-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Gabo Zigamba Adai Kunfunika Ray

Post Image

Msanii wa filamu nchini ambaye anafahamika kwa kuigiza kwa lafudhi ya Kimakonde Gambo Zigamba amefunguka na kusema kuwa yeye ni zaidi ya msanii Ray Kigosi kwenye kazi kwani yeye anafanya zaidi ya Ray. Akizungumza kwenye kipindi cha eNewz Gambo Zigamba aliweka wazi kuwa kipindi ambacho wakina Ray na wasanii wengine wakongwe wanafanya kazi zao hizo […]

Read More..

Wolper Afungukia Penzi Lake na Harmonize, A...

Post Image

Mwigizaji Jackline Wolper jana amefanya mahojiano na Zamaradi Mketema kwenye kipindi cha TakeOne na kuzungumzia mambo mengi kuhusu yeye na aliyekuwa mpenzi wake Putin ‘Mkongo’ aliyemvisha pete, na uhusiano wake na msanii Harmonize. ‘Ni kweli Raj (Harmonize) ni mpenzi wangu,ukweli nilimjua siku nyingi nilikuwa nikimchukulia kama mwanamuziki tu, tuna mwezi mmoja na wiki mbili sasa’’ […]

Read More..

Mboto na Riyama Wamshushua Tunda Man

Post Image

Mchekeshaji maarufu hapa nchini, Mboto, pamoja na muigizaji wa filamu Bongo movies, Riyama Ally, wamekanusha kufanya filamu ya ‘Mama Kijacho’ kama alivyodai mwanamuziki Tunda Man ambaye ndiyo alijinadi kuwa muhusika mkuu. Mboto amekanusha hayo mbele za kamera ya eNewz na kusema kuwa “mimi sijawahi kushuti movie ya mama kijacho,” alisema Mboto alizidi kuongeza kuwa “Msema […]

Read More..

Picha: Wolper na Harmonize Mahaba Niue

Post Image

Couple inayokuja kwa kasi Bongo kati ya staa wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper na mwanamuziki anayekimbiza katika Bongo Fleva, Harmonize imezidi ku-make headlines katika mitandao ya kijamii. Wawili hao walianza kwa siri lakini kwa sasa wameamua kuweka mambo hadharani bila kupepesa macho na kuudhihirishia umma kuwa kwa sasa ni wapenzi na hakuna kificho tena. Katika […]

Read More..

JB Adai Alizitolea Nje Ofa Tatu za Movie za...

Post Image

JB si msanii anayezuzuka na filamu za Kinaijeria ndio maana amesema ameshazitolea nje ofa tatu za kuigiza filamu za Kinaijeria. “Natoboa siri ambayo watu hawaijui, nimekataa script zaidi ya tatu Nigeria kwenda kuact kwasababu hazinilipi,” muigizaji huyo aliiambia 255 kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Naapa mbele ya Mungu ukitaka nitakuonesha, zipo. Sababu ni […]

Read More..

Kisa Chura, Snura Anusurika Kichapo

Post Image

STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Chura’ juzikati akiwa kwenye shoo iliyofanyika Masasi, Mtwara alijikuta katika wakati mgumu baada ya kutaka kupigwa na mashabiki kisa kikiwa eti ni kutokuimba Wimbo wa Chura ambao umefungiwa. Kwa mujibu wa chanzo, tukio hilo lilijiri mida ya usiku katika ukumbi mmoja maarufu uliopo Masasi ambapo Snura alikuwa […]

Read More..

Aunt Ezekiel Aeleza Maumivu Aliyopata Wakat...

Post Image

Msanii wa filamu Aunt Ezekiel amefunguka na kueleza jinsi alivyopitia maumivu makali wakati wa kujifungua mtoto wake wa pekee ‘Cookie’ ambaye ametimiza moja mmoja hivi karibuni. Kupitia ukurasa wake wa instagram, Aunt Ezekiel aliandika: Haikuwa siku ya furaha katika maisha yangu ilikuwa ni siku ngumu kushinda siku zote nilizowahi kupitia katika maisha yangu hata misiba […]

Read More..

Picha: Wema azindua ‘Mobile Aplication’...

Post Image

   

Read More..

Kuelekea Ramadhan, Nisha Afanya Jambo Hili

Post Image

  ZIKIWA zimesalia siku chache kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhan kuanza, staa wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ jana aliukaribisha kwa kula chakula cha jioni na watoto yatima. Nisha aliwatembelea watoto yatima wa kituo cha New Hope Family Group kilichopo Kigamboni, Dar,  ambapo alipata nafasi ya kula nao chakula cha jioni alichokiandalia, hali iliyosababisha […]

Read More..

