-->

Category Archives: BongoFleva

Bifu: Filamu Aliyocheza Fid Q Ambayo Hataki...

Post Image

Kabla ya kupata tobo na kuwa mmoja wa wana hip hop wanaoheshimika zaidi Tanzania, Fid Q aliwahi kufanya mishe mishe mingi ikiwemo kuwa muigizaji wa ‘bongo movie.’ Yeye na Sugu waliigiza filamu ya maisha ya muziki iitwayo Bifu. Kutokana na kuwa na kiwango cha chini, Fid Q hataki uione filamu hiyo kwakuwa anahisi kwa alipofika […]

Read More..

Hizi Team Kiba, Diamond ni Sumu

Post Image

KAMA una simu inayoweza kufungua mitandao ya kijamii, basi ukizubaa utakuwa na bahati ya kushuhudia madudu tu na simu hiyo haitakuwa na faida kwako hata kidogo. Mitandaoni kuna mambo mengi sana yanaendelea na hayana maana hata kidogo ingawa wanayoyaendeleza huamini wana uwezo mkubwa wa kuzungumza mambo na wanachosema ni sahihi hasa. Kwenye Facebook, Instagram na […]

Read More..

Mwanaume Lijali Hawezi Kuishi kwa Mwanamke ...

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anafanya vizuri wa wimbo wake wa ‘Rarua’ Malaika amefunguka na kusema kuwa hakuna mwanaume lijali na mwanaume aliyekamilika ambaye anaweza kuishi kwenye nyumba ya mwanamke. Malaika alisema hayo kupitia kipindi cha ujenzi kinachorushwa na EATV alipokuwa akionesha hatua iliyofikia nyumba yake hiyo na kudai kuwa haamini […]

Read More..

Bado Nipo Kwenye ‘Game’ – Soggy

Post Image

Mwana hip hop ambaye amewahi kuishika game ya bongo fleva miaka ya nyuma, Soggy Doggy Hunter, amesema hajaacha muziki, licha ya kutosikika akitoa kazi mpya kwa kipindi kirefu. Soggy amewatoa shaka wapenzi wa bongo fleva, alipokuwa akizungumza na EATV, ambapo amedai kuwa kila siku anaandika ngoma ngoma mpya na kwamba hadi sasa ana ngoma zaidi […]

Read More..

Banana Zorro Afungukia Singeli

Post Image

Hakuna ubishi kuwa muziki wa Singeli umeteka vichwa vya mashabiki wengi kwa sasa nchini. Banana Zorro amefunguka juu ya matarajio ya kufanya muziki huo. Muimbaji huyo ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa ana uwezo wa kufanya muziki huo lakini kwa sasa hajafikiria kuufanya. “Mimi nina uwezo wa kufanya kila muziki, lakini Singeli kwangu kwa sasa sijafikiria […]

Read More..

Collabo Yangu na Jay Dee Inakuja – Diamond

Post Image

Baada ya kilio cha muda mrefu kutoka kwa mashabiki waliotamani kuona Diamond Platnumz na mwanadada Lady Jay Dee wakifanya kazi pamoja, wakali hao wa bongo fleva huenda wakaja na ‘collabo’ ya hatari, siku chache zijazo. Hatua hiyo inatokana na msanii Diamond kufunguka kuwa hakuna sababu yoyote inayowakwamisha kufanya kazi ya pamoja, isipokuwa muda na ratiba […]

Read More..

Msaga Sumu: Mimi ndiye mwanzilishi wa Singe...

Post Image

Muimbaji nguli wa muziki wa Singeli, Msaga Sumu amedai kuwa yeye ndiye mwanzilishi wa muziki huo hapa nchini. “Mimi ndiye mwanzilishi wa singeli, nimeipigania sana toka enzi za vigodoro kabla havijapigwa marufuku. Nilikuwa naloop beat za taarabu hadi akina Mzee Yusuph walitaka kunishtaki, nimepigana hadi leo hii imefikia hapa,” amekiambia kipindi cha Friday Night Live […]

Read More..

MTVMAMA2016: Diamond, Alikiba, Vanessa Mdee...

Post Image

Tanzania imetoka kapa kwenye tuzo za MTV MAMA 2016 zilizofanyika usiku wa Jumamosi hii jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Diamond, Alikiba, Vanessa Mdee, Raymond, Navy Kenzo na Yamoto Band walikuwa wametajwa kuwania tuzo hizo. Wizkid alikuwa man of the night Ulikuwa ni mwaka wa Wizkid aliyeibuka na tuzo nyingi zaidi, ikiwemo ya msanii bora wa mwaka. […]

Read More..

Mastaa wa Kike Kutoka Familia za Mboga Saba

Post Image

NAIJUA familia ya mboga saba? Wengine wanapenda kuwaita watoto wa kishua ama familia bora. Hii ikiwawakilisha watoto wanaozaliwa kwenye familia yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi, kiasi cha kutumia mlo mmoja ukiwa na mboga tofauti na zinazobadilishwa kila uchao. Ndio, kuna familia nyingine bhana mlo unakuwa na mboga moja na huwa ni hiyo hiyo deile mpaka […]

Read More..

