-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Nimepata Gauni la Harusi Bado Mume Tu- Taus...

Post Image

MUIGIZAJI wa filamu Bongo Tausi Mdegela amefunguka kwa kusema kuwa anatamani sana kuvaa gauni la harusi kwa muda mrefu na hatimaye ametimiza shauku yake baada ya kufanikiwa gauni hilo na kuliweka ndani kwake ni ishara njema siku yoyote akipata mume mwenye mapenzi atalivaa na kutimiza ndoto zake. “Jambo jema unalitafutia njia mwenyewe maana kuna watu […]

Read More..

Shamsa Amtahadharisha Wema

Post Image

KUFUATIA kuhama chama kutoka Chadema kwenda CCM kwa mwanadada kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Wema Sepetu, msanii mwenzake, Shamsa Ford ameibuka na kumtahadharisha pamoja na wasanii wote kwa jumla. Akipiga stori na Za Motomoto News, Shamsa alisema wao siyo wanasiasa hivyo suala la Wema la kwenda na kurudi kwenye vyama vya siasa inawezekana anapata faida […]

Read More..

Riyama Kuja na Bonge la ‘Surprise’

Post Image

MSANII wa filamu Tanzania, Riyama Ally, amesema atahakikisha anawafanyia ‘surprise’ ya kufunga mwaka mashabiki zake kwa kuachia filamu mbili matata. Akizungumza na MTANZANIA jana, Riyama, alisema amejipanga kikamilifu kabla ya mwezi huu kumalizika kuwapa zawadi hizo mashabiki zake ambazo anaamini zitakuwa za kitofauti na walivyozoea. “Nimeamua kuwafanyia ‘surprise’ mashabiki zangu kwani bila wao mimi si […]

Read More..

Unene Wamzingua Aunty Ezekiel

Post Image

MWIGIZAJI wa kike wa filamu nchini, Aunty Ezekiel amedai hakuna kitu ambacho hakipendi kama kuwa kibonge, akisema anaponenepa kila anapojiangalia hujichukia kwani hukerwa na unene. “Mimi sipendi kabisa unene ninaponenepa hujiona mbaya kwani unajikuta hadi uso unakuwa wa mviringo hivi, yaani unabadilika kabisa na kuwa tofauti kama awali. Hivyo kulazimika kufanya mazoezi kwa fujo au […]

Read More..

Ray Azitosa filamu, Ageukia Huku

Post Image

NYOTA wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amesema kwa sasa amejikita katika kilimo cha matikiti maji na kupumzika kidogo katika uzalishaji wa filamu akiamini kuwa kilimo hicho cha matunda kinampatia maslahi zaidi kuliko filamu kwani hali ya soko ni tete. “Mimi ni mtayarishaji mkubwa wa filamu, ninapoandaa kazi yangu ya sinema ni lazima nitumie pesa […]

Read More..

Siri ya Wema Sepetu Kupukutika Yafichuka!

Post Image

VYUMA vimekaza? Siri ya staa mkali wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu kupukutika imefichuka baada ya picha zake kusambaa zikimuonesha akiwa hana lile shepu aliloliimba Dogo Aslay. Kufuatia ishu hiyo, mashabiki wa Wema walipigwa na butwaa jinsi mwili wake huo ulivyopukutika. Ili kumaliza ubishi huo, Ijumaa Wikienda lilizungumza na Wema na kumuuliza kulikoni kupukutika […]

Read More..

Kajala Masanje Aoneshwa Akimtega Shemeji Ya...

Post Image

Video mpya ya ‘Omulilo’ ambayo ni kazi yake mwanamama Saida Karoli imeachiwa rasmi, huku Kajala akiigiza muhusika aliyeimbwa kwenye wimbo huo. Video hiyo inamuonyesha Kajala akiwa anaishi kwa shoga yake kipenzi, lakini licha ya kumsitiri anafanya kitendo kibaya cha kumtaka shemeji yake kimapenzi kwa kumtega kwa kumvalia mavazi ya kumshawishi. Kazi hiyo ambayo imefanywa na […]

Read More..

Johari: Ndiku Alitupa Raha

Post Image

BLANDINA Chagula ‘Johari’ amemfungukia aliyekuwa mume wa muigizaji Irene Uwoya, marehemu Hamad Ndikumana kuwa enzi za uhai wake, aliwapa bata za kutosha.   Akizungumza na mwanahabari wetu hivi karibuni, mkongwe huyo wa sinema za Kibongo, alisema Ndiku alipokuwa anakuja nchini akitokea nchini Cyprus alikokuwa akiishi, alikuwa akiwaletea zawadi na kujirusha naye sana. “Kama unavyojua mimi […]

Read More..

Filamu ya Hamisa Yatikisa Jiji

Post Image

FILAMU ya mwanamitindo Hamisa Mobeto iliyozinduliwa wiki iliyopita, katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Suncrest Cineplex uliopo ndani ya Quality Center, uliopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam, hivi sasa inatikisa jiji kwa kile kinachotajwa kuwa ina kiwango kikubwa cha ubora. Kwa mujibu wa wadau waliozungumza na Risasi Mchanganyiko juzikati, filamu hiyo iitwayo Zero […]

Read More..

