-->

Category Archives: BongoFleva

Ommy Dimpoz Afunguka Kuhusu ‘Collabo&...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz ambaye kwa sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Kajiandae’ akiwa na Alikiba amefunguka na kusema hata yeye anaweza kufanya collabo na msanii yoyote yule kutoka WCB. Ommy Dimpoz alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWz cha (EATV) na kusema kwenye muziki kuna wakati unaweza kupata wimbo ambao unahitaji collaboration na msanii fulani ili […]

Read More..

Joslin Atoboa Sababu ya ‘Bifu’ ...

Post Image

Rapa na muimbaji wa muziki wa bongo fleva Joslin ambaye aliwahi kutamba na ngoma kibao kali amefunguka na kusema yeye na rapa Mr Blue walizidiana uwezo kimuziki Joslin akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, amesema hajawahi kuwa na bifu na Mr Blue ila anachojua yeye ni kwamba walizidiana uwezo kwenye muziki kiasi […]

Read More..

Audio: P-Funk Atoa Sababu za Fid Q Kuwa Ndi...

Post Image

Kwa P-Funk Majani, Fid Q ndiye MC mkali kuliko wote duniani. Si Tanzania, si Afrika pekee, Ngosha ni MC mkali dunia nzima. Majani ameimbia Bongo5 kuwa cha kwanza ambacho watu wanapaswa waelewe ni kuwa kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake, ambapo kwa mtazamo wake Fid hana mpinzani duniani kwenye sekta ya uchanaji. “I […]

Read More..

Sina Mpango wa Kubadili Jina – Harmo Rapa

Post Image

Msanii wa bongo flava ambaye ndiyo anaanza kuchipukia, Harmo Rapa, amesema kuwa hana mpango na wala hawezi kubadili jina hilo lililompa umaarufu kwenye muziki kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake. Msanii huyo anatamba na ngoma yake inayokwenda kwa jina la ‘USIGAWE PASI’. ametoa msimamo huo kupitia eNewz ya EATV iliyomtafuta kuzungumza naye kuhusu mpango wa […]

Read More..

Video: Harmonize Amlilia Wolper Kupitia ‘...

Post Image

Mapenzi ni kidonda ukiwaza utakonda. Harmonize ameonyesha bado anamhitaji Jacquline Wolper kwenye himaya ya moyo wake baada ya kupigwa kibuti. Baada ya kusambaa kwa taarifa kuwa wawili hao wamemwagana tena huku Wolper akipigilia msumari kuwa jambo hilo ni ukweli mtupu japo Harmo alikuwa akilificha, sasa muimbaji huyo ameanza kuonyesha kuwa jambo hilo ni kweli. Harmonize […]

Read More..

Tunda Man Afungukia Wimbo Wake wa ‘Mw...

Post Image

Msanii wa muziki Tunda Man amedai alisitisha kuachia wimbo wake mpya ‘Mwanaume Suruali’ kama alivyowaahidi mashabiki wake baada ya rapper Mwana FA kumfuata na kumweleza kuwa ana wimbo ambao unaitwa ‘Dume Suruali’ na tayari ameshashoot na video yake. Muimbaji huyo kabla ya kuachia wimbo wake mpya ‘DebeTupu’ toka mwaka 2016 alikuwa anatangaza kuhusu ujio wa […]

Read More..

Queen Darleen Afungukia Mahusiano Yake na A...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Queen Darleen amefunguka na kusema kuwa hajawahi kutoka kimapenzi na msanii Alikiba kama ambavyo watu wanazungumza na kusema ameshaambiwa anatoka kimapenzi na watu kibao akiwepo hata Diamond Platnumz ambaye ni ndugu yake. Akiongea kwenye kipindi cha eNewz cha EATV, Queen Darleen amesema mara nyingi watu wakiona anakuwa karibu na mtu fulani huwa […]

Read More..

Mastaa 20 wa Kike Bongo Wenye Followers Wen...

Post Image

Mtandao wa Instagram kwa sasa unaonekana kutumiwa zaidi na watu wengi sio Tanzania pekee bali ni dunia nzima kwa ujumla. Ila kwa Afrika mastaa wa Bongo wanaonekana kupata followers wengi zaidi kwenye mtandao huo wakifuatiwa na mastaa wa Nigeria. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Bongo5, tumekuletea awamu ya kwanza ya orodha ya mastaa 20 […]

Read More..

Shilole, Nuh Wadakwa Gesti Wapelekewa Kituo...

