-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Majay Birthday: Lulu Amwambia Majay ‘I th...

Post Image

Leo ni siku ya kuzaliwa ya CEO wa EFM, Majay, ambapo wadau mbalimbali pamoja na watu wake wa karibu wanamtakia heri ya mafanikio katika maisha yake. Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye anadaiwa kuwa kwenye mahusiano na bosi huyo, amekuwa ni mmoja kati wa watu waliomtumia ujumbe wa heri ya mafanikio huku ujumbe wake ukionyesha ukaribu wa […]

Read More..

Shirikisho la Filamu Lazipokea ‘EATV ...

Post Image

Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) limezipokea EATV AWARDS kwa mikono miwili na kutoa baraka zake, huku wakisema ni jambo jema kwa tasnia ya filamu kwa sasa, ukizingatia tasnia hiyo kwa sasa inapigana iweze kwenda mbele zaidi. Akizungumza na mwandishi wa EATV Mwenyekiti wa Shirikisho hilo, Simon Mwakifwamba, amesema tuzo hizo zitasaidia kuleta changamoto kwenye tasnia, […]

Read More..

Aunty Ezekiel Afunguka Sababu ya Yeye Kujia...

Post Image

Nyota wa filamu nchini Aunty Ezekiel amefunguka kuwa kipindi cha nyuma kabla ya kuwa na mahusiano na Mose Iyobo na kabla ya kupata mtoto alikuwa akijiachia sana kwa lengo la kutafuta kiki na wala hakuwa na woga wa kufa kwani hakuwa anategemewa na mtu. Aunty Ezekiel alisema hayo kwenye kipindi cha eNewz na kudai kuwa […]

Read More..

Shilole Atoboa Siri ya Kupenda Vijana Wadog...

Post Image

Mwanamuziki wa Bongo flava ambaye ana vimbwanga kila siku kwenye mitandao ya kijamii kwa skendo ya kutoka na vijana walio chini ya umri wake amefunguka na kusema asipangiwe ni nani wa kuwa naye. Akiongea mbele ya Camera za eNewz, Shilole amesema mashabiki wanahitaji yeye awe na mzee lakini yeye haoni haja ya kuwa na mzee […]

Read More..

Aunty Ezekiel Afunguka Kuhusu Mipango ya Nd...

Post Image

Nyota wa Bongo Movie Aunty Ezekiel amesema hayuko tayari kuolewa kwa sasa, na kwamba bado hajafikiria kuolewa kwa kuwa suala la ndoa linahitaji maandalizi ambayo dbado hajayafanya kwa sasa. Miongoni mwa story ambazo zilibeba headline juma lililopita, ni pamoja na issue ya mwana tasnia ya filamu nchini, Shamsa Ford kuolewa na mjasiriamali Rashid maarufu kwa […]

Read More..

Wasichana Kunigombania Siyo Dhambi – Stev...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere amedai wasichana kugombana kwa ajili ya staa ni jambo la kawaida hivyo yeye ashangai kusikia bado kuna wasichana wanagombana kwa ajili yake. Akiongea katika kipindi cha Uhondo cha EFM wiki hii, Steve Nyerere amedai ameshazoea kusikia wasichana wakigombana kwa ajili yake. “Unapozungumzia kuna watu waligombana kwa ajili yangu, kwangu […]

Read More..

Mastaa Walivyoweka Ustaa Pembeni Kwenye Har...

Post Image

INAWEZEKANA huu mwaka ukawa ni mwaka uliovunja rekodi kwa mastaa wengi kuingia kwenye mapenzi ya ndoa. Haina shaka kwa sababu inaonekana wazi wasanii wa kiume wameamua kuoa na wasanii wakike nao wameamua kuolewa. Nyota mbalimbali kutoka kwenye tasnia ya muziki na filamu kama vile Roma, Baghdady, Manecky, Ricardo Momo, Menina, Mr Blue, Masanja Makandamizaji wote […]

Read More..

Nitafunga Ndoa Januari-Steve Nyerere

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere aliwasurprise baadhi ya wasanii wenzake wa filamu katika harusi ya Shamsa Ford baada ya kutangaza anaoa mwezi januari mwakani. Akitoa neno kwa niaba ya wasanii wenzake katika harusi ya Shamsa Ford iliyofanyika Sinza Afrikasana Ijumaa iliyopita, Steve Nyerere aliwaabarisha wasanii wenzake kuwa ataoa Januari 2017. “Mimi sina maneno mengi […]

Read More..

Shamsa Ford Afunguka Siri ya Kupata ‘Mume’

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford ambaye amefunga ndoa na mfanyabishara Chidi Mapenzi wiki iliyopita amefunguka na kutoa chanzo cha yeye kukutana na mpenzi wake huyo ambaye amefunga naye ndoa na kusema chanzo kilikuwa ni chakula. Shamsa ford anasema kuwa siri ya mahusiano aijuae ni Mungu kwani yeye alikuwa anapita karibu kila siku kwenye duka […]

Read More..

