-->

Category Archives: BongoFleva

Salama Apata Shavu Kuwa ‘HOST EATV AW...

Post Image

Mtangazaji maarufu wa runinga ambaye ni rafiki na kipenzi cha wengi Salama Jabir ataandika historia sambamba na kampuni EATV LTD baada ya kupata nafasi ya kipekee ya kuwa ‘HOST’ wa tuzo za kwanza za EATV Sherehe hizo za utoaji wa tuzo ambazo ni kubwa zaidi Afrika Mashariki na zinafanyika kwa mara ya kwanza , zitatolewa […]

Read More..

Idris Aingilia Bifu la Diamond, Dimpoz, Kib...

Post Image

WAKATI gumzo la mvu­tano na kutupi­ana vijembe kwa wasanii watatu, Diamond Plat­numz, Ommy Dimpoz na Ali Kiba likiendelea, mshindi wa shindano la Big Brother Afrika 2014, Idris Sultan naye ametoa neno kuhusiana na hicho kina­choendelea. Wasanii hao wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba‘King Kiba’ na Omari Nyembo ‘Ommy Dimpoz ’ wamekuwa  wakionekana kuwa karibu siku […]

Read More..

Jokate Afunguka Sababu za Ukimya Wake

Post Image

Msanii wa bongo fleva na mdau wa urembo nchini Tanzania Jokate Mwegelo ameelezea sababu ya kukaa muda mrefu bila kutoa nyimbo ikiwa tayari ana nyimbo zaidi ya tatu japo aliahidi  kurudi tena mwishoni mwa mwezi huu. Akiongea ndani ya eNewz Jokate amesema kuna mipango ambayo wanaiweka sawa hivyo mashabiki zake wasubiri kwani tayari ana nyimbo nyingi ambazo ameshazirekodi na […]

Read More..

Gigy Money Adai Alikiba Alikuwa Anamhonga V...

Post Image

Video queen Gigy Money amedai kati ya wanaume wake wote hawezi kumsahau Alikiba, kwani muimbaji huyo wa Aje ndiye mwanaume wake ambaye alikuwa anamhonda vizuri kuliko wanaume wake wengine. Akiongea na Bongo5 wiki hii, Gigy amedai aliweza kusoma kutokana na pesa ambazo alikuwa akihongwa na muimbaji huyo. “Mimi kuwa naye nilikuwa napata kitu sikuwa pale […]

Read More..

Shilole Akanusha Kumfahamu Msanii Huyu

Post Image

Msanii wa bongo fleva Shilole amesema hajawahi kuwa na msanii zaidi ya Gaucho katika kampuni yake ya Shilole Entertainmet na hamfahamu wala kumjua Mona Star. Akiongea kupitia eNewz Shilole amesema Gaucho ni mdogo wake na hajawahi kuwa na mahusiano yeyote ya kimapenzi zaidi ya mahusiano ya kikazi na swala la mapenzi haliwezi kutokea baina yao kwa […]

Read More..

Jaydee Kuweka Wazi Kuhusu Ndoa Yake

Post Image

KUFUATIA sintofahamu kwa mashabiki wake kuhusiana na tetesi za kufunga ndoa na kwenda mapumziko visiwani Zanzibar, mwanamuziki, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ anatarajia kuweka wazi suala hilo hivi karibuni. Akizungumza na MTANZANIA jana, Meneja wa mwanamuziki huyo, Seven Mosha, hakutaka kuzungumzia suala hilo, huku akisisitiza kwamba Lady Jaydee mwenyewe ataliweka wazi suala hilo hivi karibuni. “Habari […]

Read More..

Wasanii wa Hip Hop Hatuna Hela – Youn...

Post Image

Msanii wa Hip Hop nchini Young Killer amesema sababu zinazopelekea wasanii wa hip hop nchini kutokuwa na bifu ni kutokana na mafanikio madogo wanayoyapata kupitia muziki.   Akiongea kupitia eNewz  Killer amesema hakuna msanii wa hip hop mwenye mafanikio ya kupata show ya milioni 10 hivyo wanakosa cha kujitambia na ukizingatia bifu nyingi husababishwa na mafanikio […]

Read More..

Trey Songz Amenipa ‘Kiki’ Hadi ...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva, mwanadada Vanessa Mdee a.k.a Vee Money, amefunguka na kueleza faida alizopata kwa kuwa karibu na nyota wa muziki nchini Marekani Trey Songz. Akiwa katika kipindi cha FNL cha EATV, Vanessa alitakiwa kueleza faida alizopata kutokana na skendo zilizovuma siku za hivi karibuni kuwa alitoka kimapenzi na Trey Songz kipindi walipokuwa […]

Read More..

Muhogo Mchungu Anatudai – Solid Groun...

Post Image

Kundi la muziki wa bongo fleva Solid Ground Family ambao wameanza kitambo kwenye game ya muziki na mpaka sasa wapo kwenye game, wamekiri kitendo cha kumdhulumu muigizaji mkongwe wa filamu Muhogo Mchungu. Wakizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, wamesema deni hilo la Muhogo mchungu walilipata wakati wanaenda kufanya shooting ya video ya Bush Party’ […]

Read More..