Post Image

Wasanii wa Bongo Fleva waliowahi kuwa wapenzi kisha kumwagana, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Naftar Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ wamekutwa katika nyumba ya kulala wageni kisha kukamatwa na kufikishwa kituo cha polisi kwa madai ya utapeli. Zilipendwa hao walikamatwa na Jeshi la Polisi wilayani Kahama katika Mkoa wa Shinyanga katika gesti iitwayo Mongo baada ya Nuh kudaiwa […]

Read More..

AY Afunguka ya Moyoni Kuhusu Joh Makini

Post Image

Msanii mkongwe katika ‘game’ la mziki wa kizaji kipya , Amwene Yesaya ‘AY’ amefunguka na kusema kuwa toka mwaka 2006 mpaka sasa hakuna rapa ambaye ameibuka na kuwa mkubwa zaidi ya Joh Makini. AY amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kudai kuanzia mwaka 2006 baada ya Joh Makini kuingia […]

Read More..

Video Mpya ya Joh Makini – WAYA

Post Image

Mwanamuziki Joh Makini kutoka River Camp Soldiers na Weusi Kampuni ameachia video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Waya. Burudika.  

Read More..

Snura: Natamani Kufanya Shoo, Wimbo au Fila...

Post Image

MWANADADA anayetamba na ngoma ya ‘Shindu’ Mwaga Maji Tucheze Kama Kambare, Snura Mushi (pichani) ameeleza kiu yake ya kutaka kufanya kazi na mwanadada mwenzake Zuwena Mohammed ‘Shilole’ endapo atakuwa tayari. Snura amebainisha hayo usiku wa Jumanne, Januari 24, 2017 wakati akijibu swali kwenye interview ya kipindi cha Redio EFM. Snura amesema kuwa  kwa sasa hana […]

Read More..

Sitatumia Tena Sumu Kuharibu Muonekano Wang...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Ray C amedai ameupenda muonekano wake mpya huku akijipa mtihani wa kujizua kurudi katika mambo ambayo yalimpelekea kuupoteza muonekano wake mzuri wa mwili. Muimbaji huyo hivi karibuni amekuwa akipost picha zake mpya ambazo zinamuonyesha akiwa na muonekano mzuri hali ambayo imewafanya mashabiki wake katika mitandao ya kijamii kuona kweli mrembo huyo […]

Read More..

Lulu Aanika Kilichofanya Amwage Nay wa Mite...

Post Image

Muuza sura kwenye video za Kibongo na msanii mpya wa bongo Fleva, Lulu Abbas maarufu ‘Lulu Diva’ amefunguka na kuweka wazi kuwa aliamua kumuacha rapa Nay wa Mitego kutokana na tabia zake za hapa na pale. Lulu Diva aliyasema hayo kwenye kipindi cha Planet Bongo ya EATV na kudai kuwa alimua kufikia maamuzi hayo kutokana na […]

Read More..

Shilole Awafungukia Wanaolalamika Hali Ngum...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Zuhena Mohammed alimaarufu kama Shilole amefunguka na kuwapa neno baadhi ya vijana ambao wamekuwa wakilalamika juu ya hali ngumu ya maisha huku wengi wao wakiitupia lawama Serikali ya awamu ya tano. Shilole kupitia mtandao wake wa Instgram amesema amewachana baadhi ya vijana hao na kusema wamekuwa wakilalamika kuwa kuna […]

Read More..

Madee Amchana ya Nay wa Mitego

Post Image

Msanii wa Bongo fleva kutoka kitaa cha Manzese ambaye ndiye anayetambulika kama Rais wa Manzese, Madee, amemchana mwenzake kutoka kitaa hicho, Nay wa Mitego kwamba hana uwezo wowote kweny muziki. Madee akiwa kwenye kipindi cha FNL cha EATV ambacho huruka LIVE kila Ijumaa Saa 3:00 usiku, aliamua kujibu mashambulizi ya Nay kwa kumrushia makombora mazito […]

Read More..

Usichokijua kwenye remix ijayo ya Aje ya Al...

Post Image

Aje ni wimbo wa Alikiba uliompa mafanikio makubwa mwaka jana ikiwemo tuzo kadhaa za video bora ya mwaka ikiwemo ile ya Soundcity MVP Awards. Baada ya kuwepo version yenye verse toka kwa rapper Jude ‘M.I’ Abaga aka Mr Chairman wa Nigeria iliyovuja hata kabla ya official video, mashabiki walikuwa wamekaa tamaa kuwa hakutokuwepo na official […]

Read More..

New Video: Madee – Hela

Post Image

Tazama video ya wimbo wa Madee, Hela iliyoachiwa Jumamosi hii.

Read More..