-->

Category Archives: BongoFleva

Maoni:Darassa Kazimwa na Rais Magufuli…

Post Image

255 champion boy niite Mbwana Samatta haaa…” Ngoma linaanza kibabe. Linaisha kindava. Na ‘biti’ ya kikatili kama sound track ya movie la kimafia. Lazima ukae. Alikuwa yeye tu kwa kipindi kirefu. Aliwafunika wanamuziki wote mpaka mashabiki wao. Miaka mingi imepita bila wimbo wa kutikisa nchi hii kutoka. Darassa alipokuja na ngoma yake ya “Muziki” alishitua […]

Read More..

Ney Kafanikisha, Ujumbe Umefika

Post Image

Nimekuwa nikifuatilia taarifa za msanii Emmanuel Elibariki au kwa jina la kisanii, Ney wa Mitego katika magazeti ya kila siku, redio, televisheni na kwenye mtandao. Ney alifukuliwa kitandani saa nane usiku. Akadakwa na polisi. Ni Jumapili iliyopita katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Premier Lodge mjini Turiani; mkoani Morogoro. Ney alimalizia zile saa chache kabla […]

Read More..

Kuna Diamond Halafu Harmonize

Post Image

SAFARI ya kutembelea makao makuu na studio za Wasafi Classic, inabakia kuwa yenye kumbukumbu ya kipekee kwa timu ya waandishi wa Mwanaspoti iliyotembelea ofisi hizo hivi karibuni. Tunakumbuka ilikuwa muda mfupi baada ya kumaliza kufanya mahojiano ya kina na kinara wa kundi hilo, Diamond Platinumz, tulianza kujiandaa kutimka baada ya kuridhika na kazi nzuri tuliyofanya […]

Read More..

Hiki Ndicho Shigongo Kamshauri Alikiba

Post Image

Mfanyabiashara Erick Shigongo amefunguka na kuamua kumshauri Alikiba kuhusiana na muziki wake na namna ambavyo anatakiwa kuishi kwa mipango ili hata siku asipokuwepo kwenye ramani ya muziki awe na maisha yenye tija kulingana na kazi alizofanya nyuma. Erick Shigongo ameamua kufanya jambo hili kama kuwakumbusha vijana pamoja na watanzania kiujumla kuwa siku zote unapopata mafanikio […]

Read More..

Jay Moe: Nilipata Aibu Kwa Bill Nas

Post Image

RAPA aliyewahi kutamba na wimbo wa ‘Mvua na Jua’, Juma Mchopanga (Jay Moe), amesema licha ya kutamani kufanyakazi na rapa wa wimbo wa ‘Sitaki Mazoea’, William Lyimo (Bill Nas), hatasahau alivyomdharau kabla ya kusikiliza na kuona video zake. Jay Moe alisema kabla ya kumwona, kusikiliza na kutazama video zake hakuwa akijua uwezo mkubwa alionao rapa […]

Read More..

Wolper Amchana Harmorapa!

Post Image

JACQUELINE Wolper amefunguka kuwa mwanamuziki chipukizi ambaye hivi sasa amekuwa gumzo mjini, Athuman Omary ‘Harmorapa’ anatia hasira kutokana na kauli zake. Wolper ambaye ana jina kubwa Bongo Muvi, alisema kinachomuudhi kwa Harmorapa ni kitendo cha mpenzi wake, memba wa Wasafi Classic Baby (WCB), Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ kumuongelea vizuri lakini yeye anapohojiwa na vyombo vya habari […]

Read More..

Shigongo:Diamond Mbele Kuna Shimo, Ukimya B...

Post Image

Mwandishi na mmiliki wa kampuni ya Global Publishers Eric Shigongo, amemfungukia staa wa Bongo Fleva, Diamond  Platinumz kwa kumtahadhalisha kuwa anaweza kwenye game kutokana na kitendo chake cha kutofufanya matamasha mengi ya hapa nyumbani  na hii ni kutokana na kitendo cha kuwatoza kiwango cha juu  mapromota wa nyumbani kiwango kile kile anachowatandika wale wa nje. […]

Read More..

Chemical: Sitasahau Mama Yangu Alivyoniacha

Post Image

MSANII wa hip hop, Chemical amesema kila anapokumbuka kifo cha mama yake anajikuta akilia sana kutokana na kutamani angeyaona mafanikio yake ya sasa kupitia muziki wake. “Sikulelewa na mama yangu kwa asilimia kubwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua, lakini nilipotimiza miaka mitatu nikaambiwa niende Dar es Salaam kumsalimia, nilifika na furaha kumbe ndiyo alikuwa amefariki, […]

Read More..

VIDEO: Msiniite Tena TID-Khalid

Post Image

Mkongwe wa bongo fleva Khalid Mohamed maarufu kwa jina la TID au Mzee Kigogo amelikataa rasmi jina la TID ambalo ndilo lililompatia umaarufu na kutaka kupendekeza aitwe jina lake alilopatiwa na wazazi wake au ‘Mnyama’. Akipiga story na eNewz ya EATV TID amesema halipendi tena jina hilo kwa kuwa limekuwa la kawaida sana na kudai watu […]

Read More..