Alikiba Aicheka Kauli ya Diamond Kuhusu Pet...

Post Image

Kama una kumbuka  kauli ya Diamond aliyoitoa wiki iliyopita kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM kuhusu pete ya kijani ambapo Diamond alisema “Mimi sina matatizo na watu ndio maana wakijaribu kushindana na mimi huwa wanashindwa. Hata ukiniangalia sina hata pete ya kijani kwenye vidole vyangu.” Kumbe alikuwa amerusha jiwe gizani kwa upande wa pili. Inawezekana […]

Read More..

Madee Ajibu Tuhuma Zinazomkabili Babu Tale

Post Image

Msanii Madee ambaye ni miongoni mwa wasanii viongozi wa Tip Top inayosimamiwa na Babu Tale, amejibu tuhuma za meneja wao huyo kuitelekeza Tip Top na kuegemea zaidi kwa Diamond Platnumz. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Madee amesema hawezi kupinga maneno yaliyopo mtaani kwani ni kitu kinachoonekana kwao, lakini ukweli ni kwamba Babu Tale […]

Read More..

Wema Sepetu Ampongeza Ommy Dimpoz

Post Image

Baada ya hapo jana Ommy Dimpoz kufunguka kiundani kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM kwa kuelezea kilichopelekea akosane na rafiki yake wa zamani, Diamond Platnumz – Wema Sepetu amempongeza kwa kile alichokifanya. Malkia huyo wa filamu nchini, amempongeza hitmaker huyo wa Kajiandae kwa kumsifia kuwa ni mpole na mwenye busara ila alipenda kile alichokifanya […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kisa cha Kukosana na D...

Post Image

Katika interview ndefu aliyofanyiwa Alhamis hii kwenye kipindi cha XXL kupitia Clouds FM, Ommy Dimpoz amefunguka kwa kina visa na mkasa vilivyopelekea akosane na swahiba wake wa zamani, Diamond Platnumz.   Ommy amelazimika kusimulia hayo baada ya Jumatano kupitia kipindi hicho hicho, Diamond kuelezea uhusiano wao na jitihada ambazo Ommy amewahi kuzifanya ili kuomba wayamalize. […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Achana na Mimi Wewe Wema Sepe...

Post Image

MASTAA wawili waliokuwa mashosti siku za nyuma, Aunty Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’ wameingia kwenye msuguano tena hivi karibuni huku hali ikionesha kuwa mastaa hao kwa sasa ndiyo basi tena. Hali hiyo imetokea juzi baada ya Aunty kuweka picha ya kumtakia siku njema ya kuzaliwa rafiki na msanii mwenzake, Maimartha Jesse kwa kuandika, “Happy bday […]

Read More..

Bongo fleva Haitapoteza Muziki wa Dansi ...

Post Image

Msanii wa dansi nchini Tanzania Nyoshi amesema muziki wa bongo fleva haujaua soko la muziki wa dance nchini ila kwa sasa kuna baadhi ya wadau wa radio na televisheni wameamua kusapoti muziki wa bongo fleva zaidi. Akiongea ndani ya eNewz Nyoshi amesema bendi nyingi zinatoa nyimbo kwa wakati lakini ukipeleka nyimbo kwenye televisheni na radio hazipigwi […]

Read More..

Chemical Awajibu Wasioamini kuwa Yeye ni Bi...

Post Image

Rapper wa kike mwenye swaga za hatari Chemical amesema anashangazwa kwa kitendo cha baadhi ya watu wanaompinga kuwa hajawahi kufanya mapenzi. Hitmaker huyo wa ‘Am Sorry Mama’ amekiambia kipindi cha Kubamba cha Times FM, kuwa aliwahi kuwa na mpenzi lakini waliachana kwa kuwa alikuwa na haraka ya kufanya mapenzi. “Sijawahi kufanya mapenzi hata siku moja. […]

Read More..

Meneja Maneno Naye Atafuta Meneja wa Kumsim...

Post Image

Msimamizi wa siku nyingi wa wasanii wa Muziki Tanzania Meneja Maneno amesema anatafuta mtu wa kufanya naye kazi kama meneja wake kwa sasa. Amesema anatafuta meneja kwa kuwa mbali na kwamba bado yuko kwenye kitengo cha umeneja katika ofisi yake na bado anasimamia baadhi ya wasanii kama vile Nay wa Mitego, kwa sasa na yeye […]

Read More..

Marlaw Apata Mtoto wa Tatu

Post Image

MKONGWE wa Muziki wa Bongo Fleva, Lawrence Malima ‘Marlaw’ amepata mtoto wa tatu kutoka kwa mkewe ambaye pia ni msanii, Besta Rugeiyamu ‘Besta’. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na wasanii hao ambacho hakikupenda jina lake lichorwe gazetini, Besta alijifungua tangu Novemba 10, mwaka huu mtoto wa kike. “Kwa sasa wapo na furaha kwa kupata […]

Read More..