMUHIMU NA KUSAIDIA...

KUONDOA VITU VISIVYO NA UMUHIMU NA KUSAIDIA WENYE UHITAJI. Kuhusu sisi. Kampeni ya kuondoa vitu visivyo na umuhimu ni jitihada ya wajibu wa kijamii inayowataka wananchi kuchangia vitu vyao vya ziada ili kuwasaidia wahitaji. Lengo la kampeni Lengo la kampeni hii ni kuibua uelewa kuhusu hasara za kurundika vitu visivyokuwa na umuhimu, faida za kuviondoa […]

Read More..

Tigo yatoa ofa ya simu za bure katika kuham...

Post Image

Tigo yatoa ofa ya simu za bure katika kuhamasisha wateja kuhusu simu bandia 0 Kampuni ya Tigo Tanzania imetangaza ofa mpya ambayo watumiaji wote wa simu ambazo ni bandia watapata simu halisi kila watakapotembelea duka la huduma kwa wateja la Tigo kubadilishwa simu hizo. Mradi huu unalenga kuwawezesha Watanzania kupata simu halisi kutokana na ukomo […]

Read More..

Rapper Chidi Benz akisamehewa na akipata ms...

Post Image

Hakuna mtu aliyemkamilifu chini ya jua au Dunia hii tunayoishi. Chidi Benz naye ni binadamu, anamakosa yake kama mtu mwingine yeyote yule. Kwa wale aliowakosea basi hana budi kuwaomba msamaha wa dhati na najua wakijua kuna Mungu wataweza kumsamehe. Kitendo alichofanya Meneja wa wasanii wa muziki kutoka Tip Top connection ndugu Hamisi Tale Tale maarufu […]

Read More..

Mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina na k...

Post Image

January 11 ndio ilikuwa siku ya shirikisho la soka ulimwenguni FIFA kutangaza washindi wa tuzo kadhaa ikiwemo tuzo ya mchezaji bora wa Dunia ambayo ilikuwa inawaniwa naLionel Messi, Neymar na Cristiano Ronaldo. FIFA usiku wa January 11 Zurich Uswiss wamemtangaza mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina na klabu ya FC Barcelona yaHispania Lionel Messi kuwa ndie mshindi […]

Read More..

Mbu mwenyewe anaweza kuondoa malaria

Post Image

Mbu mwenyewe anaweza kuja ondoa  malaria. Je, ni kweli? Tafiti ndio zinasema, endelea hapa chini Kila mwaka, watu bilioni 3.2 wako katika hatari ya kuamukizwa malaria kutoka kwa mbu walioambukizwa na vijidudu vinavyosababishwa malaria. Lakini labda si kwa muda mrefu tukajasikia malaria imefutika kabisa. Sio ajabu tukasikia mtu anasema hii itakuwa  ni uongo,ndoto au haitawezekani […]

Read More..

Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko...

Post Image

“Mara nyingi kwenye ulimwengu wa mapenzi iko hivi….A anampenda B na wako wote…lakini B moyo wake uko kwa c…ni mara chache sana kupata couple zenye usawa katika kupenda…unapompenda mtu hasa ss wanaume huwa tuna tumia kila njia kuhakikisha tunammiliki..tunajaribu kuwa waugwana…wakali na wakorofi..hata na pesa kuhakikisha tuna wamiliki wapenzi wetu..lakini mapenzi sio kumiliki bali kumfanya […]

Read More..

Tamko la Wasanii Wakongwe Kwa Rais Wa Shiri...

Post Image

  WASANII Wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood leo tarehe 16Th December, 2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari ya Maelezo wametoa tamko lao kuhusu kumtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba kugombea nafasi hiyo ambayo alitangaza kutoshiriki kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kijacho uchaguzi huo mwezi huu 2015. Baada ya salamu […]

Read More..

Waziri Mkuu, Majaliwa Aitisha Kikao na Bara...

Post Image

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015.

Read More..

Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara

  “Kuanzia mwaka juzi nimekua na desturi ya kushirikiana na watu siku yangu muhimu ya kuzaliwa Mwaka juzi nilipata nafasi ya kukaa na watoto yatima na mwaka jana kituo cha wazee Mwaka huu nimeamua kugusa maisha ya watu wengi zaidi Kwahivyo kwa kutafakari jinsi gani tatizo la maji ni kubwa, nimeamua kutumia kidogo nilichonacho kujenga […]

Read More..

Picha: Irene Uwoya Akiwa mtoto wake, Krish ...

Post Image

Kila Mtu Amesema Lake Kuhusu Picha Hizi, Ila Kama Wewe Umezipenda Usisite ku-LIKE na Ku-SHARE

Read More..

Nape Anastahili- Mike Sangu

Post Image

  MWIGIZAJI wa kiume katika tasnia ya filamu Michael Sangu ‘Mike’ amefunguka kwa kuwashangaa watu wanaoponda uteuzi wa waziri wa Habari, Utamaduni Wasanii na michezo Mh. Nape Nnauye kwa kusema kuwa hawamjui vizuri wanatakiwa wafahamu ni mtu makini na anastahili. Huwezi kuponda tu kwa sababu zako binafsi mimi ninamfahamu kiongozi Nape ni mtu makini na […]

Read More..

JB: Chungu cha Tatu ni Filamu Ghali Zaidi

Post Image

  MSANII wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha tatu aliyomshirikisha mwanadada Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizotengenezwa chini ya kampuni yake ya Jerusalem. Akizungumza na MTANZANIA juzi, JB alisema ametumia gharama kubwa katika kufanikisha kuitengeneza filamu hiyo. “Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa […]

Read More..