Shilole Apanga Makubwa Kwenye 40 ya Mtoto w...

Post Image

Shilole aka Shishi Trump ni mzungu. Amesema hana kinyongo na ex wake Nuh Mziwanda na ndio maana mwaliko wa 40 ya mtoto wa kike wa Nuh na mke wake Nawal ukihusika, ataenda kufanya makubwa. “Mimi sinaga shobo ujue,” muimbaji huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio hivi karibuni. “Mimi naenda kwa moyo wangu […]

Read More..

VIDEO: Nay wa Mitego Akutana na Waziri Mwak...

Post Image

Staa wa Bongofleva Nay wa Mitego alifika katika ofisi za Wizara ya Habari, utamaduni, sanaa na michezo zilizopo Dodoma kwa ajili ya kuonana na kufanya mazungumzo na Waziri Dr. Harrison Mwakyembe ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu msanii huyo kuachiwa huru. Nay wa Mitego alikuwa akishikiliwa na Jeshi la polisi Dar es slaam kwa tuhuma […]

Read More..

Jide Afungukia Mahusiano Yake na Spicy Kuto...

Post Image

Wakati maneno ya chini chini yakiwa yanaendelea kuhusu kupigwa kibuti na mpenzi wake mpya Spicy kutoka Nigeria, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ amefunguka na kusema wabongo wengi wanapenda wenzao waharibikiwe na kuwataka kuacha kuwaziana mabaya. Jide amelazimika kutoa kauli hiyo baada ya maneno kuzagaa kuwa amepigana kibuti na Mnigeria huyo ikiwa ni siku chache baada ya kuandika […]

Read More..

Ney wa Mitego: Nafikiria cha Kuzungumza na ...

Post Image

RAPA ambaye wimbo wake wa ‘Wapo’ unazungumzwa zaidi kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari, Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego), amesema kwa sasa anajipanga ajue cha kuzungumza na Rais Magufuli kama atapata nafasi ya kukutana naye kama alivyomuagiza. Ney alisema alipotoa wimbo wake huo alijua hautafurahiwa na watu wote, lakini kwa […]

Read More..

Ni Heri Mtu Akose Figo Kuliko ‘Bando&...

Post Image

Msanii Roma Mkatoliki amesema hali ya utandawazi imeharibu nchi ya Tanzania katika utendaji kazi maofisini mpaka shuleni kutokana na watu kutekwa na mitandao  ya kijamii kwa kutotaka kupitwa na vitu vinavyoendelea kutokea. Akizungumza katika kipindi cha eNewz kinachorushwa na EATV rapa huyo anayetamba na ngom ya ‘Usimsahau Mchizi’ ametoa kauli hiyo kufuati hali ya nchi […]

Read More..

Baraka The Prince Asita Kuingia Kwenye Fila...

Post Image

Msanii Baraka The Prince anayetamba na wimbo wake wa ‘Niache Niende’ amesema wakati wake ukifika naye atajiingiza katika mambo ya filamu nchini kama alivyokuwa Hemed PHD. Msanii huyo ameelezea hisia zake kwa kile anachokiamini kwa kusema yupo katika harakati za kujenga ‘brandy’ yake ya muziki ili itambulike vizuri katika soko huku akidai alishawahi kufuatwa na director […]

Read More..

Video:Harmorapa Hana Pesa ya Kunilipa ̵...

Post Image

Mkongwe wa bongo fleva Juma Kassim Nature ‘Sir Nature’ amekanusha vikali kulipwa na msanii Harmorapa katika wimbo wa ‘Kiboko ya mabishoo’ na kudai kwamba kijana huyo hana pesa za kumlipa na kusisitiza yeye alifanya kwa upendo tu. Akizungumza na eNewz ya EATV, Nature amesema kwamba alikubali kushiriki katika wimbo huo kwa sababu anaamini msanii huyo chipukizi […]

Read More..

Kisa Wivu Snura Awatosa Mastaa

Post Image

MWANADADA mwenye umbo matata anayesumbua kunako Tasnia ya Muziki Bongo na Filamu, Snura Mushi ‘Snura’ amesema kuwa yeye ni mwanamke mwenye wivu sana jambo ambalo limemsababisha mpaka kushindwa kut   oka kimapenzi na mastaa wanaomtaka. Akipiga stori mbili tatu na Uwazi Showbiz, Snura aliongeza kuwa amekuwa akifuatilia uhusiano wa kimapenzi wa mastaa wengi na kugundua kuwa […]

Read More..

Diamond Afungukia Misaada Aliyotoa kwa Jami...

Post Image

Msanii Diamond Platinumz imembidi afunguke hayo mtandaoni baada ya kuguswa na comment shabiki mmoja aliyefungukia gharama za cheni ya Diamond . Shabibiki aliandika “……100m Kwenye shingo…huku watu wana ishu nashida atleast wasaidie watu kwenye maeneo mabaya,” alicomment shabiki huyo kwenye picha hiyo hapo chini. Naye Diamond alimjibu kwa kuandika, ““…..nimejenga nyumba 5 mwaka jana Iringa, misikiti […]

Read More..