-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Nataka Nirudi Shule – Jackline Wolper

Post Image

Muigiza wa Filamu Bongo, Jackline Wolper amedai anataka kurudi shule mara baada ya kuona picha za Jux alizopiga katika mahafali yake ya kumaliza elimu ya juu nchini China. Wolper kupitia instagram ameandika, “nimekumbuka mbali kweli nilivyoiona hii picha, nakumbuka siku hizo mwenyewe ndo nakupeleka airport unaenda kuanza kusoma mpaka na mimi nilitamani kuwa mwanafunzi ili […]

Read More..

Joketi Mwegelo Anavyotamani Watoto Mapacha

Post Image

MWANAMITINDO na msanii maarufu nchini, Joketi Mwegelo, ameweka wazi kuwa anatamani kuwa na watoto mapacha katika maisha yake. Joketi aliweka wazi hayo alipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, BINGWA, DIMBA na Rai, zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam. Joketi ameweka wazi kwamba mwanamume atakayekuwa mume wake atamuweka wazi hivi […]

Read More..

Chriss Mhenga Chimbuko Bongo Movie (Sehemu ...

Post Image

Inaendelea ilipoishia ….. Na bado anaamini kuwa makundi ndio kila kitu kuliko kumchukua msanii moja huku mwingine kule kwani kila mtu anavyokuja anakuja kwa ajiili ya kazi hiyo tu hana muda wa kumsikiliza mtayarishaji au muongozaji vitu vingine vya ziada, watarekodi na kusambaratika hadi kazi nyingine. Sanaa ni taaluma ni lazima wasanii kila siku wawe […]

Read More..

Odama Kuuza Mwenyewe Kazi Zake

Post Image

KUTOKANA na ugumu wa soko la filamu nchini lililosababisha wasambazaji wengi kuachana na kazi hiyo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ atauza kazi zake mwenyewe. Akipiga stori na Za Motomoto News, Odama alisema mara tu baada ya kumalizika kwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ataanza kusambaza kazi yake mpya aliyofanya hivi karibuni kwani kwa ugumu wa sasa […]

Read More..

Chriss Mhenga Chimbuko Bongo Movie (Sehemu ...

Post Image

UNAPOONGELEA tasnia ya filamu Bongo ni lazima uanzie kwenye michezo ya kuigiza kwani wanaong’ara na kufanya vizuri asilimia kubwa walikuwa ni waigizaji kutoka katika kundi la Kaole Sanaa Group, lakini si wengi ambao wanamtambua muasisi na mzalishaji wa vipaji hivyo huyu si mwingine ni Chrissant Mhenga. Uncle Chriss kama wengi wanavyomjua ni Baba wa familia […]

Read More..

Endapo Ben Pol akinikataa, ‘Nitajiua kwa ...

Post Image

Aliyesema mahaba niue hakukosea kabisa kwani hii imekuja kujidhihirisha kwa mchekeshaji mrembo Ebitoke ambaye karibia mwezi mmoja sasa anahangaika kuwinda penzi la Ben Pol. Ebitoke amesema kwa sasa mahaba yake yote yapo kwa Ben Pol na endapo atashindwa kupata penzi lake basi yupo tayari kupoteza uhai wake. “Hapana Ben Pol hawezi kuacha kuwa na mimi, […]

Read More..

Bongo Movie ni Muda Wetu wa Kurelax – Aun...

Post Image

Muingiza Aunt Ezekiel amesema Bongo Movie haijafa ila ni muda wao wa kupumzika ili kujipanga. Mrembo huyo amefafanua kuwa hiki ni kipindi cha wao kujipanga na wale wanaofikiri Bongo Movie haitarejea katika kiwango chake wanakosea. “Bongo Movie tunaweza kusema ni kama maisha ya binadamu, kuna time analala, anaamka, anapika, so kunakuwa na kazi tofauti tofauti. […]

Read More..

Ebitoke: Ben Pol Akinikataa, Usichana Wangu...

Post Image

TASNIA ya ucheshi nchini imekuwa na idadi ndogo ya wachekeshaji wa kike, hali kadharika wa kiume wamekuwa wakikumbana na changamoto kadhaa zinazopeleka sanaa yao kutotiliwa uzito mkubwa licha ya umuhimu wake, angalau kwa sasa tunaweza kuona wachekeshaji wa kisasa wakiingiza fedha ndefu. Wiki za hivi karibuni mchekeshaji wa kike, Ebitoke amekuwa kwenye vinywa vya wapenda […]

Read More..

Gabo: Najengea Daraja la Kuelekea Mafanikio...

Post Image

Dar es Salaam. “Aliyeanzisha virusi kwenye simu, kompyuta, bila shaka alitafuta suluhisho la virusi hivyo akapata tiba yake (anti virus). “Kwa sababu waigizaji ndiyo chanzo cha kufika hapa filamu zilipo, hatuna budi pia kutafuta suluhisho la tatizo, ” Hivyo ndivyo anavyoanza kueleza mwigizaji Gabo Zigamba. Gabo anasema mashabiki wa filamu licha ya kupenda burudani wamechoshwa […]

Read More..

