-->

Category Archives: BongoFleva

Mpoto Afunguka Sakata la Madawa ya Kulevya

Post Image

Msanii wa muziki wa asili nchini, Mrisho Mpoto amefunguka kwa kusema kuwa yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao wanaunga mkono harakati za Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda za kupambana na biashara ya Madawa ya kulevya. Akiongea Jumapili hii katika kipindi cha runinga cha Jambo Tanzania cha TBC1, Mrisho Mpoto amedai […]

Read More..

Video: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Harmorap...

Post Image

MPAKA HOME: Msanii chipukizi anayekuja kwa kasi kwenye gemu la muziki wa kizazi kipya Bongo, Harmorapa aliyejipatia umaarufu kutokana na kufanana na msanii kutoka WCB, Harmonize, ameyaanika maisha yake ya kila siku na mpenzi wake ‘Wolper’ baada ya kutembelewa na MPAKA HOME ya Global TV Online. Ungana na mwandishi wetu, Imelda Mtema aliyemtembelea mpaka home kwake. […]

Read More..

Nape Afungukia Sakata la Wasanii wa ‘Unga’

Post Image

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye ameingilia kati na kutaka busara itumike katika zoezi la kutaja wasanii wanaohusika na dawa za kulevya linalofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda Nape ametoa ushauri huo leo Mjini Dodoma wakati akizungumza na wanahabari kuhusu sheria mpya wa huduma za habari, ikiwa […]

Read More..

Hii Ndiyo Safari ya Muziki ya Ray Vanny

Post Image

Msanii Raymond alimaarufu kama Ray Vanny amefunguka na kuweka wazi safari yake ya muziki toka ameanza mpaka kufikia hatua kuingia chini ya usimamizi wa label ya WCB Wasafi chini ya Diamond Platnumz. Ray Vanny kupitia kipindi cha ‘Ngaz kwa ngaz’ kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana anasema mwanzo kabisaa alianza kuandika, akaja kurap kisha […]

Read More..

Wema Sepetu, TID na Wenzao Waendelea Kushik...

Post Image

Wakati macho na masikio ya Watanzania wakisubiri kusikia hatma ya wasanii wanaodaiwa kujihusisha na dawa za kulevya, wasanii wanne waliofika Kituo Kikuu cha Polisi bado wanashikiliwa na jeshi hilo kwa mahojiano zaidi. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema kuwa bado wasanii hao Wema Sepetu, Dogo Hamidu, Khalid Mohamed (TID), […]

Read More..

New Video: Chege Ft Nandy – Kelele Za Chu...

Post Image

Msanii wa muziki Chege Chigunda ameachia video ya wimbo wake mpya, Kelele Za Chura akiwa amemshirikisha Nandy. Video imeandaliwa na Wanene Films chini ya director Destro.    

Read More..

Ray C: Viongozi Wamenipa Moyo Narudi Upya

Post Image

BAADA ya kutumbuiza kwa mafanikio katika kikao cha Kamati ya Ushauri cha Mkoa wa Dodoma (RCC) juzi, mwanamuziki Rehema Chalamila ‘Ray C’, ameweka wazi kwamba yupo mbioni kurudi upya katika muziki wa ushindani kwa kuwa anaamini bado muziki wake una mashabiki wa kutosha. Ray C aliliambia MTANZANIA hayo baada ya kumaliza kutumbuiza nyimbo zake katika […]

Read More..

Harmorapa ni Level Nyingine- P Funk Majani

Post Image

Producer mkongwe na mwenye heshima yake P Funk Majani ameibuka na kumzungumzia huku akimsifia msanii anayeibukia kwa kasi katika bongo fleva, Harmorapa na kusema kuwa rapa huyo ni “level nyingine”. Tangu Msanii Harmorapa ameingia kwenye muziki kwa kuanza kujifafanisha na msanii Harmonize, kila wakati rapa huyo amekuwa akiingia kwenye ‘headline’ mbalimbali na kuzungumziwa na wasanii wengi […]

Read More..

Video: MarryYou by Diamond Platnumz ft Neyo

Post Image

Tazama video mpya kabisa kutoka kwa mkali wa bongo fleva ,Diamond Platnumz akiwa amemshirikisha Neyo msanii kutoka kwa Trump.

Read More..

Kamanda Sirro Amtaja Vee Money Ishu ya Mada...