Lulu, Gigy Money Wacharuana

Post Image

MASTAA wawili wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Gift Stanford ‘Gigy Money’ wamejikuta wakiingia kwenye mtifuano mkali baada ya kutoleana maneno machafu. Chanzo makini kilieleza kuwa ishu ilianzia kwa Gigy ambaye alisema mwanadada Lulu hajui kuvaa anavaa matangazo, hii ni baada ya kuulizwa na kituo kimoja cha runinga kwamba ataje mastaa kumi wanaojua kuvaa ambapo […]

Read More..

Lulu Kusaka Tuzo Oscar na Filamu ya ‘Ni N...

Post Image

ILE Filamu kubwa ya Ni Noma ‘Huyu Demu ni Feki’ kutoka kwa mwanadada Nyota katika tasnia ya filamu Swahilihood Elizabeth Michael ‘Lulu’ ipo tayari kuingia sokoni baada ya kutengenezwa katika viwango vya kimataifa, kazi hiyo inakwenda kusaka tuzo kubwa kabisa ya Oscar. Filamu ya Ni Noma chini ya utayarishaji wa mtayarishaji mahiri kabisa katika utayarishaji […]

Read More..

Kisa Talaka, Thea, Mike Wapelekana Kanisani

Post Image

Mastaa wa Filamu Bongo waliokuwa wanandoa, Mike Sangu na Salome Urassa ‘Thea’ wamepelekana kwa padri wa Kanisa  la Katoliki Parokia ya Mwananyamala jijini Dar kwa ajili ya hatua ya kutalikiana. Chanzo kilicho karibu na mastaa hao kilidai kuwa, Thea ndiye aliyekusanya picha anazoposti Mike kupitia ukurasa wake wa Instagram akiwa na mpenzi wake wa sasa […]

Read More..

Amanda Abanwa Kuhusu Ukimwi, Afunguka

Post Image

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Amanda Poshi amefungukia taarifa zinazomhusisha yeye kuugua maradhi ya Ukimwi. Amanda amefunguka hayo baada ya kuvuja kwa picha zake zinazomuonesha akiwa amepungua mwili na kusababisha gumzo litawale kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii watu wakihusisha kukonda kwake na ugonjwa huo ndipo mwanahabari wetu alipombana, akafunguka: “Nina desturi ya kupima kila wakati, […]

Read More..

Nay wa Mitego ni Mtoto Mdogo Kwangu Kisanaa...

Post Image

ZUBERY Mohamed ndio jina lake alilopewa na wazazi wake lakini katika filamu anajulikana kama Niva super Mario msanii huyu ambaye ni mwigizaji na mwanamuziki wa kizazi kipya anaibua malumbano na msanii wa muziki wa Bongo Fleva Ney wa Mitego na kusema kuwa ni mdogo katika sanaa. “Unajua kwa wale wasiomjua Ney wa Mitego ndio wanamhofia […]

Read More..

Sumaku: Sijamuona wa Kuvaa Viatu vya Kinyam...

Post Image

KIONGOZI wa Wasanii wa Vichekesho Tanzania, Habib Mkamba ‘Sumaku’ amesema kwamba kifo cha msanii mwenzao, James Peter ‘Kinyambe’ kilichotokea hivi karibuni, hakuna wa kuliziba pengo lake. Akipiga stori na Ijumaa, Sumaku alisema Kinyambe alikuwa na staili yake ya kipekee katika uchekeshaji hivyo hakuna msanii anayeweza kuvaa viatu vyake. “Mimi sijaona wa kuvaa viatu vya Kinyambe, […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka Haya Huhusu Alikiba

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa msanii Alikiba ni mtu wa kumuacha kutokana na uwezo wake wa kuimba na namna ambavyo anaweza kuipangilia sauti yake kwenye muziki.     Wema Sepetu amezidi kuonyesha mapenzi aliyonayo kwenye kazi za msanii Alikiba na kusema huwa zinamkosha sana na kudai hajawahi kumuangusha siku zote […]

Read More..

Rose Ndauka Atoboa Siri ya Mambo Yake Kumny...

Post Image

MKALI wa filamu Bongo, Rose Ndauka ametoa siri ya mambo yake kumnyookea kuwa imetokana na kumuhusisha Mungu kwa kila anachokifanya na wala si vinginevyo kama watu wanavyodhania. Akizungumza na Amani, Rose ambaye kwa sasa anamiliki kampuni inayojishughulisha na kutengeneza Jarida la Rozzie, alisema kuwa Mungu ndiye aliyemtendea miujiza hiyo kwani asingemshirikisha asingekuwa hapo alipo. “Siri […]

Read More..

Shilole: Wanaume Suruali Sasa Basi

Post Image

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa kuanzia sasa hataki tena kuwa na mwanaume suruali, bali anahitaji mtu mwenye nazo, ndiyo maana ameamua kufanya kazi kwa bidii. Akilonga na Risasi Vibes, Shilole alisema kuwa kwa sasa ameamua kukaa singo kwa sababu ameona hakuna faida ya kuwa na mwanaume asiye na kitu. […]

Read More..