Sina mpango wa kurudi CCM – Wema Sepetu

Post Image

Malkia wa filamu nchini, Wema Sepetu amemwambia muigizaji mwenzake wa filamu ambaye ni kada wa CCM, Steve Nyerere kwamba hana mpango wa kurudi tena CCM.   Wema amesema hayo baada ya kuona ujumbe wa Steve Nyerere kumpongeza Alberto Msando kwa uamuzi wake wa kukihama chama cha ACT Wazalendo ya kwenda Chama Cha Mapinduzi, CCM. “HAHAHAHAHAHAHAHAHAHA […]

Read More..

Mdogo wa Ndikumana Awachana Bongo Movie

Post Image

Mdogo wa marehemu Hamadi Ndikumana ambaye alikuwa mume wa muigizaji wa filamu Tanzania Irene Uwoya, anayeitwa Laddy Ndikumana, amesema waigizaji wa filamu wa bongo (bongo movie ) ni wajinga, kutokana na mambo yao wanayoyafanya. Laddy ameyasema kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba waigizaji hao ni wajinga na wanafiki kwa kuwa wameshindwa […]

Read More..

Rose Ndauka: Awarushia Dongo Watoa Mimba

Post Image

MSANII wa Filamu Bongo, Rose Ndauka amewarushia dongo wasichana wa kizazi kipya ambao wengi wao wakipata mimba wanakimbilia kutoa badala ya kujifungua. Ndauka ameiambia Full Shangwe, kuwa wanawake wengi wakipata ujauzito hutoa bila kujua kuwa mtoto ni faraja ya mwanamke na uhusiano kwa ujumla. “Nawashangaa wasichana wengi ambao wakipata mimba wanakimbilia kutoa. I wish kama […]

Read More..

Wamehamia kwa Kajala na Shetta

Post Image

UBUYU wa leo unawahusu mastaa wawili Kajala Masanja na Shetta kudaiwa kuwa ni wapenzi huku ikielezwa wanatumia mbinu ya danganya toto kwa kitendo cha Shetta kuonyesha ukaribu kwa mtoto wa Kajala anayeitwa Paula. Ziliwahi kuzagaa habari kuwa Shetta na Paula ni wapenzi lakini Shetta alipinga taarifa hizo na kusema kuwa anampenda mke wake na hawezi […]

Read More..

Kesi ya Wema Sepetu Yapigwa Kalenda Tena

Post Image

Muigizaji wa filamu Bongo, Wema Sepetu amefika Mahakama ya Kisutu leo kwaajili ya kesi yake inayomkabili ya kutumia dawa za kulevya.   Ambapo Wakili wa serikali amesema kuwa kesi hiyo imeitishwa kutokana na kuendelea kwa ushahidi, Jaji amesema kutokana na muda kuwa mchache kesi hiyo inahairishwa mpaka Novemba 24 mwaka huu. Bongo5

Read More..

Lulu Awaambia Ndugu Zake Wasikate Rufaa Kil...

Post Image

Imeelezwa kuwa baada ya msanii Elizabeth Michael kusomewa hukumu ya kifungo cha miaka miwili jela, aliwaambia ndugu zake wasikate rufaa kwa kuwa kilichotokea ni mipango ya Mungu na yupo tayari kukabiliana nayo. Msanii , Muhsin Awadh maarufu Dk Cheni ambaye amekuwa karibu na mwigizaji huyo katika kipindi chote amesimulia hali ilivyokuwa muda mfupi baada ya […]

Read More..

Dk Cheni Awafungukia Wanaosema Hukumu ya Lu...

Post Image

MSANII mkongwe katika tasnia ya maigizo Bongo na mshereheshaji (MC), Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ ambaye ni mlezi wa mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ametoa maoni yake kwenye mtandao wa kijamii baada ya kuibuka maneno mengi kwenye mitandao hiyo ambapo watu wengine wanasema Lulu amepewa adhabu ndogo na wengine wakipendekeza angefungwa kwa miaka mitano na kuendelea. Dk […]

Read More..

Mawakili wa Lulu wajipanga kukata rufaa

Post Image

Dar es Salaam. Muda mfupi baada ya Mahakama Kuu kumuhukumu msanii wa fani ya uigizaji filamu nchini, Elizabeth Michael kifungo cha miaka miwili jela, msanii huyo alianza mapambano upya kuhakikisha anarejea tena uraiani kwa njia ya dhamana na rufaa. Jaji Sam Rumanyika alimhukumu adhabu hiyo msanii huyo baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumuua […]

Read More..

Wema Sepetu apata pigo

Post Image

Serikali kupitia mamlaka zake imezifungia rangi za midomo zinazozalishwa na Mwanadada aliyewahi kuwa Miss Tanzania na Muigizaji wa Filamu, Wema Sepetu. Rangi hizo zinajulikana kwa jina la “Kiss”.   Kwa mujibu wa taarifa ya Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA) pamoja na Shirika la Viwango Nchini(TBS) wamebaini kuwa rangi hizo hazina ubora kwa matumizi ya binadamu. […]

Read More..