Msami Amtolea Povu Barakah The Prince Kuhus...

Post Image

Msanii wa muziki na mwalimu wa dance, Msami Giovani anayefanya vizuri na wimbo wake ‘Step by Step’ amesema Barakah The Prince bado hana nguvu ya kuwa mume wala kuwa mchumba wa Najma. Ametoa kauli hiyo baada ya Barakah kumtukana Msami baada ya kukoment katika akaunti ya Instagram ya Naj. Akiongea na E-News ya EATV, Msami […]

Read More..

Dogo Janja Afungukia Kuoa

Post Image

SIKU chache baada ya Mbongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ kufunga ndoa, mwanamuziki mwenzake, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ (pichani juu) ameibuka na kumpongeza huku akieleza kuwa naye yupo mbioni kufuata nyayo zake. Dogo Janja amefunguka kuwa Tunda Man ameushinda ujana, kitendo kinachomfanya yeye kutamani kufikia hatua hiyo, endapo mambo yataenda vyema, Februari mwakani itakuwa zamu […]

Read More..

Lulu Diva, Amber Lulu Hakuna Bifu

Post Image

Muuza sura kwenye video za Kibongo, Lulu Abass ‘Lulu Diva’ (pichani juu) na mwenzake Amber Lulu (pichani chini) hawana bifu lolote isipokuwa kuna watu wana mpango wa kuwagom-banisha. Akichonga na Risasi Vibes, Lulu Diva alifunguka kuwa awali aliposikia kuwa Amber alimpaka matope kwenye ‘interview’ aliyofanya na redio fulani Bongo, alipaniki na kumtafuta ili amueleze kulikoni, […]

Read More..

Nikki wa Pili Aonesha Utofauti Wake na Joh ...

Post Image

Nikki wa Pili ambaye hivi sasa bado anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Sweet Mangi’ amefunguka na kusema kuwa kimuziki kati yake yeye na Joh Makini kwa mtazamo wake yeye anaona kuwa Joh Makini amemzidi mbali sana katika sanaa. Kutokana na hilo, Nikki amewataka watu watambue kuwa Joh Makini ana kipaji kikubwa zaidi yake na […]

Read More..

‘Ustaa Kwenye Tiba ya Dawa za Kulevya Laz...

Post Image

IMEKUWA kama ‘fasheni’ kwa mastaa ambao wanatumia dawa  mbalimbali za kulevya kusikia anapata tiba, anaendelea vizuri na kuja na kazi mpya, lakini baada ya muda unasikia amerudia tena kwenye utumiaji wa dawa na inaaminika kuwa nguvu kazi ya taifa inapotea. Kwanini nasema imekuwa ‘fasheni’, tumeona au kusikia baadhi ya mastaa wameibuka kuwa wanatumia dawa au […]

Read More..

Vee Money Afungukia Kukutana na Michelle Ob...

Post Image

Oktoba 11, ilikuwa ni Siku ya Msichana Duniani, ambapo jarida maarufu Marekani, liitwalo Glamour, lilifanya majadiliano maalumu yaliyopewa jina la Brighter Future: Global Conversation On Girls’ Education ambapo ‘first lady’ wa taifa hilo Michelle Obama alizungumza na wasichana duniani kote kuhusiana na umuhimu wa elimu kwa mtoto wa kike kupitia njia ya mtandao. Kwa upande […]

Read More..

Singeli Imenipa Nyumba na Gari – Man Fongo

Post Image

Msanii wa muziki wa Singeli nchini Man Fongo amefunguka na kusema anashangaa mafanikio makubwa ambayo ameyapata ndani ya muda mfupi kupitia muziki wa Singeli hususani kupitia kazi yake ya ‘Hainaga ushemeji’ ambayo imemtambulisha vyema kwa jamii. Man Fongo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya EATV alisema kuwa muziki huo umebadilisha maisha yake ndani ya muda […]

Read More..

Z Anto:Nawakubali sana Alikiba na Dully Sky...

Post Image

Msanii Z Anto ambaye kwa sasa yupo katika mchakato wa kutaka kurudi kwenye muziki wa Bongo Fleva amefunguka na kusema kuwa katika wasanii wa Bongo Fleva anaowakubali na kuwaheshimu ni Alikiba pamoja na Dully Skyes. Z Anto alisema hayo jana alipokuwa kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio ambayo kwa jana ilikuwa ikiruka […]

Read More..

Ushauri wa King Crazy GK kwa Diamond Platnu...

Post Image

Rapa mkongwe katika tasnia ya muziki wa Bongo King Crazy GK amefunguka na kutoa ushauri kwa msanii Diamond Platnumz na kumtaka kuwa na kitu kingine kwa sasa nje ya muziki kwa kuwa muziki una kawaida ya kupanda na kushuka. Amesema hiyo itamsaidia endapo ikitokea muziki umeshuka upande wake, aendelee kunufaika na kuingiza pesa kwa miradi […]

Read More..