Nani wa Kuiokoa Bongo Muvi?

Post Image

HALI ya soko la filamu nchini ni tete. Hakuna mwenye uthubutu wa kutamba tena hadharani kuwa eti sinema za Kibongo zinalipa (ingawa awali zilikuwa hazilipi sana). Zinatolewa sababu nyingi; eti mastaa ni walewale, wachanga hawapati nafasi ya kutoka ndiyo maana soko limeshuka. Sababu dhaifu kabisa. Nani alikuwa anamjua Rose Ndauka kabla ya filamu ya Swahiba? […]

Read More..

Ujumbe wa Nay Wa Mitego Kuhusu Ndoa ya Sham...

Post Image

Nay Wa Mitego ameonekana kumchimba mkwara mwanaume aliyemuowa aliyekuwa mpenzi wake, Shamsa Ford. Nay na Shamsa walikuwa na mahusiano mwaka 2015 japo mahusiano yao hayakufanikiwa kudumu kwa muda mrefu na kila mtu kufuata njia yake huku wakidai bado ni marafiki wa kawaida. Kitendo cha kuolewa kwa Shamsa kinaweza kikawa kimemtoa povu rapper huyo kutokana na […]

Read More..

Picha: Shamsa Ford Afunga Ndoa na Chidi Map...

Post Image

Leo staa wa Bongo Movie,  Shamsa Ford  filamu anafunga ndoa na mfanyabiashara wa nguo, Chidi Mapenzi.nyumbani kwao Sinza Afrikasana jijini Dar es salaam. Tunawatakia kheri na baraka katika ndoa yao.

Read More..

Hizi Ndizo Filamu Zinazotamba Kwenye Tasnia...

Post Image

Hizi ni kati ya filamu zinazoendelea kusumbua katikati tasnia ya filamu, ubora wa Filamu hizi unasababisha zigombaniwe Sokoni. Kama utapenda filamu za kitanzania embu hakikisha hizi ni kati ya filamu zinazotakiwa kuwa kwenye maktaba yako. Pata nakala halisi zinapatikana katika matawi ya kampuni ya Steps entertainment limited.  

Read More..

Mimi Nina Majumba sio Nyumba-Steve Nyerere

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere amedai yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao wanamiliki nyumba nyingi lakini hataki kuzionyesha. Akiongea katika kipindi cha Uhondo cha EFM Jumatano hii, Steve Nyerere amedai yeye haoni ufahari wa kuonyesha mali alizonazo kama wanavyofanya baadhi baadhi ya wasanii. “Mimi nina majumba sio nyumba ila sitaki kuonyesha instagram,” alisema […]

Read More..

Kanumba Hajaondoka na Tasnia Japo Imeshuka ...

Post Image

Muigizaji na muongozaji wa filamu nchini Tanzania, Jacob Stephen maarufu kama JB amesema kushuka kwa filamu za nchini (Bongo Movie) hakuhusishwi na kifo cha aliyekuwa muigizaji nguli marehemu Steven Kanumba. Alipofanyiwa mahojiano na eNewz, JB amekiri kuwa tasnia ya filamu nchini imeshuka kiwango lakini akakazia kuwa kushuka huko ni kwa msimu pekee. “Ni kweli tasnia […]

Read More..

Nimekamua Kichizi Filamu ya Kitonga – Mau...

Post Image

MAULID ALLY aka Mau Fundi ametamba kwa kusema kuwa amefanya makubwa katika filamu inayokwenda kwa jina la Kitonga ambayo ameigiza kama mtu asiyependa masihara na anaamini kuwa ameitendea haki na wapenzi wa filamu wanunue waone kazi yake humo ndani. “Nimekamua kichiz katika filamu ya Kitonga si unajua nikiwa na njaa ya kazi ninavyopiga kazi, leo […]

Read More..

Filamu ya Kesho Yangu Kuonyeshwa Ndani ya S...

Post Image

Usikose kuangalia filamu hii ndani ya Sibuka maisha channel 111 Kuanzia 02 septemba 3 usiku 03.September saa 9 mchana 04.Septemba saa 3 usiku  

Read More..

Diana: Nakuja Kwa Kishindo na ‘Kalambati ...

Post Image

KIMYA kingi kina mshindo ndivyo anavyojinadi mwanadada huyu Diana Kimaro akisema kuwa alikuwa mafichoni akijipanga kwa ajili ya kukabiliana na pacha wake Lulu ili naye aweze angalau kuibuka na uigizaji bora kwa mwaka huu baada ya kufanya kazi zenye ubora mkubwa kwa lengo la kuwa mwigizaji bora wa kike. “Unajua wengi wanajua kuwa swahiba wangu […]

Read More..