Post Image

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro amemtaja msanii wa Bongo Fleva, Vanesa Mdee ‘Vee Money‘ kuwa ni miongoni mwa wanaotuhumiwa kuhusika na mtandao wa biashara haramu ya madawa ya kulevya baada ya jina lake kuongezwa kwenye orodha iliyotajwa jana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. […]

Read More..

Pichaz: Wema Sepetu na Wenzake Waitikia Wit...

Post Image

Kufuatia agizo la mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kuwataka baadhi ya mastaa wanaoshukiwa kujihusisha na matumizi na biashara ya madawa ya kulevya kuwasili kituo cha polisi cha kati siku ya leo baadhi ya mastaa wametii agizo hilo na kuwasili. Malkia huyo wa filamu ambaye alikuwa mmoja kati ya wasanii waliotuhumiwa na […]

Read More..

Ben Pol Awaomba Radhi Mashabiki, Kisa Hiki ...

Post Image

Msanii Ben Pol ambaye siku kadhaa zilizopita alikuwa mbogo kwa mtangazaji wa kipindi cha eNewz ya EATV, baada ya kuulizwa maswali kuhusu familia yake hususani mwanamke aliyezaa naye pamoja na mtoto, msanii huyo ameomba radhi kwa kitendo hicho. Kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio Ben Pol amesema kuwa hakutegemea kufanya jambo hilo […]

Read More..

Khadija Kopa Naye Sasa ‘Aisoma Namba’

Post Image

Msanii wa taarab Bongo, Khadija Kopa ni kama naye sasa ‘anaisoma namba’ baada ya kutoa kilio chake juu ya kupungukiwa na mapato yatokanayo na muziki na kutaja sababu mojawapo kuwa ni uamuzi wa serikali kuzuia matamasha ya muziki baada ya saa 6 usiku. Amesema hivi sasa yeye na wenzake wapo katika mpango wa kuongea na mkuu […]

Read More..

Video: Harmorapa Aonyesha Mahela Mtandaoni

Post Image

Msanii wa muziki wa hip hop Harmorapa akiwa bado anaendelea kutrendi katika mitandao ya kijamii, amekuja na mpya kwa kuonyesha mabunda ya hela mtandaoni. Rapper huyo ambaye anafananishwa na msanii kutoka kundi la WCB Rajab Abdulhan ‘Harmonize’, Jumatano hii zimesambaa picha mtandaoni akionyesha kinachompatia jeuri. Kwa habari ambazo bado hazijathibitika zinadai kuwa rapa huyo yupo […]

Read More..

Simu Yawagombanisha Vanessa na Jux

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Vanessa Mdee amefunguka na kuweka wazi kuwa mara nyingi huwa wanagombana na mpenzi wake huyo Jux kutokana na tabia yake ya kuchelewa kujibu jumbe fupi au hata kupokea simu zake. Vanessa Mdee alisema haya kwenye kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana EATV na […]

Read More..

Gigy Apania Kuokoka

Post Image

MUUZA sura kwenye video za Bongo Fleva ambaye pia ni mtangazaji wa Kituo cha Redio cha Choice FM, Gift Stanfod ‘Gigy Money’ hivi karibuni amefunguka kuwa, katika maisha yake, ipo siku ataachana na mambo yote yasiyompendaza Mungu kisha kumtumikia muumba wake. Akipiga stori mbili tatu na Global Publishers, Gigy aliweka wazi kuwa, katika maisha ya […]

Read More..

Linah Amtaja Anayemnyima Usingizi

Post Image

Msanii Linah Sanga amefunguka na kuwataja wasanii ambao wanamyima usingizi na kusema hao ndiyo washindani wake kwenye muziki wa bongo fleva kwa sasa. Linah Sanga alisema hayo kupitia kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ na kudai kuwa licha ya muziki wa bongo fleva kuwa na idadi kubwa ya wasanii wa kike sasa tofauti na ilivyokuwa kipindi […]

Read More..

Video: Baada ya Kuitwa Nyani, Hamorapa Atoa...

Post Image

DANSA mashuhuri kutoka lebo kubwa Bongo ya Wasafi Classic Baby (WCB) ambaye pia ni mzazi mwenza wa Anti Ezekiel, Mose Iyobo, amefunguka kupitia mtandao wa ‘Tweeter’ wa  Hamis Mandi Mtangazaji wa XXL ya Clouds FM baada ya Bdozen ‘Hamis’ kuweka picha akiwa na mtafiti wa wa Nyani (Sokwe) duniani, Jane Goodall, ambapo (Iyobo) alimtaka mtafiti […]

Read More..