-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Uwoya Azua Timbwili Ukumbini

Post Image

DAR ES SALAAM: Ni shida! Staa wa filamu Bongo, Irene Uwoya hivi karibuni alizua timbwili zito ukumbini lililosababisha atolewe nje na kupelekwa nyumbani kuepusha kuzichapa, Risasi Mchanyiko lina habari kamili. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa Irene alizua timbwili hilo hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Upanga jijini Dar ambako kulikuwa na sherehe ya […]

Read More..

Mkali wa ‘Digital Pastor’ Atobo...

Post Image

Msanii na mtunzi wa filamu bongo anayetamba na filamu yake ya Digital Pastor Salehe Lufedha amedai kuwa chanzo cha soko la Filamu kushuka ni wasanii wa kike ambao wana majina makubwa. Akizungumza Katika kipindi cha MID_MORNING TRIP (Kona ya filamu) kinachorushwa na SAFARI RADIO Lufedha amesema kwmba kwa sasa tasnia ya filamu bongo inayumba kutokana […]

Read More..

Snura Afunguka Kupigwa Chini Kwa ‘Script...

Post Image

May 4 2016 serikali kupitia wizara ya Habari,Sanaa,Utamaduni na Michezo waliufungia wimbo wa Chura pamoja na kumfungia msanii Snura kimuziki kisha May 5 msanii huyo akawa amekamilisha vitu vyote kisha akafunguliwa kimuziki,kazi ikawa kwenye kuuachia wimbo wa Chura ambao aliambiwa aurudie,kitu unachotakiwa kufahamu kwa sasa,ni kwamba Snura aliandika script ya video lakini pia ilikataliwa. ‘’Nilipeleka […]

Read More..

Esha Atoa Sababu za Ubonge

Post Image

MWIGIZAJI wa Bongo Muvi, Esha Buheti amedai kuwa ubonge alionao kwa sasa ni kwa sababu ya mapochopocho anayojipikia muda mwingi anapokuwa nyumbani na si kweli kwamba ni mjamzito kama watu wanavyomzushia. Akizungumza na mtandao huu, Esha alifunguka kuwa, kila mtu anamshangaa kunenepa kwake lakini yeye hajutii kwani ni matokeo ya vyakula vinono na kwa mwezi […]

Read More..

Picha:Uwoya Amtia Majaribuni Richie

Post Image

WAKATI Waislam wakiwa kwenye Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, staa wa filamu Bongo, Irene Uwoya juzikati alimtia majaribuni msanii mwenzake Single Mtambalike ‘Richie’ walipokuwa kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar kulikokuwa na harusi ya mdogo wake Steve Mengere ‘Steve Nyerere’, Happy Mengere. Kwenye ‘mnuso’ huo, Uwoya aliyekuwa amevalia kivazi kilichoacha mapaja yake wazi, […]

Read More..

Dude Alia na Hili Bongo Muvi

Post Image

Muongozaji na mwigizaji mahiri wa filamu, Kulwa Kikumba ‘Dude’ anasema kuwa ili tasnia ya filamu isonge mbele lazima wasanii na wadau wote washikane na kuwa kitu kimoja ndio maslahi ya kweli yataoneka na kusonga mbele na kuijenga tasnia ya filamu. “Tukiwa na umoja tunaweza kuwa na nguvu katika jamii, angalia mfano juzi hivi karibuni uliibuka […]

Read More..

Chozi la Mobeto Laana Kwa Lulu!

Post Image

Kufuatia staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kudaiwa kumpora mwanaume aliyezaa naye, chozi la mwanamitindo anayeuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Hamisa Hassan Mobeto linaelezwa kuwa ni laana tosha kwa mwigizaji huyo. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa Mobeto, mrembo huyo ambaye ni sura ya mauzo kwenye matangazo ya […]

Read More..

Picha: Maisha ya Masanja Akiwa Shambani

Post Image

Msanii wa vichekesho wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji ‘street pastor’ ameweka picha kadhaa mtandaoni kuonyesha jinsi anavyowajibika akiwa shambani kwake. Zicheki Hapa NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT: TUNAKUFIKISHIA POPOTE PALE ULIPO: Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489. KAMA WEWE NI MFANYA BIASHARA UNATAKA KUWA WAKALA WA KUSAMBAZA […]

Read More..

Sabby: AliKiba Alitaka Kuniua kwa Mahaba

Post Image

MSANII anayefanya muziki na filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amefunguka kwa kinywa chake kuwa penzi la mwanamuziki mkali wa Bongo Fleva, Ali Salehe Kiba ‘Alikiba’ lilitaka kutoa uhai wake kwani hakuna mwanaume aliyemshika mtima wake zaidi yake. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Sabby anayedai ana historia ya kutendwa na wanaume alisema kuwa amewahi ‘kudate’ […]

Read More..

Nisha Kufutrisha Watoto Waishio Katika Mazi...

