Uwoya Azua Timbwili Ukumbini
DAR ES SALAAM: Ni shida! Staa wa filamu Bongo, Irene Uwoya hivi karibuni alizua timbwili zito ukumbini lililosababisha atolewe nje na kupelekwa nyumbani kuepusha kuzichapa, Risasi Mchanyiko lina habari kamili. Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa Irene alizua timbwili hilo hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Upanga jijini Dar ambako kulikuwa na sherehe ya […]
Read More..