Dokii Afungukia Kurudi Kuigiza Vichekesho (...

Post Image

Mwimbaji na msanii mkongwe wa maigizo Tanzania Dokii ameamua kurudi kwenye uigizaji kwa namna ya pekee baada ya kugeukia vichekesho ambapo mara hii ameungana na Timamu na mchekeshaji Mpoki. Kwenye EXCLUSIVE Interview na Ayo TV Dokii amekiri kuwa kimya kwa muda mrefu akifanya biashara tofauti ya muziki na uigizaji lakini sasa ameamua kurejea akigeukia vichekesho. […]

Read More..

Gabo Amkana Wema Sepetu

Post Image

Muigizaji anayesadikika kuwa ni pendwa wa kiume hapa nchini Tanzania, Gabo Zigamba amekanusha tetesi zinazoendelea kuhusu kuwa na uhusiano wa kimapenzi baina yake yeye na Muigizaji Wema Sepetu walipokuwa wakitengeneza filamu mpya ya Kisogo. Akiwa jana kwenye kipindi cha FNL cha EATV, Gabo aliweka wazi kuwa maneno ya kuzushiwa kati yake na malkia huyo wa […]

Read More..

Ray Kigosi Alia na Yanga, ‘Tumuombe Manji...

Post Image

Muigizaji wa Filamu nchini, Ray Kigosi amesema uongozi wa klabu ya Yanga ni vema ukafanya utaratibu wa kamrejesha aliyekuwa Mwenyekiti wao, Yusuph Manji ili timu hiyo iwezi kupata maandalizi mazuri kwa ajili ya msimu ujao wa ligi na kusajili wachezaji wazuri ili wafanye vizuri katika mashindano ya kimataifa. Kupitia mtandao wa instagram Ray amendika, “Nakumbuka […]

Read More..

Gabo Zigamba Ajinadi Kuikomboa Filamu

Post Image

Muigizaji Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ amefunguka kwa kudai kwamba ameamua kujitolea kufa na kupona ili kunusuru tasnia ya filamu isonge mbele kwa kutumia Teknolojia ya simu  ambayo itawasaidia Watanzania kupata filamu bure na kwa urahisi. Gabo amedai hayo wakati akizindua filamu yake ya ‘Kisogo’ kwamba ameamua kutoa sehemu ya maisha yake ili kuikomboa tasnia ya […]

Read More..

“He! Mimi? Mjamzito?”-Uwoya

Post Image

DAR ES SALAAM: Sexy lady wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krish’ amefungukia madai kuwa, kwa sasa ametengeneza urafiki wa muda na ndimu, samaki wabichi na ukwaju kwa kinachosemekana ni mjamzito. Huku akionesha kushtushwa na habari hizo zinazoenezwa bila kutaja mhusika wa kibendi hicho, Uwoya alikuwa na haya ya kusema: “He! Mimi? Mjamzito? […]

Read More..

Snura Afungukia Ajali Yake!

Post Image

SIKU chache baada ya kupata ajali mbaya, staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi amefunguka jinsi alivyonusurika kifo huku akimshukuru Mungu kwa kumtoa salama kwani mauti yalikuwa nje nje. Awali, chanzo kilichokuwa eneo la tukio, kilieleza kuwa Snura alikuwa kwenye mwendo wa kasi na kushi-ndwa kukata kona iliyopo maeneo ya Cocacola Mikocheni na kusaba-bisha […]

Read More..

Kesi ya Wema Sepetu Yapigwa Kalenda

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeharisha kesi ya kutumia dawa za kulevya aina ya Bangi inayomkabili Msanii wa filamu, Wema Sepetu na wenzake hadi Julai 10, mwaka huu. Wakili wa Serikali, Elizabeth Mkunde Jumatano hii alimueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Godfrey Mwambapa kuwa shauri hilo lilipaswa kuanza kusikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Thomas Simba lakini […]

Read More..

Filamu ya Kisogo ya Gabo na Wema Sepetu Kur...

Post Image

FILAMU ya Kisogo ya mwuigizaji nyota Bongo imekamilika na inatarajia kuonekana Dunia kote kwa njia ya kisasa kabisa akiongea na FC Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ anasema kuwa sinema ya Kisogo imetengenezwa katika teknolojia ya kimataifa na hivyo itaweza kubadilisha soko la filamu Bongo na kuweza kufika katika anga za kimataifa kwani ni kazi yenye mvuto […]

Read More..

Rose Ndauka: Msiwasamehe Wanaowanyanyasa Ki...

Post Image

STAA wa filamu za bongo, Rose Ndauka, amewatahadharisha wanawake wenzake kwamba wasiwasamehe wanaume wanaowanyanyasa kimapenzi ndani ya nyumba zao, kwa kuwa kufanya hivyo ni kujinyima haki kisheria. Rose alisema mwanamke anayejielewa hatakubali kunyanyasika awapo kwenye ndoa yake na anayeogopa ni yule asiyejitambua, bali anaishi ilimradi kaolewa. “Huwa nachukizwa sana na mwanamke anayekubali kunyanyaswa katika ndoa […]

Read More..