Post Image

Asallam aleykhum Wanahabari, Kampuni ya Nisha’s Film Production inapenda kuujulisha Umma kuwa inatarajia kuwakutanisha Watoto Waishio katika Mazingira Hatarishi walio ndani ya jiji la Dar es Salaam, kwa ajili ya Futari tukio hili litakalofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Azani Siku ya Jumapili tarehe 26 June 2016 na kujumuika pamoja kwa kuwapa faraja […]

Read More..

Ray Kumfuata Chuchu kwa Dini Yake!

Post Image

BAADA kuwa katika mahusiano kwa muda mrefu nyota wawili katika tasnia ya filamu Bongo Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hansy , Chuchu anafunguka kwa kusema kuwa mpenzi wake huyo yupo mbioni kubadili dini na kumfuata yeye kwani tayari anafunga naye mwezi huu mtukufu. “Ray ananisupport kufunga mwezi huu yupo sambamba nami kufuata taratibu za kidini […]

Read More..

Aunt Ang’aka Kisa Ubonge

Post Image

TAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ameng’aka baada ya baadhi ya mashabiki kumnanga kuwa anaelekea kuzeeka kutokana na kuharibu umbo lake ambapo anaonekana kunenepa kupita kiasi na kuwaambia kuwa mchumba wake, Mose Iyobo ndiye anapaswa kumsema. Akizungumza na Amani Aunt alisema kuwa, anawashangaa watu wanaombwatukia kuwa amenenepa kupita kiasi wakati Mose anayeishi naye anaonekana kuvutiwa […]

Read More..

Uwoya Aitwa Ikulu ya Kenya

Post Image

Zali! Kuna madai kwamba, Rais wa Kenya, Uhuru Jomo Kenyatta amempa mwaliko maalum staa mwenye mvuto katika sinema za Bongo, Irene Pancras Uwoya kuitembelea ikulu ya nchini hiyo, ikiwa ni msanii wa kwanza Bongo kupata fursa hiyo, Amani limedokezwa. Kwa mujibu wa chanzo, awali rais huyo aliwahi kutolewa na jarida moja la nchini humo kwamba […]

Read More..

Irene Uwoya Kusomesha Watoto 10

Post Image

NYOTA wa filamu za Tanzania, Irene Uwoya, amechangia katika mfuko wa binti ili kusaidia kusomesha watoto 10 kati ya wengi wanaoishi kwenye mazingira magumu. Uwoya alitoa mchango huo mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kuhitimisha matembezi ya kuchangisha fedha na vifaa vya shule kwa watoto wanaoishi mazingira magumu. “Nimejitolea kusomesha watoto hao 10 kupitia ‘Binti […]

Read More..

Huu ndiyo Ujio Mpya wa J.Plus na Seba

Post Image

Nyota wa filamu za Action nchini Tanzania ambaye ni mmoja kati ya mwasisi wa filamu hizo, Jimmy Mponda maarufu kama “J.Plus” aliyeanza rasimi kutoa Action Muvi ya “Shamba kubwa” mnamo mwaka 1994, Filamu yake ya pili ikafuata 1995, ilipewa jina la “Unga Adui” yatatu iliitwa “Kifo haramu” ilikuwa 1997 ya nne ilikuwa “Usia” 2003. 2005-2010 […]

Read More..

Johari Aanika wa Kumpa Penzi Lake

Post Image

Mwigizaji wa kitambo kunako Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ ameweka wazi kuwa, ni bora ajihusishe na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume ‘kapuku’ (asiye tajiri wala maarufu) kuliko kutoa penzi lake kwa staa yeyote wa Kibongo kwa sababu wengi wao ni ‘michosho’. Johari (pichani) aliliambia Amani hivi karibuni kwamba, kwa upande wake, hivi sasa kutoka na […]

Read More..

Nitafuturu na Wasiojiweza – Nisha

Post Image

Msanii wa bongo fleva Nisha anategemea kuwafuturisha watu wasiojiweza tarehe 26/6/2016 viwanja vya Azania Lego ili kuweza kuwasaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu na wasiojiweza ikiwa kama moja kati ya sadaka zake ambazo atakuwa ametoa. Pia ameendelea kusema kwamba futari hiyo haina masharti, hivyo anawaalika watu wote bila kujali dini kuweza kujumuika na yeye katika […]

Read More..

Chuchu Hansa: Daku Ina Masharti Yake

Post Image

Msanii wa kike kutoka katika kiwanda cha Bongo Move Chuchu Hans ameiambia eNewz kwamba ameamua kuandaa filamu hiyo amabayo itaonyesha masharti na utaratibu wa daku kwa watanzania wote bila kuangalia tofauti za dini zao. Hata hivyo Chuchu amesema watu wengi huwa wanakuwa makini katika kufuatilia futari na mchana wanapokuwa wamefunga na muda wa kula daku, […]

Read More..